Zitto nakupa wiki moja uondoke CHADEMA

Huyu mleta mada bila shaka atakuwa ndio mwenyekiti mwenyewe, na hapo tunapata picha ya uwezo wake wa kufikiri ulivyo.
Kwenye heading anamwambia zitto ndani ya wiki moja tu awe ametoka chadema, halafu kwenye maelezo yake anasema ni mbunge wa mahakama! sasa kama zitto ni mbunge wa mahakama ina maana tayari ameshatoka chadema, sasa inaposemwa ndani ya wiki moja awe ametoka chadema mnataka aende wapi?
Wewe mleta mada bila shaka ni mmojawapo wa vilaza wa pale ufipa.
 
Msalit zzk ni mshenzi tuu
tumpuze,
tuangalie changamoto kubwa zimazolikabili Taifa,tunapoenda kushika dola 2015.
Misukule ya lumumba ajiandae kutangulia The hague
 
Hata kama hana uwezo mmezidi sana mdomo kiasi kwamba sasa mnachosha. Ni sawa na mtu alolewa pombe anaongea hovyo usiku kucha.
Na nawaambieni kabisa kwamba Zitto akijiondoa rasmi Chadema na kuingia ACT, moto wa kisiasa utaripuka na utaona jinsi Chadema itakavyosambaratika maana sasa imefikia kuwa Chadema ina watu wake wanaoaminika - Chama cha Mpira, mnachosha sana hata kuwasikiliza!
We Mkandara nadhani ubongo wako una mkanda wa jeshi. Hivi Zitto aondolewe mara ngapi Chadema. Jina limeshafutwa kwenye orodha ya wanachama wa Chadema, ila kupitia mahakama. Nikukumbushe, Zitto ni mwanachama wa chadema kwa amri ya mahakama. Yeye ndiyo anaye ng'ang'ania kubaki chadema. Mkandara anza kula mbegu kabla mambo kuwa mabaya.
 
Last edited by a moderator:
Zitto Zuberi Kabwe aliyekuwa Mbunge wa Kigoma Kaskazini CHADEMA(sasa Mbunge wa Mahakama) nampa ‘‘grace period’’ ya wiki moja ya kufungaisha chochote alichobakisha katika ofisi yeyote ya CHADEMA(sijui kama vipo) na kuondoka. Upo CHADEMA ili iweje,hatukutaki!
Ulivyovimba kichwa ulidhani bila CHADEMA ungekuwa mwenyekiti wa PAC, ungekuwa mbunge wa Bunge la Katiba, ungejulikana kimataifa.
Tunazo sababu za kukulazimisha kuondoka CHADEMA kinguvu. Mbali na mikakati unayoifanya vichakani, lakini yapo haya ya wazi:-

1.Umehusishwa na njama za kutungua helkopta iliyotumiwa na katibu kipenzi chetu Dr.Slaa. Madiwani wa Shinyanga wamekuumbua. Hujakanusha ‘‘Silence means YES’’

2.Umehusishwa na mipango ya kubambikiza wanachama ugaidi. Kwa macho na masikio yangu nimekushuhudia Star TV ukiwa na Mwigulu Nchemba mkitangaza kuwa mna mkanda wa video ukionyesha vigogo wa CHADEMA wakipanga ugaidi. Nasema mkitangaza kwa kuwa yalipotamkwa haya na Mwigulu wewe ulikuwa pembeni yake, ukiwa kama Naibu Katibu Mkuu hukukanusha wala kuonyesha kukerwa na propaganda hizo zilizovuka mipaka. ‘‘Silence means YES’’

3.Katika mwendelezo wa kubambikiza kesi za Ugaidi ukaendeleza unafiki wako wakati Kamanda Lwakatare ‘‘Lwax’’ akiwa sero wewe ulikiandikia barua chama kwamba kijiweke mbali na kesi ya Lwakatare, bishaaa. Nikuulize wewe Msaliti Mkuu yupo wapi Lwakatare?

Kama hutaki kufungaisha virago tupe sababu za msingi kwa nini unaona ubaki kuwa mwana CHADEMA. Imebidi nifikishie ujumbe wangu kwa MM na ACT nzima
My Take:-Makamanda na wapenda mabadiliko wote niungeni mkono katika hili. Mods msifute, kama inawauma muiteni aje ajibu kwa nini tusimfurumushe


Mbona unasemea mafichoni? unatumia jina bandia km siyo mnafiki weka verified user lkn hii ya kusemea matakoni ni uoga na uzandiki, shujaa husema wazi bila woga. kelele tu ukiwa uvunguni.
 
tumxameh zitto arudi kwani atakuw rayar amexhajirekebisha,nashauri iundwe kamati ya wazee ndani ya chama wasuluhishe huu mgogoro samehe saba mara sabini...............
 
