nice 2 JF-Expert Member Joined Aug 10, 2011 Posts 747 Reaction score 520 Mar 3, 2013 #1 Masaa machache yaliyopita kamanda Zitto ka tweet ujumbe huu... Zittokabwe: Naingia kambini 835KJ. Kwaherini kwa muda kidogo hapa twitani. Nawatakia ndugu zetu wa #Kenya uchaguzi wa amani kesho na wachague #Change Binafsi namtakia Zitto kila la kheri, atoke kambini akiwa amewiva zaidi. #AmiriJeshiMkuu
Masaa machache yaliyopita kamanda Zitto ka tweet ujumbe huu... Zittokabwe: Naingia kambini 835KJ. Kwaherini kwa muda kidogo hapa twitani. Nawatakia ndugu zetu wa #Kenya uchaguzi wa amani kesho na wachague #Change Binafsi namtakia Zitto kila la kheri, atoke kambini akiwa amewiva zaidi. #AmiriJeshiMkuu
Janjaweed JF-Expert Member Joined Jan 20, 2010 Posts 13,152 Reaction score 10,681 Mar 3, 2013 #2 good news nimesikitika sana kusikia nasari amekimbia camp the boy needed to stick to his words
hekimatele JF-Expert Member Joined May 31, 2011 Posts 9,889 Reaction score 2,799 Mar 3, 2013 #3 Kwani wabunge wote wameambiwa waende jeshini? Sielewi jamani nielewesheni
nice 2 JF-Expert Member Joined Aug 10, 2011 Posts 747 Reaction score 520 Mar 3, 2013 Thread starter #4 hekimatele said: Kwani wabunge wote wameambiwa waende jeshini? Sielewi jamani nielewesheni Click to expand... Ilikua ni hiari, kwa wale ambao hawakupata fursa ya kuhudhuria, walipewa nafasi ya kujiandikisha ili waweze kuhudhuria mafunzo hayo
hekimatele said: Kwani wabunge wote wameambiwa waende jeshini? Sielewi jamani nielewesheni Click to expand... Ilikua ni hiari, kwa wale ambao hawakupata fursa ya kuhudhuria, walipewa nafasi ya kujiandikisha ili waweze kuhudhuria mafunzo hayo
Mangaline JF-Expert Member Joined May 19, 2012 Posts 1,045 Reaction score 222 Mar 3, 2013 #5 Nakutakia kila la kheri, kwa kipindi utakachokuwa jkt. Tunakuombea ukajengewe uzalendo zaidi, utoke ukiwa mwana-ccm, mzalendo, aliyeiva sawasawa. (ccm itatawala milele)
Nakutakia kila la kheri, kwa kipindi utakachokuwa jkt. Tunakuombea ukajengewe uzalendo zaidi, utoke ukiwa mwana-ccm, mzalendo, aliyeiva sawasawa. (ccm itatawala milele)
Lyimo JF-Expert Member Joined Mar 7, 2006 Posts 3,826 Reaction score 2,021 Mar 3, 2013 #6 Kila la heri. Ingawa muda ni mfupi, bilashhaka utasaidia kujenga na kuimarisha ujasiri na uzalendo. Viongozi maselule wameizamisha pabaya nchi yetu.
Kila la heri. Ingawa muda ni mfupi, bilashhaka utasaidia kujenga na kuimarisha ujasiri na uzalendo. Viongozi maselule wameizamisha pabaya nchi yetu.
Mjuni Lwambo JF-Expert Member Joined Apr 25, 2012 Posts 11,719 Reaction score 13,423 Mar 3, 2013 #7 Mangaline said: Nakutakia kila la kheri, kwa kipindi utakachokuwa jkt. Tunakuombea ukajengewe uzalendo zaidi, utoke ukiwa mwana-ccm, mzalendo, aliyeiva sawasawa. (ccm itatawala milele) Click to expand... Utakuwa umechanganya habari.
Mangaline said: Nakutakia kila la kheri, kwa kipindi utakachokuwa jkt. Tunakuombea ukajengewe uzalendo zaidi, utoke ukiwa mwana-ccm, mzalendo, aliyeiva sawasawa. (ccm itatawala milele) Click to expand... Utakuwa umechanganya habari.
Mangaline JF-Expert Member Joined May 19, 2012 Posts 1,045 Reaction score 222 Mar 3, 2013 #8 Mjuni Lwambo said: Utakuwa umechanganya habari. Click to expand... sijachanganya, namaanisha nilichoandika
Mjuni Lwambo said: Utakuwa umechanganya habari. Click to expand... sijachanganya, namaanisha nilichoandika
M maswitule JF-Expert Member Joined Nov 5, 2010 Posts 1,392 Reaction score 477 Mar 3, 2013 #9 nice 2 said: Ilikua ni hiari, kwa wale ambao hawakupata fursa ya kuhudhuria, walipewa nafasi ya kujiandikisha ili waweze kuhudhuria mafunzo hayo Click to expand... Wakuu hebu nipeni habari kamili camp ni miezi mingapi nataka na mimi niende.
nice 2 said: Ilikua ni hiari, kwa wale ambao hawakupata fursa ya kuhudhuria, walipewa nafasi ya kujiandikisha ili waweze kuhudhuria mafunzo hayo Click to expand... Wakuu hebu nipeni habari kamili camp ni miezi mingapi nataka na mimi niende.
