Mtoto halali na hela
JF-Expert Member
- Aug 10, 2012
- 55,087
- 54,310
Anafaa sana namkubali
ccm mnapanic nini sasa?WanaJF,
Zitto awapa za uso UKAWA baada ya kujibu hoja kuhusu tabia iliyozoeleka ya wapinzani kuingia ndani ya bunge, kusaini posho na kisha kuleta vurugu makusudi ili wakimbie bunge.
Zitto kwa upande wake ameeleza kuwa, kwanza hapokei posho na kana kwamba hiyo haitoshi, kamwe hawezi kulikimbia bunge.
Rai: Mbowe na Nyumbu wako jifunzeni hili kutoka kwa Zitto.
Wote na jk ni wale wale viongozi walipokajitusirudie makosaPole sana ,Jk na mabomba yale ya kichana vp ?? alisema tatizo la maji litakuwa ni historia ubungo....
Kwenye uongozi kuna vitu vya kuangali kuvisema kwa kutumia hekima kwani nani ajui kama wanawake huku ndani kuna shangaaa chupi cheni na vipini angemalizia basi na vipini walivululiwa nguo ingekuwaje kiongozi hana hekima hata chembeKama wewe kuvuliwa chupi yako na hizo shanga sio jambo la ajabu na ni kawaida basi ni wewe tuu na hulka yako mwenyewe! Lakini kwa wengine ni jambo la utovu wa nidhamu linalofaa kukemewa.
we ni nan mpk usipomuamin aumizwe kichwa cdhan km ata mwenyew km anakujua na we upo dunian japo we unamjuaUkishakua msaliti hadi kufa kwako hakuna atayekuamini.. Huyo yuda siwez mwamin hata angetubu kanisani
Zitto Kabwe, hongera sana. Na kuomba kwa mara ya pili pigania posho ziondolewe kwa wabunge wote, mishahara ya marais na mawaziri wakuu wastaafu ipunguzwe. Na wa Rais pia upunguzwe.WanaJF,
Zitto awapa za uso UKAWA baada ya kujibu hoja kuhusu tabia iliyozoeleka ya wapinzani kuingia ndani ya bunge, kusaini posho na kisha kuleta vurugu makusudi ili wakimbie bunge.
Zitto kwa upande wake ameeleza kuwa, kwanza hapokei posho na kana kwamba hiyo haitoshi, kamwe hawezi kulikimbia bunge.
Rai: Mbowe na Nyumbu wako jifunzeni hili kutoka kwa Zitto.