Kifupi Zitto ana moyo mkubwa sana kubakia Chadema hadi leo hii na sielewi kwa nini maana Dr.Slaa aliondoka CCM na akapata Umaarufu zaidi Chadema, historia imetufundisha mengi sana. Kama ningekuwa mimi nisingesubiri hata siku moja maana chama hiki kimekuwa club ya Mpira na sii chama cha Siasa tena. Ujinga mkubwa unaendelea na sidhani kama kuna mtu mwenye akili timamu atakubali kupelekeshwa kiasi hiki..Najaribu kumwelewa Zitto, lakini sasa imefika mahala nadhani aijitoe mwenyewe na kujiunga rasmi ACT halafu mchezo uanze, sisi watazamaji tukanunue soda na Popcorn.
Mkuu Mkandara,

Kisiasa huwezi kumlinganisha Dr. Slaa na Zitto, Zitto siyo mwanasiasa wa kutegemea kama wengi wanavyodhani, Zitto ni mwanaharakati kama walivyokuwa Mtikila na Lwamwai wa NCCR ya zamani.

Zitto anaweza kuwa na nguvu kama akijiunga na vyama vya kutetea haki za binadamu kama (HLRC) cha akina Kijo Bisimba, Ananilea Nkya au Jukwaa la Katiba la Kibamba au TLS-Tanganyika Law Society vyama ambavyo lengo lake si kushika dola.

Zitto anapata wakati mgumu sana kujiondoa Chadema kwa vile anajua nguvu zake (kisiasa) zilikuwa zinatoka wapi.

Zitto alipata nguvu wakati Chadema ingali bado kwenye siasa za harakati, leo chama kinajibadilisha kutoka kwenye uanaharakati kwenda kwenye mfumo wa chama kushika dola, wakati chama kikifanya reform Zitto bado yuko kwenye mfumo ule ule wa uanaharakati, hicho ndicho kinachofanya Zitto kutofautiana na Chadema.
 
OKW BOBAN SUNZU, wewe ndio unampa zitto wiki moja aondoke chamani au chama cha chadema ndio kinampa wiki moja, Hata hivyo nina wasiwasi kama ataondoka kwa hii wiki moja uliyoitoa

Zitto Zuberi Kabwe aliyekuwa Mbunge wa Kigoma Kaskazini CHADEMA(sasa Mbunge wa Mahakama) nampa ‘‘grace period’’ ya wiki moja ya kufungaisha chochote alichobakisha katika ofisi yeyote ya CHADEMA(sijui kama vipo) na kuondoka. Upo CHADEMA ili iweje,hatukutaki!
Ulivyovimba kichwa ulidhani bila CHADEMA ungekuwa mwenyekiti wa PAC, ungekuwa mbunge wa Bunge la Katiba, ungejulikana kimataifa.
Tunazo sababu za kukulazimisha kuondoka CHADEMA kinguvu. Mbali na mikakati unayoifanya vichakani, lakini yapo haya ya wazi:-

1.Umehusishwa na njama za kutungua helkopta iliyotumiwa na katibu kipenzi chetu Dr.Slaa. Madiwani wa Shinyanga wamekuumbua. Hujakanusha ‘‘Silence means YES’’

2.Umehusishwa na mipango ya kubambikiza wanachama ugaidi. Kwa macho na masikio yangu nimekushuhudia Star TV ukiwa na Mwigulu Nchemba mkitangaza kuwa mna mkanda wa video ukionyesha vigogo wa CHADEMA wakipanga ugaidi. Nasema mkitangaza kwa kuwa yalipotamkwa haya na Mwigulu wewe ulikuwa pembeni yake, ukiwa kama Naibu Katibu Mkuu hukukanusha wala kuonyesha kukerwa na propaganda hizo zilizovuka mipaka. ‘‘Silence means YES’’

3.Katika mwendelezo wa kubambikiza kesi za Ugaidi ukaendeleza unafiki wako wakati Kamanda Lwakatare ‘‘Lwax’’ akiwa sero wewe ulikiandikia barua chama kwamba kijiweke mbali na kesi ya Lwakatare, bishaaa. Nikuulize wewe Msaliti Mkuu yupo wapi Lwakatare?

Kama hutaki kufungaisha virago tupe sababu za msingi kwa nini unaona ubaki kuwa mwana CHADEMA. Imebidi nifikishie ujumbe wangu kwa MM na ACT nzima
My Take:-Makamanda na wapenda mabadiliko wote niungeni mkono katika hili. Mods msifute, kama inawauma muiteni aje ajibu kwa nini tusimfurumushe
 
Last edited by a moderator:
Zitto Zuberi Kabwe aliyekuwa Mbunge wa Kigoma Kaskazini CHADEMA(sasa Mbunge wa Mahakama) nampa ‘‘grace period’’ ya wiki moja ya kufungaisha chochote alichobakisha katika ofisi yeyote ya CHADEMA(sijui kama vipo) na kuondoka. Upo CHADEMA ili iweje,hatukutaki!
Ulivyovimba kichwa ulidhani bila CHADEMA ungekuwa mwenyekiti wa PAC, ungekuwa mbunge wa Bunge la Katiba, ungejulikana kimataifa.
Tunazo sababu za kukulazimisha kuondoka CHADEMA kinguvu. Mbali na mikakati unayoifanya vichakani, lakini yapo haya ya wazi:-