K Kazinikazi Member Joined Feb 5, 2012 Posts 10 Reaction score 1 Mar 3, 2013 #10 Labda Nasari imegundua siri ya urembo
The Fixer JF-Expert Member Joined Mar 3, 2008 Posts 1,365 Reaction score 596 Mar 3, 2013 #11 835KJ ni Mgambo JKT . Kilometa kama 15 kutoka Kabuku njia kuu ya Tanga, Arusha na Dar na zaidi ya maili 9 hivi Wakulima wazuri wa mahindi na Machungwa wenye zaidi ya hekta 300 kila zao
835KJ ni Mgambo JKT . Kilometa kama 15 kutoka Kabuku njia kuu ya Tanga, Arusha na Dar na zaidi ya maili 9 hivi Wakulima wazuri wa mahindi na Machungwa wenye zaidi ya hekta 300 kila zao
M Mwikimbi JF-Expert Member Joined Mar 8, 2008 Posts 1,762 Reaction score 835 Mar 3, 2013 #12 Nakutakia zitto jeshi jema.isije ikawa ni janja ya ccm kuwamaliza. Chcochote kitakachowapata jkt nchi hii haitatawalika
Nakutakia zitto jeshi jema.isije ikawa ni janja ya ccm kuwamaliza. Chcochote kitakachowapata jkt nchi hii haitatawalika
Mjuni Lwambo JF-Expert Member Joined Apr 25, 2012 Posts 11,719 Reaction score 13,423 Mar 3, 2013 #13 Mangaline said: sijachanganya, namaanisha nilichoandika Click to expand... Anayezungumziwa sio mwana CCM, tafadhali bwana.
Mangaline said: sijachanganya, namaanisha nilichoandika Click to expand... Anayezungumziwa sio mwana CCM, tafadhali bwana.
nice 2 JF-Expert Member Joined Aug 10, 2011 Posts 747 Reaction score 520 Mar 3, 2013 Thread starter #14 maswitule said: Wakuu hebu nipeni habari kamili camp ni miezi mingapi nataka na mimi niende. Click to expand... Hii kozi maalum kwa wabunge ni wiki 3 kama sikosei
maswitule said: Wakuu hebu nipeni habari kamili camp ni miezi mingapi nataka na mimi niende. Click to expand... Hii kozi maalum kwa wabunge ni wiki 3 kama sikosei
Chibolo JF-Expert Member Joined Oct 13, 2012 Posts 5,768 Reaction score 8,037 Mar 3, 2013 #16 Hivi na sisi ambao hatukupitia tunaweza kwenda? Nauliza tu jamani au ni offer kwa wabunge tu,anayejua taratibu za kwenda anijuze.
Hivi na sisi ambao hatukupitia tunaweza kwenda? Nauliza tu jamani au ni offer kwa wabunge tu,anayejua taratibu za kwenda anijuze.
Neiwa JF-Expert Member Joined Feb 17, 2012 Posts 728 Reaction score 634 Mar 3, 2013 #17 Inapendeza. Hongera ZZK.
fredmlay JF-Expert Member Joined Apr 30, 2008 Posts 1,849 Reaction score 391 Mar 3, 2013 #18 The Fixer said: 835KJ ni Mgambo JKT . Kilometa kama 15 kutoka Kabuku njia kuu ya Tanga, Arusha na Dar na zaidi ya maili 9 hivi Wakulima wazuri wa mahindi na Machungwa wenye zaidi ya hekta 300 kila zao Click to expand... Ongeza na zao la muhogo, nafikiri ni zaidi ya km 15, nilikuwa pale '93
The Fixer said: 835KJ ni Mgambo JKT . Kilometa kama 15 kutoka Kabuku njia kuu ya Tanga, Arusha na Dar na zaidi ya maili 9 hivi Wakulima wazuri wa mahindi na Machungwa wenye zaidi ya hekta 300 kila zao Click to expand... Ongeza na zao la muhogo, nafikiri ni zaidi ya km 15, nilikuwa pale '93
amkawewe JF-Expert Member Joined Dec 9, 2011 Posts 2,021 Reaction score 528 Mar 3, 2013 #19 Mangaline said: Nakutakia kila la kheri, kwa kipindi utakachokuwa jkt. Tunakuombea ukajengewe uzalendo zaidi, utoke ukiwa mwana-ccm, mzalendo, aliyeiva sawasawa. (ccm itatawala milele) Click to expand... :tape2::boink:
Mangaline said: Nakutakia kila la kheri, kwa kipindi utakachokuwa jkt. Tunakuombea ukajengewe uzalendo zaidi, utoke ukiwa mwana-ccm, mzalendo, aliyeiva sawasawa. (ccm itatawala milele) Click to expand... :tape2::boink:
Leak Platinum Member Joined Feb 22, 2012 Posts 52,939 Reaction score 43,569 Mar 3, 2013 #20 Kila la kheri