GE2025 Zitto: Oktoba 29 mkapige Kura hakutakuwa na vurugu yoyote

GE2025 Zitto: Oktoba 29 mkapige Kura hakutakuwa na vurugu yoyote

Matukio, Taarifa, Habari na Mijadala ya Wananchi WAKATI wa Mchakato wa Uchaguzi Mkuu 2025

Waufukweni

JF-Expert Member
Joined
May 16, 2024
Posts
4,393
Reaction score
14,500
Mgombea Ubunge Jimbo la Kigoma Mjini kupitia Chama cha ACT Wazalendo, Zitto Kabwe amewataka wasimamizi wa uchaguzi kuhakikisha zoezi la upigaji kura linakuwa la wazi kwa mujibu wa kanuni za uchaguzi mkuu.

"Ninajua watu wanahofu na uchaguzi, wengine wanauliza tukikupa kura hawa watu hawatoyafanya ya 2020? Nataka kuwahakikishia watu wa Lusimba na Ujiji, hakutokuwa na atakayeiba kura wala kuleta kura feki na atatangazwa atayeshinda.

Hivyo tarehe 29 kazi ni moja tu katika jimbo hili ni kwenda kupiga kura, na nendeni mkapige kura kwa wingi na kwa amani hakutokuwa na vurugu yoyote" amesema Zitto

Zitto alisema hayo wakati akizungumza kwenye mkutano wake wa Kampeni uliofanyika katika Kata ya Rusimbi Mkoani Kigoma, jana Oktoba 22, 2025.

 
K zake...jitu hovyo kabisa, mdini kupitiliza, kmmmyo zake, lipigwe na dafurau litokomee futi 50 chini ya ardhi
 
Mgombea Ubunge Jimbo la Kigoma Mjini kupitia Chama cha ACT Wazalendo, Zitto Kabwe amewataka wasimamizi wa uchaguzi kuhakikisha zoezi la upigaji kura linakuwa la wazi kwa mujibu wa kanuni za uchaguzi mkuu.

"Ninajua watu wanahofu na uchaguzi, wengine wanauliza tukikupa kura hawa watu hawatoyafanya ya 2020? Nataka kuwahakikishia watu wa Lusimba na Ujiji, hakutokuwa na atakayeiba kura wala kuleta kura feki na atatangazwa atayeshinda.

Hivyo tarehe 29 kazi ni moja tu katika jimbo hili ni kwenda kupiga kura, na nendeni mkapige kura kwa wingi na kwa amani hakutokuwa na vurugu yeyote" amesema Zitto

Zitto alisema hayo wakati akizungumza kwenye mkutano wake wa Kampeni uliofanyika katika Kata ya Rusimbi Mkoani Kigoma, jana Oktoba 22, 2025
Zitto natakiwa kuwaeleza wapiga kura ACT WAZALENDO wa nchi nzima kura za urais wa JMT wanampa nani?. Thread 'Election Predictions: Unaweza usiamini, Kura za ACT Wazalendo kwa Urais wa JMT, ni kwa Samia, Mgombea wa Urais wa CCM!.' Election Predictions: Unaweza usiamini, Kura za ACT Wazalendo kwa Urais wa JMT, ni kwa Samia, Mgombea wa Urais wa CCM!.
P
 
Uchoko uzeeni na njaa ni laana

Michepuko isizime dhamira yake, njaa haiwaji kua rafiki

Ila atateseka kwa kiwango laana alizokusanya
 
Zito unajiamini sana mjuba, ccm walishasema hawatachanganya pumba na mchele, we unautaka ubunge kupitia ACT, kura za rais apewe nani? Automatically we tayari umeishaangushwa na baba levo wa ccm. Seti ya ccm ni mafiga matatu, sasa we ukishinda ubunge huoni kuwa seti itaharibika?
 
Bora njaa ya tumbo kuliko njaa ya ubongo

Tanzania poleni Sana watu wengi kukosa elimu Ni siraha hatari Sana kwa wahuni Kama Zitto

Kwa nchi makini watu Kama Hawa Ni risasi tu

Imagine toka mwaka 2005 jamaa anawachezea tu.
 
Huyu jamaa hana kipato kingine tofaut na kwenye siasa?
 
Back
Top Bottom