Mtego wa Noti
JF-Expert Member
- Nov 27, 2010
- 2,591
- 1,599
- Thread starter
- #21
muhongo anaulizwa kuhuu mrahaba, kwa nini ni kidogo mno wakati wengine ni mpaka 30%, indonesia ni 15%
muhongo anasema elimu ni kikwazo, anasema jana alikuwa moshi akaulizwa kuwa kuna nchi wanatoa 70%, anasema huko wanakopeana hiyo kiasi kuna partinership.
anasema watu wanapotosha, anasema sehemu zingine duniani kiasi ni hichohicho, asilimia 3%
muhongo anasema elimu ni kikwazo, anasema jana alikuwa moshi akaulizwa kuwa kuna nchi wanatoa 70%, anasema huko wanakopeana hiyo kiasi kuna partinership.
anasema watu wanapotosha, anasema sehemu zingine duniani kiasi ni hichohicho, asilimia 3%