ulisha enda mbozi ukaiona chadema ilivyojaa,tunduma, njombe,tarime,kagera,shinyanga,mwanza,manyara? Acha hizooooooooooooooo!
kuua makini sasa hiyo mjkoa 7 Ndio una watawala wa TZ..sijona Chadema Zanzibar au mikoa ya Kusin PWANI.NK bado hate wewe waonesha haujaipenda chadema bali wa mpenda mtu kwenye Chadema hapo Dar.. pia bado kuna mchananyiko mwingi 2 jipangeni kwanza mimi ningependekeza Chadema tengenezeni Wa Bunge wengi then ndio muende huko kwenye IKULU