ZITTO, NAPE live on Radio One

ZITTO, NAPE live on Radio One

kuwapambanisha Zitto na Nape ni sawa na kupambanisha Real Madrid na Tukuyu ya mbeya sijui utakuwa unataraji matokeo gani?

Madrid atashinda tu. Sasa nani madrid na nani Tukuyu mkuu?
 
Kuhusu kauli ya Lipumba juu ya vyama vyote vya upinzani kuitisha maandamano Zitto ameunga mkono pamoja na kusema Tanzania kwanza Chadema baadaye kama ilivyo katika katiba yao. Mjadala umeisha wakuu asanteni kwa kufuatilia hii thread.

asante sana sasa unaweza kuendelea kujibu wale waliokuwa wanaleta porojo wakati tunafuatilia mjadala, bug up kamanda
 
Kwa mara ya kwanza jana nimemskia nape angalau akiongea jambo lenye maana. Alikuwa anaunga mkono suala la uwajibikaji, na kusema wabunge wote waliotoa maoni yao wametimiza wajibu wao ipasavyo, akasisitiza Serikali inapaswa kufanyia kazi maoni hayo, tena ndani ya wakati, maana ikikaa kimya sana pia haitakuwa na maana.
 
Back
Top Bottom