Zitto na Wabunge, Zitto na CHADEMA, Zitto na Urais...

Naibu katibu mkuu wa chama cha demokrasia na maendeleo CHADEMA ZITTO ZUBER KABWE na mb wa kigoma kasikazini siku za hivi amekuwa akinukuliwa akisema anataka kuwa mgombea urais kupitia chadema huku hali ya chama hajui ikoje.Zito ni mlaku wa madaraka yaan kazi ya kujenga chama amewaachia kina Mbowe,Slaa,Lissu,Lema,Mnyika,Mdee na wengineo lakini katika hali isiyokuwa ya kawaida anakuja na kusema ana sifa za urais. Hili halikubaliki kwani wenye maamuzi ya kumpa kura ni HALMASHAURI KUU YA CHAMA NA siyo vyombo vya habari na baadhi ya watu wanaodhani zitto anakubalika!
 
Kwani hana haki kujaza fomu ya kugombea uraisi kupitia chama chake???? kwani katiba yenu, inasemaje???? inamnyima haki mwanachama kuchukua fomu ya kugombea uraisi??? Kwani akichukua fomu, kamati kuu ikamwengua, si atakuwa ametimiza haki yake ya Kidemokrasia???? Kwa nini mnaanza kuumana hata kabla ya kuingia Ikulu???? Tafakarini, kabla hamjamalizana. Tatizo lisiwe ukabila, udini, wala ubaguzi mwingine wowote ule. Mtatuvunja moyo, kama mlivyo wavunja moyo waislamu na wa zanzibari.
 
KITAKACHOIUA CHADEMA NI UKABILA NA UKANDA. NA HAWAMTAKI ZITO KWA SABABU HATOKI KASKAZINI. ILA NZITO ANGETOKA KASKAZINI AU ANGEKUWA MCHAGA ANGEPITA HATA KABLA YA HIYO 2015. watu wa kaskazini wanaitaka nchi hii kwa gharama yeyote ile. mimi kumbukumbu yangu tokea yameingia mageuzi tanzania . i mean mfumo wa vyama vyingi kila uchaguzi wa raisi unapofanyika basi katika wagombea uraisi wa kutoka kaskazini hawapungui asilimia 70. tokea enzi za MREMA RAISI, MVUNGIetc

Acha kupotosha,rais anatoka popote...zitto hatakiwi coz ni msaliti!ful stop...km unafuatilia yanayojiri sshv bungen utaelewa nachoongelea!
 
naibu katibu mkuu wa chama cha demokrasia na maendeleo chadema zitto zuber kabwe na mb wa kigoma kasikazini siku za hivi amekuwa akinukuliwa akisema anataka kuwa mgombea urais kupitia chadema huku hali ya chama hajui ikoje.zito ni mlaku wa madaraka yaan kazi ya kujenga chama amewaachia kina mbowe,slaa,lissu,lema,mnyika,mdee na wengineo lakini katika hali isiyokuwa ya kawaida anakuja na kusema ana sifa za urais. Hili halikubaliki kwani wenye maamuzi ya kumpa kura ni halmashauri kuu ya chama na siyo vyombo vya habari na baadhi ya watu wanaodhani zitto anakubalika!

wema sepetu anamponza huyu kijana
 
Kwani hana haki kujaza fomu ya kugombea uraisi kupitia chama chake???? kwani katiba yenu, inasemaje???? inamnyima haki mwanachama kuchukua fomu ya kugombea uraisi??? Kwani akichukua fomu, kamati kuu ikamwengua, si atakuwa ametimiza haki yake ya Kidemokrasia???? Kwa nini mnaanza kuumana hata kabla ya kuingia Ikulu???? Tafakarini, kabla hamjamalizana. Tatizo lisiwe ukabila, udini, wala ubaguzi mwingine wowote ule. Mtatuvunja moyo, kama mlivyo wavunja moyo waislamu na wa zanzibari.

Uctumie kchwa kufugia nywele tu! Zito hakatazwi kuchukua fomu ya urais tena anasifa lukuki hapa Tunachoongea ni MDA, TATIZO NI MDA, Wenzake hawalali, wanapgwa mabomu wakihangaika kujenga chama yeye anakuja kusema juu juu anataka urais kwa mantik ipi?
 
Na kama ni kuwanyima usingizi, Zitto anawanyima usingizi haswa:flypig:
Ni kweli kabisa Zito anatunyima usingizi sana. Zito Zuberi Kabwe alikuwa tegemeo la chama la vijana na uongozi ndani na nje ya chama. Mategemeo yalikuwa ni kuandaa vijana kuongoza chama na nchi hilo halina ubishi. Alipewa madaraka makubwa ndani ya chama na kusaidiwa na chama kuwa Mbunge. Kwa umri wake lazima ndio wangekuwa washika vijiti baada ya viongozi wa sasa na wagombea wa sasa. usingizi unapotea baada ya kuona nguvu na maandalizi yote yanapotea. Amekuwa akipishana sana na wenzeke wabunge, viongozi wenzake ndani ya chama. Mshikamano aliokuwa nao na wenzake umepwaya sana. Je itawezekana kweli kumsimamisha kwenye mbio za uongozi huku nyumbani haelewani na mtu itawezekana akashinda??? Ni Zito huyu huyu wabunge wenzake walitaka kumkimbiza kuwaongoza, ni Zito huyu huyu wabunge wenzake bila kujali chama wameenda Kigoma na wote kukataa kumfagilia ni Zito huyu huyu alikubali kununuliwa mitambo ya kitapeli ya RA ni Zito huyu huyu anaamini baadhi ya wenzake hawafai kuwa viongozi isipokuwa yeye mwenyewe. Zito huyu huyu hakubaliana na mfumo wa chama alichomo. Je anatunyima usingizi au hatunyimi. Anatunyima sana.

