Zitto: Tozo za miamala ziondolewe kwa sababu kuna hela ya IMF

Kiongozi wa ACT-Wazalendo, Zitto Kabwe amesema tozo za miamala ziliwekwa na serikali katika bajeti ya serikali ya mwaka 2021/2022 ili kuwezesha ujenzi wa madarasa nchini.

Hivi karibu Serikali imepata fedha kutoka Shirika la Fedha la Kimataifa(IMF) ambazo zimetangazwa kutumika kujenga vituo na madarasa nchi nzima. Zito ameshauri serikali kuzipunguza au kuziondoa tozo.

Zitto amezungumza hayo akiwa katika mahojiano Times FM
Kwa akili ya Zito ukijenga madrassa ndio changamoto zamaendeleo ya nchi ndio zimeisha? Haji ikapata ahueni ya kibajeti, giada uliyonayo inakupa nafisi ya kuhamia manero mengine? Ningemuona wa wana angeomba review ya bajeti.
 
Kiongozi wa ACT-Wazalendo, Zitto Kabwe amesema tozo za miamala ziliwekwa na serikali katika bajeti ya serikali ya mwaka 2021/2022 ili kuwezesha ujenzi wa madarasa nchini.

Hivi karibu Serikali imepata fedha kutoka Shirika la Fedha la Kimataifa(IMF) ambazo zimetangazwa kutumika kujenga vituo na madarasa nchi nzima. Zito ameshauri serikali kuzipunguza au kuziondoa tozo.

Zitto amezungumza hayo akiwa katika mahojiano Times FM
Amekosa ubunge hata muonekano wake umerudi ule wa burundi.
 
Kwa akili ya Zito ukijenga madrassa ndio changamoto zamaendeleo ya nchi ndio zimeisha? Haji ikapata ahueni ya kibajeti, giada uliyonayo inakupa nafisi ya kuhamia manero mengine? Ningemuona wa wana angeomba review ya bajeti.
Kwanza mutoa hoja hujaiweka vizuri. Ztto amesema ataunga mkono miradi ya maendeleo inayojengwa mkoani Kigoma kwa sababu miradi yote inayotekelezwa yeyendiye mwasisi na aliipigia kelele sana na Mingine alitafita mpaka wafadhili.

Pili hakuna Mbunge au mwanasiasa ambaye haungi mkono miradi ya maendeleo inayotekelezwa jimboni kwake, na mdo maana kila mbunge huwa anaomba serikali ijenge shule,Barabara, n.k hivyo Kauli ya zzto ichukuliwe kisiasa.
 
Hakuna asiyetaka kulipa Kodi. Ila kabla hilo halijaanza kuanze uwajibishaji viongozi wote wanaofuja kodi zetu. Haiwezekani nihangaikie kulipa Kodi halafu mijitu inalipana mamia ya mamilioni, na bado hawatosheki wanafanya ufisadi kila kona.

Wapunguze matumizi ya serikali, kuwe na uwazi wa hela zote zinatumika vipi then tukifika hapo tulazimishane kulipa Kodi.

Kulipa tu Kodi kibubusa ni kuwanufaisha wachache wakati mamilioni ya watanzania Kodi zao haziwafaidishi ipasavyo.
Tumia lugha ya upole ni wanakula kwa urefu wa kamba
 
Ok fedha za Tozo ilikua zitumike kujenga madarasa.

Haikuwa hivyo kwani zilikuja fedha za IMF ambazo ndizo zilizojenga vyoo na madarasa.

Serikali ituambie fedha za Tozo zilizokuwa replaced na za IMF zilifanya nini.

Fedha za Tozo baada ya za IMF kutumika zinafanya nini??

Kwanini tulipe kodi mara mbili katika muamala mmoja.

Kama tayari fedha za kujenga madarasa zilikuwepo kwanini tukatumia za IMF.

Kwanini badala ya kuelekeza fedha nyingi eneo moja tu ( vyoo na madarasa).

Tusipunguze deni la ndani ili kuongeza mzunguko wa fedha.

Kwanini Tozo zisitumike kutengeneza ajira mpya??

Kama fedha zipo za Tozo serikali itumie kuajiri.

Hali ya uchumi ni mbaya.

Njaa nayo inabisha hodi.

Bila kuwa na mkakagi mkakati wa haraka kuna hatari inayokuja ambayo ingeweza kuepukika.
 
Wewe nae ni mpuuzi,kwamba fedha za IMF ndio zitamaliza changamoto ambazo zinatatuliwa kwa fedha ya miamala?

Inajiongelesha kwa sababu umekosa ku trend siku nyingi. Huyo Zito kule kwao Kigoma hadi kesho ni mavumbi matupu,hakuna huduma za afya za maana hadi wamama wanalala wa 2 kwenye vitanda na huduma ziko mbali ..

Wewe Zito utakuwa ni mjinga Sana kwa sababu unaishi Mjini huna hata huruma na watu wa Vijijini.
Kwani hao unaosema wana barabara za vumbi sio watanzania na hawatoi kodi itakayowaletea maendeleo? Zitto ndo mjenga barabara na hvyo vituo vya afya? We hujui kazi ya mbunge. Sasa we na zitto nani kilaza.
au akili zako zpo matakoni
 
Kiongozi wa ACT-Wazalendo, Zitto Kabwe amesema tozo za miamala ziliwekwa na serikali katika bajeti ya serikali ya mwaka 2021/2022 ili kuwezesha ujenzi wa madarasa nchini.

Hivi karibu Serikali imepata fedha kutoka Shirika la Fedha la Kimataifa(IMF) ambazo zimetangazwa kutumika kujenga vituo na madarasa nchi nzima. Zito ameshauri serikali kuzipunguza au kuziondoa tozo.

Zitto amezungumza hayo akiwa katika mahojiano Times FM
Zitto ni kipima joto cha CCM,ni mwanasiasa mwenye tag price ata akiongea lolote jema bado haaminiki uku kwa wengi
 
Back
Top Bottom