Zitto: Sipokei posho na wala sikimbii Bunge

Zitto: Sipokei posho na wala sikimbii Bunge

HAMY-D

JF-Expert Member
Joined
Sep 18, 2011
Posts
7,146
Reaction score
3,830
WanaJF,
Zitto awapa za uso UKAWA baada ya kujibu hoja kuhusu tabia iliyozoeleka ya wapinzani kuingia ndani ya bunge, kusaini posho na kisha kuleta vurugu makusudi ili wakimbie bunge.

Zitto kwa upande wake ameeleza kuwa, kwanza hapokei posho na kana kwamba hiyo haitoshi, kamwe hawezi kulikimbia bunge.

Rai: Mbowe na Nyumbu wako jifunzeni hili kutoka kwa Zitto.
 
WanaJF,
Zitto awapa za uso UKAWA baada ya kujibu hoja kuhusu tabia iliyozoeleka ya wapinzani kuingia ndani ya bunge, kusaini posho na kisha kuleta vurugu makusudi ili wakimbie bunge.

Zitto kwa upande wake ameeleza kuwa, kwanza hapokei posho na kana kwamba hiyo haitoshi, kamwe hawezi kulikimbia bunge.

Rai: Mbowe na Nyumbu wako jifunzeni hili kutoka kwa Zitto.
Subiri kushambuliwa na nyumbu wa mtaani
Aaaah
 
Huyu ndie mkombozi wa kwel naona ACT ikiwa chama cha upinzani soon bungeni
WanaJF,
Zitto awapa za uso UKAWA baada ya kujibu hoja kuhusu tabia iliyozoeleka ya wapinzani kuingia ndani ya bunge, kusaini posho na kisha kuleta vurugu makusudi ili wakimbie bunge.

Zitto kwa upande wake ameeleza kuwa, kwanza hapokei posho na kana kwamba hiyo haitoshi, kamwe hawezi kulikimbia bunge.

Rai: Mbowe na Nyumbu wako jifunzeni hili kutoka kwa Zitto.
Yaone mazoba haya! Mnashanga wapinzani wanavyoshambulia kama timu ya taifa ya Ujeremani ambamo wapo wachezaji wa timu hasimu kwenye ligi!
Huyo Chenge wenu mnayesema kabobea kwenye sheria Leo kidogo aongee kisukuma.
Nyie mnadhani kubobea sheria miaka hiyo ya 1970 na mtu hajisomei mambo mapya atakuwa na ujanja gani?
Kwanza sijui na safari hii alimwaga viunga unga bungeni? Wanga wakubwa nyie!
 
Hao waliovuliwa chupi na shanga au wengine??

Queen Esther

Yaone mazoba haya! Mnashanga wapinzani wanavyoshambulia kama timu ya taifa ya Ujeremani ambamo wapo wachezaji wa timu hasimu kwenye ligi!
Huyo Chenge wenu mnayesema kabobea kwenye sheria Leo kidogo aongee kisukuma.
Nyie mnadhani kubobea sheria miaka hiyo ya 1970 na mtu hajisomei mambo mapya atakuwa na ujanja gani?
Kwanza sijui na safari hii alimwaga viunga unga bungeni? Wanga wakubwa nyie!
 
WanaJF,
Zitto awapa za uso UKAWA baada ya kujibu hoja kuhusu tabia iliyozoeleka ya wapinzani kuingia ndani ya bunge, kusaini posho na kisha kuleta vurugu makusudi ili wakimbie bunge.

Zitto kwa upande wake ameeleza kuwa, kwanza hapokei posho na kana kwamba hiyo haitoshi, kamwe hawezi kulikimbia bunge.

Rai: Mbowe na Nyumbu wako jifunzeni hili kutoka kwa Zitto.
HAMY-D uwe unatumia akili zako hata kidogo, dola haiwezi kuyumbishwa na mtu mmoja. Chadema na Ukawa kama taasisi ni imara zaidi ya Zitto. usipende kujenga hoja zako with malicious intent ni kudhalilisha taaluma yako hata ni ya ulozi tu.
 
siku maccm wakiisifu ukawa ndo ntakuwa na wasiwasi lakini jinsi walivyotayari hata kutoa vijambio vyao kwa zito ili mradi tu wainange ukawa / chadema najua ndo sindano ya uchungu ya ukawa inavyodhidi kuwapenya.....poleni sana
 
HAMY-D uwe unatumia akili zako hata kidogo, dola haiwezi kuyumbishwa na mtu mmoja. Chadema na Ukawa kama taasisi ni imara zaidi ya Zitto. usipende kujenga hoja zako with malicious intent ni kudhalilisha taaluma yako hata ni ya ulozi tu.
Acheni kupokea posho halafu mkimbie bunge. Hii ndio hoja. Hayo mengine ni irrelevant.
 
WanaJF,
Zitto awapa za uso UKAWA baada ya kujibu hoja kuhusu tabia iliyozoeleka ya wapinzani kuingia ndani ya bunge, kusaini posho na kisha kuleta vurugu makusudi ili wakimbie bunge.

Zitto kwa upande wake ameeleza kuwa, kwanza hapokei posho na kana kwamba hiyo haitoshi, kamwe hawezi kulikimbia bunge.

Rai: Mbowe na Nyumbu wako jifunzeni hili kutoka kwa Zitto.
Kungelikuwa na mashindano ya kuposti ujinga na ushabiki ww GAMBA ulikuwa huna mshindani.
 
