Return Of Undertaker
JF-Expert Member
- Jun 12, 2012
- 4,572
- 26,868
Leo nimepata Habari za kustusha sana. Makampuni ya chuma ya China, Urusi na Uturuki yamehonga baadhi ya watendaji wa Serikali ya Awamu ya Tano kuchelewesha Mradi wa Mchuchuma na Liganga mpaka Mradi wa SGR uishe. Lengo ni kuhakikisha nchi hizo zinapata soko la Chuma chao.
Watendaji hao kutoka Wizara ya Fedha, Viwanda na Biashara na Ofisi ya Rais wamekula njama kiasi cha kuwezesha Bunge kutunga sheria kuondoa Kodi zote kwa Mataruma ya Reli yanayoagizwa kutoka nje na kuzuia Mradi wa Mchuchuma na Liganga kupata msamaha wa kodi kuwezesha mradi kuanza
Serikali inaagiza ‘bidhaa’ fulani kutoka kampuni ya ROSOBORONEXPORT kutoka Urusi zenye thamani ya $475m kutoka mkopo wa Benki ya SBERBANK ya huko huko kama sehemu ya mpango Mzima wa hongo za kuzuia nchi yetu isiwe na uwezo wa ndani wa kuzalisha bidhaa za chuma kama Reli
Yote haya yanafanyika chini ya uangalizi wa Rais Rais Maguful kiasi kwamba Rais amelishwa matango pori dhidi ya Mradi muhimu na wa kimkakati kama Mchuchuma na Liganga na yeye Rais anayasema haya matango pori hadharani. Nchi yetu imegeuzwa dampo la kuagiza bidhaa za chuma kihayawani
Mradi wa kuifanya nchi yetu kuwa mzalishaji wa pili wa chuma Afrika na kuweza kujitegemea kwa viwanda vya bidhaa za chuma kama Reli, Mabomba, vipuri, Nondo etc unauwawa kwa maslahi ya wachache. Tena wanasema wameagizwa na namba 1 kutafuta fedha za kampeni 2020.
Kuhujumu Mchuchuma na Liganga ni UHAINI. Baadhi yetu hatutasahau hujuma hii kamwe. Yeyote anayeshiriki atasakwa mpaka kaburini kwake. Ikibidi kuondoa kinga za watu itabidi ziondolewe ili iwe fundisho kwa uhujumu huu wa Uchumi wetu na uhai wa Taifa letu.
Msamaha wa kodi kwa Bomba la Mafuta kutoka Hoima Uganda ni mkubwa na hauna faida kulinganisha na Mradi wa Mchuchuma na Liganga utakaotoa ajira rasmi za kudumu 35,000, kuingiza forex mpaka $4.6bn kwa mwaka na kuifanya nchi yetu kuwa industrial giant. Rais Magufuli hili unahujumu nchi.
Watendaji hao kutoka Wizara ya Fedha, Viwanda na Biashara na Ofisi ya Rais wamekula njama kiasi cha kuwezesha Bunge kutunga sheria kuondoa Kodi zote kwa Mataruma ya Reli yanayoagizwa kutoka nje na kuzuia Mradi wa Mchuchuma na Liganga kupata msamaha wa kodi kuwezesha mradi kuanza
Serikali inaagiza ‘bidhaa’ fulani kutoka kampuni ya ROSOBORONEXPORT kutoka Urusi zenye thamani ya $475m kutoka mkopo wa Benki ya SBERBANK ya huko huko kama sehemu ya mpango Mzima wa hongo za kuzuia nchi yetu isiwe na uwezo wa ndani wa kuzalisha bidhaa za chuma kama Reli
Yote haya yanafanyika chini ya uangalizi wa Rais Rais Maguful kiasi kwamba Rais amelishwa matango pori dhidi ya Mradi muhimu na wa kimkakati kama Mchuchuma na Liganga na yeye Rais anayasema haya matango pori hadharani. Nchi yetu imegeuzwa dampo la kuagiza bidhaa za chuma kihayawani
Mradi wa kuifanya nchi yetu kuwa mzalishaji wa pili wa chuma Afrika na kuweza kujitegemea kwa viwanda vya bidhaa za chuma kama Reli, Mabomba, vipuri, Nondo etc unauwawa kwa maslahi ya wachache. Tena wanasema wameagizwa na namba 1 kutafuta fedha za kampeni 2020.
Kuhujumu Mchuchuma na Liganga ni UHAINI. Baadhi yetu hatutasahau hujuma hii kamwe. Yeyote anayeshiriki atasakwa mpaka kaburini kwake. Ikibidi kuondoa kinga za watu itabidi ziondolewe ili iwe fundisho kwa uhujumu huu wa Uchumi wetu na uhai wa Taifa letu.
Msamaha wa kodi kwa Bomba la Mafuta kutoka Hoima Uganda ni mkubwa na hauna faida kulinganisha na Mradi wa Mchuchuma na Liganga utakaotoa ajira rasmi za kudumu 35,000, kuingiza forex mpaka $4.6bn kwa mwaka na kuifanya nchi yetu kuwa industrial giant. Rais Magufuli hili unahujumu nchi.