Kazi ipo ukiwa public figure.Hutakiwi kufanya kitu ukidhania umejificha.Watu wanaona kweliZitto ulijua picha hizi ulipigwa na nani? Hahaha... kazi kwako!
Kuna gazeti moja limeandika eti DJ alikuwa anapita Nyerere Airport kwa ajili ya kuweka mafuta katika ndege yake tu, ambapo Salim na Zitto walikuwepo uwanjani hapo wakiwa njiani kwenda nje ya nchi. Kwa maana nyingine, eti waligongana hapo uwanjani kibahati tu, pasipo ahadi yeyote. Mmmh! Mbona kama wanakutana kisiri - hakuna dalili ya mtu yeyote mwingine katika eneo hilo? Salim na Zitto walijuaje watamkuta DJ eneo hilo kwa wakati huo? Too many questions which need to be answered.
Rais wa kwanza Kijana (Tanzania) - Zitto Kabwe
Bado najiuliza Protocal iliyopo hapo ni ya jinsi gani...! Rajoelina, Salim, Zitto...!
Huyu jamaa alikuja na mission gani kwa mnaojua?
When Andry Rajoelina (The DJ Who Has Become Africa's Youngest President) met with Zitto & Salim Ahmed Salim at Julius Nyerere International Airport... (few days ago)
Zitto ulijua picha hizi ulipigwa na nani? Hahaha... kazi kwako!
Huyu jamaa ni head of state ipi hiyo jamani, make hapa Africa hatuna nchi za Kihindi na huyu jamaa anaonekana kama mhindi