Acheni kupokea posho halafu mkimbie bunge. Hii ndio hoja. Hayo mengine ni irrelevant.
hata hoja yako haina mashiko ukawa pamoja na zitto hata kama watapiga kura ya kupinga posho bado magamba yatapitisha kwa theluthi mbili yake sasa kukataa kwao au kukubali hakuongezi kitu. tusitumie posho kuwashambulia ukawa wakati hata uwezo wa kuziondoa hawana. kama nyinyi magamba mnaona kuwa posho kwenu hazina tija (which is true) pelekeni hoja ya kuzifuta.
ccm hamna moral authority ya kuzungumzia posho anazozikataa zito huo ni unafiki wenu tu ndiyo unawapa kiburi cha kuyasema hayo
 
Serikali imelikimbia Bunge jioni hii, Bunge limeahirishwa hadi jumatatu!!
 
Wa kanda ile hawawezi kuacha hela hata iweje

But Zito naye kama yuko serious apeleke hoja bungeni ya kufuta hiyo posho ya makalio, otherwise namuona mnafiki kama hao wengine tu
 
WanaJF,
Zitto awapa za uso UKAWA baada ya kujibu hoja kuhusu tabia iliyozoeleka ya wapinzani kuingia ndani ya bunge, kusaini posho na kisha kuleta vurugu makusudi ili wakimbie bunge.

Zitto kwa upande wake ameeleza kuwa, kwanza hapokei posho na kana kwamba hiyo haitoshi, kamwe hawezi kulikimbia bunge.

Rai: Mbowe na Nyumbu wako jifunzeni hili kutoka kwa Zitto.

wewe huna akili kama wabunge wa SISIYEMU,
Hebu niambie 2004 Waziri wa Elimu MUNGAI kipindi hicho alifuta masomo ya ufundi,biashara, kilimo na kuyachanganya Physics with Chemistry
lakini alivyowasilisha bungeni wabunge wa SISIYEMU Walishangilia na kuipitisha Bajeti kwa mbwembwe huku wakijua kbs kilimo ni uti wa mgongo wa Watanzania zaidi ya asilimia 75 ya Watanzania wanategemea kilimo.kwnn nasema wabunge wa sisiyemu hawana akili km wewe? jibu ni kwamba hivi wewe unaweza kukata uti wa mgongo wa mwili wako halafu ukafurahia kuwa utaendelea kuishi ? Wabunge wa upinzani walipinga lkn waliowengi wakaipitisha kwa mbwembwe.Halafu mwaka 2006 haohao wa sisiyemu wakarudisha hayohayo masomo,kwa maana nyingine wakaramba matapishi yao
Naye Waziri kawambwa alipokuwa Waziri wa Elimu akaazisha mtihani wa drs la saba wa kuchagua na G.P.A kwa matokeo ya sekondari na vyuo vya ualimu,wakati anawasilisha hoja bungeni wabunge wa sisiyemu alipinga makofi kwa mbwembwe kama kasuku,wakati wanajua kbs kwamba G.P.A sio kipimo cha kumpima mwanafunzi kwa kuwa hakionyeshi tathimini halisi ya ufaulu.Lkn kwa kuwa wanajivunia uwingi wao wakaipitisha.Mwaka huu tumeona tena wanaramba matapishi yao kwa kufuta G.P.A na kurudisha mfumo wa Division
Bunge hili tena wamekuja na mpya ya TBC isionyeshe Live ila ionyeshe tuu saa nne za usiku,bunge linatumia masaa sita kwa siku itakuwaje ionyeshwe kwa saa moja?huu ni umasikini wa fikra wa wabunge wailowengi,kwa maana wanataka TBC wapate muda wa ku edit ili waonyeshe vipengere vichache na vzr tuu vya serikali.Eti serikali inabana matumizi, kama ni kubana matumizi kwann wasipunguze posho zao ili wabaki na mshahara tuu kama wana nia ya dhati ya kupunguza matumizi?? au kama wanaona ni gharama basi waachie vyombo binafsi viendelee kuonyesha? TBC inaendeshwa kwa kodi za wananchi kwnn wanachi haohao wasiangalie bunge Live? je nani amewaambia wabunge wa sisiyemu kuwa kero kubwa ya wananchi ni kuonyeshwa kwa bunge live?? kweli huu ni umasikini wa fikra hata Rais nadhani anawashangaa kwa maana hawamsaidii bali wanampa wakati mgumu Magufuri atakapo kuwa anafanya kampeni 2020 maana ataona wananchi wanazidi kuichukia serikali kwasbsb ya upuuuzii huuu wa wabunge wa sisiyemu kuendelea kushabikia chama chao baadala ya maslahi ya Taifa.kama kweli mtastisha bunge si muda mrefu mtaramba matapishi yao maana wananchi tulikuwa na Imani na Magufuri lkn kwa dalili hizi sisiyemu ni ile ile hakuna maendeleo chini ya utawala wa sisiyemu hata iweje?.Nakuomba Rais Magufuri tumbua majipu ya mawaziri wanaokuangusha Mfano NAPE anakuangusha,na amefanya tuichukie serikali kwa kutunyima haki zetu.
JIBU tuhuma hii wewe unafikiri ni sababu gani za msingi zinazopelekea ukubali kuwa bunge lisionyeshwe Live ? majibu yako ndo yatatoa tathimini kama una akili au huna km wenzio??
 
Back
Top Bottom