Zitto na Lissu mnatuchosha sana

Zitto na Lissu mnatuchosha sana

Nawashauri kabla ya kutoa matamko yenu na kushauri serikali yetu hebu jaribuni kushirikisha kwanza hekima, busara na maarifa viwape mwelekeo kabla ya kutenda. Karibuni mmekuwa na mikurupuko mingi ya kisiasa inayowaweka rehani. Nawashauri mjitafakari sana kwani mnatuchosha sana watanzania wenye uelewa na tunaojitambua kimawazo na kiakili.

Serikali inayokula pesa za Rambi rambi? Serikali inayoongozwa na Mtu anasesimama kila kuna kuomba kupendwa akinunulia watu soda na karanga, Lakini anakamata mwenzake kwa kudimama na kusalimia Wananchi? Serikali Inayoongozwa na Mnafiki mwenye unafiki unaonuka kama maiti iliooza, Kwa Kuwapa Uwaziri watoto waliomtukana mgombea mwenzake Kuwa Kajinyea na Ni mfu Mtarajiwa, Lakini Miezi Mchache Baadaye anamweka Ndani na Kushinikiza asipate dhamana Mbunge ambaye aliota kuwa Atakufa!

Wewe una uelewa wewe? Seriously! Hata Kunguni ana Akili Kukuzidi.
 
Mi nilizani new president kwa upinzani anaweza kuwa zitto ila kwa ulopokaji huo mhhh.ok chizonje analopokka kilichommbeba watz kumuo mini ni vile waliiamini rais mkali ana waweze kuwa saidi
 
Nawashauri kabla ya kutoa matamko yenu na kushauri serikali yetu hebu jaribuni kushirikisha kwanza hekima, busara na maarifa viwape mwelekeo kabla ya kutenda. Karibuni mmekuwa na mikurupuko mingi ya kisiasa inayowaweka rehani. Nawashauri mjitafakari sana kwani mnatuchosha sana watanzania wenye uelewa na tunaojitambua kimawazo na kiakili.
Wanakuchosha wewe na nani bwana, kama ulivyosema" nawashauri "hivyo hivyo sema "MNANICHOSHA",elewa maana ya umoja na wingi nyau wewe.
 
Back
Top Bottom