Zitto na Lissu mnatuchosha sana

Zitto na Lissu mnatuchosha sana

Ni kweli wametuchosha. Ona sasa huyu Zitto amefanya tugundue kuwa mzee Katelefone kuwa naye ni Muongo na mtu wa Sound kuliko hata Mwijage? Eti tuna tani milioni 1.5 ghalani. What a joke! Yaani yeye kasoma mahali kuwa China wana akiba hiyo basi anatupiga sound kuwa ni kwetu!
Lissu naye hafai kabisa, kamwita jamaa uchwara wazee wakakasirika sasa eti anamwita mtakatifu ndio wamekasirika zaidi. Mbona anawatia puresha hivi wazee? Wametuchosha sana! Kwani wanashindwa nini nao kuitikia kile kibwagizo cha "ndiooo mzeeee!"
 
Acha unafiki wewe! Huoni aibu kutumika na wahuni na mafisadi!? Tia akili kichwani.

Nawashauri kabla ya kutoa matamko yenu na kushauri serikali yetu hebu jaribuni kushirikisha kwanza hekima, busara na maarifa viwape mwelekeo kabla ya kutenda. Karibuni mmekuwa na mikurupuko mingi ya kisiasa inayowaweka rehani. Nawashauri mjitafakari sana kwani mnatuchosha sana watanzania wenye uelewa na tunaojitambua kimawazo na kiakili.
 
Nawashauri kabla ya kutoa matamko yenu na kushauri serikali yetu hebu jaribuni kushirikisha kwanza hekima, busara na maarifa viwape mwelekeo kabla ya kutenda. Karibuni mmekuwa na mikurupuko mingi ya kisiasa inayowaweka rehani. Nawashauri mjitafakari sana kwani mnatuchosha sana watanzania wenye uelewa na tunaojitambua kimawazo na kiakili.

Dah! Mnatutafutia ban tu hapa. Kama wenye uelewa na kujitambua ndio wenye mawazo kama haya, basi tuwape pole familia zao maana wao pia ni janga kama yanayotokea nchini kwa sasa.
 
Wapo kwenye harakati za mfa Maji..wakigeuka huku madeni..wakienda kule biashara zimebanwa..wakirudi huku hakuna safari za kamati za kamati za bunge za kila mwezi Nje ya nchi wala cha mafunzo..wakija hapa hakuna hata dalili ya kuitwa ikulu..kwa nini wasichanganyikiwe
 
Nawashauri kabla ya kutoa matamko yenu na kushauri serikali yetu hebu jaribuni kushirikisha kwanza hekima, busara na maarifa viwape mwelekeo kabla ya kutenda. Karibuni mmekuwa na mikurupuko mingi ya kisiasa inayowaweka rehani. Nawashauri mjitafakari sana kwani mnatuchosha sana watanzania wenye uelewa na tunaojitambua kimawazo na kiakili.
Kama hata kazi ya kuishauri serekali mnataka Lissu na Zitto wawafanyie,sasa kazi yenu ni ipi?.
 
Nawashauri kabla ya kutoa matamko yenu na kushauri serikali yetu hebu jaribuni kushirikisha kwanza hekima, busara na maarifa viwape mwelekeo kabla ya kutenda. Karibuni mmekuwa na mikurupuko mingi ya kisiasa inayowaweka rehani. Nawashauri mjitafakari sana kwani mnatuchosha sana watanzania wenye uelewa na tunaojitambua kimawazo na kiakili.
Kundulo unaliona,?
 
Nawashauri kabla ya kutoa matamko yenu na kushauri serikali yetu hebu jaribuni kushirikisha kwanza hekima, busara na maarifa viwape mwelekeo kabla ya kutenda. Karibuni mmekuwa na mikurupuko mingi ya kisiasa inayowaweka rehani. Nawashauri mjitafakari sana kwani mnatuchosha sana watanzania wenye uelewa na tunaojitambua kimawazo na kiakili.
Ni vilaza wasiotambua tofauti ya ukame na baa la njaa. Kunaweza kukawa na ukame na kusiwe na baa la njaa. Jamaa vilaza fulani hivi.
 
