We ni muongo mtukuka ! Kwann ukubali kuchoshwa?c uache kuwa angalia ?mbona huchoshwi kiranja wako wa kijani anapoweka binadamu kwe viroba na mawe na kuwalaza ruvu?mbona huchoshwi na uongo wa serikali ya ccm kukataa njaa na wakati ipo, tena wazi ? Mbona huchoshwi kagera kuambiwa ukimwi wao tetemeko wao ! Kuna anayeomba afikwe na mabaya ? Ww ndo ukague fikra na mdomo wako kabla huja achama kutema uozo unaoutoa ! Kujikomba gani huko mpaka unakosa staha !yaani unatwambia Lugha za kiranja wako anazotoa dhidi ya wananchi ni za staha ? Na zinafaa ? Km ndivyo,bac ndo maana na we unatoa hiyo minyoo kinywani mwak😵NA AIBU WW KIUMBE !