Tatizo Zitto ni mlengo wa kulia unaojaribu ku exist kwenye mlengo wa kushoto. Nadhani vita ya wanazi wa CDM dhidi ya ZK ni zaidi ya siasa.
Hakuna vita , kuna kukatishwa tamaa na mliyemtegemea thats it.

Hizi ni dalili za siku za mwisho wa chadema...wameanza kuvuana magwanda wenyewe kwa wenyewe...
Lazima anayetamani madaraka makubwa achambuliwe aangaliwe anachotamani ni kuongoza wananchi na kuwatoa kwenye lindi la umasikini au ni tamaa tu. Chama kina kuwa kwa kasi na haya ni matokeao ya kukua. Tuna tegemea watukutu wengi tu kutokea Zito sio wa Mwisho wala wa kwanza.

Hivi una watofautishaje Zitto na John Shibuda....

Zito anaakili, ni kijana, anajua anachotaka, tamaa yake ni kuwa Raisi. Amekifanyia chama mengi na ameshiriki kukijenga. Bado anaweza kubadilika na kuwa tegemeo sana ndani ya chama na nchi. Shibuda ni mwaribufu.

zitto ndiye rais ajaye acheni majungu,nyota yake hamuifikii

Ni kweli anaweza kuwa raisi, lazima ajue kuufikia uraisi kunahitaji unyenyekevu, busara, hekima, akili na subira. tamaa zikizidi atakuwa kama Lyatango au Maalimu Seif hawakuamini mwingine anaweza.

hahaha wale wa Slaa mapovu yanawotoka kweli kweli ama kweli ZZK ni zaidi ya tishio kwao

Sidhani kama kuna kundi la Slaa hapa kuna wanaopenda Tanzania na kuitakia mema. Slaa hata akiwa rais hardly ni one term or two Mungu akipenda. Ila Zito bado tunaye hata asingeweza kuwa 2015 ana weza kuwa 2020 au 2025. Hatuhitaji aendelee kufanya analofanya. Zito anaweza kuwa waziri mkuu au cheo kikubwa sana. hatuhitaji ndumila kuwili na mtu amabye ni rahisi kununulika.

NB:
Watananzia wamechoka na umasikini wa nchi. Wamechoka na viongozi Tamaa. Wamechoka na na Vijana wenye lugha nzuri wakiwa choka mbaya wakipata wanasahau walipotoka wanasahau wote walikuwa kama wale wananchi ambao wanalia na kuomboleza kwa shida na ugumu mkuu wa maisha.
 
Jamani.. kuna mambo mengine wakati utakapowadia yataonekana... otherwise mtatumia nguvu nyiiingi kufikiria mambo mengine ambayo wala hayapo.... just wait and see.... kaa, subiri, utapata majibu.... Wakati wa kugombea utafika, kila mtuatatangaza sera yake, kwa chama chake, na hatimaye kwa watanzania wote... wakati huo ndio tutajua nani mfanya fujo, nani mgombea... !
 
Uctumie kchwa kufugia nywele tu! Zito hakatazwi kuchukua fomu ya urais tena anasifa lukuki hapa Tunachoongea ni MDA, TATIZO NI MDA, Wenzake hawalali, wanapgwa mabomu wakihangaika kujenga chama yeye anakuja kusema juu juu anataka urais kwa mantik ipi?

Aksante kwa lugha yako nzuri uliyotumia! Ila sidhani kama chama bado hakijajengeka, Tangu uchaguzi wa 2010, tuliona na tukaridhika hatua ya kukua kwa chama, ila nadhani tatizo likawa TUME YA UCHAGUZI na KATIBA. Hii ndiyo maana Concern yetu kubwa iko kwenye Katiba (na hili ndilo haliwapi usingizi nyinyiemu). Pole sana kama concern yako ni MUDA. Nakutakia Usingizi mnono.
 
Ni kweli mkuu, mimi nilishapost hapa baada ya kukaa na kada wa ccm anayeshiriki kamati za ufundi na akaniambia wazi kuwa zito anaandaliwa na ccm ili agombee urais 2014 inasemekana kuwa atahama chama ili 2015 agombee urais, na hata safari yake na Rais kwenda Sudan kusini ilipangwa makusudi kwa mazungumzo hayo. Tukumbuke pia kauli ya JK kuwa 2015 hatapendelea kumkabidhi urais mtu mwenye umri kama wake akiwa pale Kigoma mwakajana kama sikosei akimwambia zzk, na ndio maana zzk anapta kichwa. Tukumbuke zzk ameshasema role model wake ni Jk, sasa mwaweza ona credibility yake kuwa ni ndogo sana. Anayesema jk ni role model wake lazima tuhoji uwezo wake na maadili yake coz jk kafail sana kiuongozi. Naunga mkono hoja kuwa CDM take care with this guy.
 
Back
Top Bottom