Nawashauri kabla ya kutoa matamko yenu na kushauri serikali yetu hebu jaribuni kushirikisha kwanza hekima, busara na maarifa viwape mwelekeo kabla ya kutenda. Karibuni mmekuwa na mikurupuko mingi ya kisiasa inayowaweka rehani. Nawashauri mjitafakari sana kwani mnatuchosha sana watanzania wenye uelewa na tunaojitambua kimawazo na kiakili.
Unachoka wewe, mbona unatuingiza na sisi wanaotufurahisha.
 
Nawashauri kabla ya kutoa matamko yenu na kushauri serikali yetu hebu jaribuni kushirikisha kwanza hekima, busara na maarifa viwape mwelekeo kabla ya kutenda. Karibuni mmekuwa na mikurupuko mingi ya kisiasa inayowaweka rehani. Nawashauri mjitafakari sana kwani mnatuchosha sana watanzania wenye uelewa na tunaojitambua kimawazo na kiakili.

wewe mtu mmoja unasimamaje kwa niaba ya watanzania? nani kakupa hayo mamlaka? sema wanakuchosha wewe. Mimi naona wako sahihi. Na huenda kuna mwigine tena anaona ama kufikiri tofauti na mimi. Hivo Mtanzania siyo wewe pekee yako
 
Lisu anafahamika nimtuwa kukurupuka ukupovulikimtoka. Sasa uyu Zito nashangaa tanguameoa kama anapoteza uelekeo. Yaani Zito anataka kufanana na akili za Lisu.Sasa sijui anataka kumwonyeshamkewe kwamba yeye ni Nguli wa siasa.
Nakushauri Zito Kuwa maarufu ni kazisana,Ilakuupotezaumaarufunitendo lakufumbanakufumbua. Ebukaa utafakarikablayakuropoka nakujiapi za kwavituambavyo huvijui. Watanzania wataacha kukuamini alafu wakakuweka kwenyekundila Lema, Lisu n.k
 
Nawashauri kabla ya kutoa matamko yenu na kushauri serikali yetu hebu jaribuni kushirikisha kwanza hekima, busara na maarifa viwape mwelekeo kabla ya kutenda. Karibuni mmekuwa na mikurupuko mingi ya kisiasa inayowaweka rehani. Nawashauri mjitafakari sana kwani mnatuchosha sana watanzania wenye uelewa na tunaojitambua kimawazo na kiakili.
Na kwa haya mambo ya pogba utawachoka kweli na kila siku wataibuka wengine, ila wenye akili wanawaelewa sana.
 
Hawa jamaa kwa sasa waatafuta NITOKE VIPI!Huko kutapatapa ni dalili ya kushindwa..
Mkuu a cha masihala, kuna dalili kubwa ya NJCAA mwaka, karb kila mkoa hakuna mvua, au mpaka afe ndugu yko kwa njaa ndio uamini?, acha ufia chama
 
Nawashauri kabla ya kutoa matamko yenu na kushauri serikali yetu hebu jaribuni kushirikisha kwanza hekima, busara na maarifa viwape mwelekeo kabla ya kutenda. Karibuni mmekuwa na mikurupuko mingi ya kisiasa inayowaweka rehani. Nawashauri mjitafakari sana kwani mnatuchosha sana watanzania wenye uelewa na tunaojitambua kimawazo na kiakili.
Ulishawahi kumuambia Magu atumie busara na hekima na aache kulipuka na kutoa maneno yanayoudhi kwa wananchi..?!
Toa kwanza boriti kwenye jicho lako wewe...
 
Nawashauri kabla ya kutoa matamko yenu na kushauri serikali yetu hebu jaribuni kushirikisha kwanza hekima, busara na maarifa viwape mwelekeo kabla ya kutenda. Karibuni mmekuwa na mikurupuko mingi ya kisiasa inayowaweka rehani. Nawashauri mjitafakari sana kwani mnatuchosha sana watanzania wenye uelewa na tunaojitambua kimawazo na kiakili.
Wewe ndiye hujielewi kabisa !! Hoja hizi za wapinzani ni kutaka tuongozwe vizuri tena fairly
1. Mfano mtu anagusia ukame uliopo ukweli na mazao yote yameteketea mashambani huyu unamchukia kwa lipi ??!!
2. Mtu anaonya juu ya elements za udicteta , huyo ni mzalendo wa dhati.

Bahati mbaya wewe nadhani hata hujawahi kutembea na kupata exposure ulinganishe nchi yetu na nyingine
 
Back
Top Bottom