1.Umehusishwa na njama za kutungua helkopta iliyotumiwa na katibu kipenzi chetu Dr.Slaa. Madiwani wa Shinyanga wamekuumbua. Hujakanusha ‘‘Silence means YES’’

2.Umehusishwa na mipango ya kubambikiza wanachama ugaidi. Kwa macho na masikio yangu nimekushuhudia Star TV ukiwa na Mwigulu Nchemba mkitangaza kuwa mna mkanda wa video ukionyesha vigogo wa CHADEMA wakipanga ugaidi. Nasema mkitangaza kwa kuwa yalipotamkwa haya na Mwigulu wewe ulikuwa pembeni yake, ukiwa kama Naibu Katibu Mkuu hukukanusha wala kuonyesha kukerwa na propaganda hizo zilizovuka mipaka. ‘‘Silence means YES’’

3.Katika mwendelezo wa kubambikiza kesi za Ugaidi ukaendeleza unafiki wako wakati Kamanda Lwakatare ‘‘Lwax’’ akiwa sero wewe ulikiandikia barua chama kwamba kijiweke mbali na kesi ya Lwakatare, bishaaa. Nikuulize wewe Msaliti Mkuu yupo wapi Lwakatare?

Kama hutaki kufungaisha virago tupe sababu za msingi kwa nini unaona ubaki kuwa mwana CHADEMA. Imebidi nifikishie ujumbe wangu kwa MM na ACT nzima
My Take:-Makamanda na wapenda mabadiliko wote niungeni mkono katika hili. Mods msifute, kama inawauma muiteni aje ajibu kwa nini tusimfurumushe

Zito alisema yeye ndiyo atakuwa mtu wa mwisho kuondoka , sasa subirini siku CHADEMA kitakapokata roho ndiyo na yeye ataondoka , tunawaomba mvute subiri atimize ahadi yake.
 
Zitto Zuberi Kabwe aliyekuwa Mbunge wa Kigoma Kaskazini CHADEMA(sasa Mbunge wa Mahakama) nampa ‘‘grace period’’ ya wiki moja ya kufungaisha chochote alichobakisha katika ofisi yeyote ya CHADEMA(sijui kama vipo) na kuondoka. Upo CHADEMA ili iweje,hatukutaki!
Ulivyovimba kichwa ulidhani bila CHADEMA ungekuwa mwenyekiti wa PAC, ungekuwa mbunge wa Bunge la Katiba, ungejulikana kimataifa.
Tunazo sababu za kukulazimisha kuondoka CHADEMA kinguvu. Mbali na mikakati unayoifanya vichakani, lakini yapo haya ya wazi:-

1.Umehusishwa na njama za kutungua helkopta iliyotumiwa na katibu kipenzi chetu Dr.Slaa. Madiwani wa Shinyanga wamekuumbua. Hujakanusha ‘‘Silence means YES’’

2.Umehusishwa na mipango ya kubambikiza wanachama ugaidi. Kwa macho na masikio yangu nimekushuhudia Star TV ukiwa na Mwigulu Nchemba mkitangaza kuwa mna mkanda wa video ukionyesha vigogo wa CHADEMA wakipanga ugaidi. Nasema mkitangaza kwa kuwa yalipotamkwa haya na Mwigulu wewe ulikuwa pembeni yake, ukiwa kama Naibu Katibu Mkuu hukukanusha wala kuonyesha kukerwa na propaganda hizo zilizovuka mipaka. ‘‘Silence means YES’’

3.Katika mwendelezo wa kubambikiza kesi za Ugaidi ukaendeleza unafiki wako wakati Kamanda Lwakatare ‘‘Lwax’’ akiwa sero wewe ulikiandikia barua chama kwamba kijiweke mbali na kesi ya Lwakatare, bishaaa. Nikuulize wewe Msaliti Mkuu yupo wapi Lwakatare?

Kama hutaki kufungaisha virago tupe sababu za msingi kwa nini unaona ubaki kuwa mwana CHADEMA. Imebidi nifikishie ujumbe wangu kwa MM na ACT nzima
My Take:-Makamanda na wapenda mabadiliko wote niungeni mkono katika hili. Mods msifute, kama inawauma muiteni aje ajibu kwa nini tusimfurumushe

zito ni muuaji. Hana hata chembe ya ubinadamu. Kama unadiriki kumpeleka mwanaume mwenzio gerezani huku akiiacha familia yake huo ubinadam ulio nao uko wapi? Huna tofauti yoyote na shetani
 
Aondoke tu, binafsi simfagilii.....huyu kawepo hapo alipo kwa nguvu za chadema halafu anasahau alikotoka kwa shibe ya siku moja!
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom