The Gate of Heaven
JF-Expert Member
- Jul 14, 2014
- 234
- 67
Huyu mleta mada bila shaka atakuwa ndio mwenyekiti mwenyewe, na hapo tunapata picha ya uwezo wake wa kufikiri ulivyo.
Kwenye heading anamwambia zitto ndani ya wiki moja tu awe ametoka chadema, halafu kwenye maelezo yake anasema ni mbunge wa mahakama! sasa kama zitto ni mbunge wa mahakama ina maana tayari ameshatoka chadema, sasa inaposemwa ndani ya wiki moja awe ametoka chadema mnataka aende wapi?
Wewe mleta mada bila shaka ni mmojawapo wa vilaza wa pale ufipa.
Kwenye heading anamwambia zitto ndani ya wiki moja tu awe ametoka chadema, halafu kwenye maelezo yake anasema ni mbunge wa mahakama! sasa kama zitto ni mbunge wa mahakama ina maana tayari ameshatoka chadema, sasa inaposemwa ndani ya wiki moja awe ametoka chadema mnataka aende wapi?
Wewe mleta mada bila shaka ni mmojawapo wa vilaza wa pale ufipa.