ACT Wazalendo
JF-Expert Member
- May 5, 2014
- 610
- 1,540
Uchaguzi wa 2020 ulituumiza na kutuachia majeraha makubwa. Chama chetu kiliumia zaidi kuliko vyama vyote kwani licha ya vipigo kwa Viongozi na Wanachama wetu, tulipoteza Wanachama zaidi ya 20 waliouwawa. Lakini tumekataa kushikwa mateka na 2020. Tumeamua kujenga chama madhubuti.
Tumeamua kuongoza mageuzi ya Msingi ili kila Mtanzania apate heshima ya kura yake kwa kumpata kiongozi aliyemchagua katika Kijiji/Mtaa wake, Kata yake, Jimbo lake na Nchi yake. Tumeamua kuimarisha chama kitaasisi ili kukabiliana vilivyo na 2024/2025 na kuzuia yaliyotokea 2020.
Tumeamua kutibu ya 2020 kwa kutazama mbele kwa lengo la kuwa na Tanzania na Zanzibar bora zaidi. Tunayafanya Haya kwa vitendo na tunawapa Watanzania na Wazanzibari ahadi yetu ya kujenga Taifa bora zaidi.
Kiongozi wa ACT-Wazalendo
Zitto KabweView attachment 2347285View attachment 2347287View attachment 2347288View attachment 2347286
Tumeamua kuongoza mageuzi ya Msingi ili kila Mtanzania apate heshima ya kura yake kwa kumpata kiongozi aliyemchagua katika Kijiji/Mtaa wake, Kata yake, Jimbo lake na Nchi yake. Tumeamua kuimarisha chama kitaasisi ili kukabiliana vilivyo na 2024/2025 na kuzuia yaliyotokea 2020.
Tumeamua kutibu ya 2020 kwa kutazama mbele kwa lengo la kuwa na Tanzania na Zanzibar bora zaidi. Tunayafanya Haya kwa vitendo na tunawapa Watanzania na Wazanzibari ahadi yetu ya kujenga Taifa bora zaidi.
Kiongozi wa ACT-Wazalendo
Zitto KabweView attachment 2347285View attachment 2347287View attachment 2347288View attachment 2347286