Ila pia kijana zito unaongea sana thus y hata sisi vijana wenye lengo la kuikomboa tanzania tuna kuwa na mashaka nawe. Y unaongea sana. Mana leo nimepitia gazeti la mwananchi ukiwa katika mkutano wa hahdara kigoma unasema wazako chadema wanachuki na wewe,na unataka kugombea uraisi!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!! Mbona mapema sana plz kijengeni chama kwanza mana bila kufanya hivyo hata ukija gombea urais itakuwa kazi bure mana chama kitakuwa hakina nguvu .
Plz zito acha kuongea sana na sasa ukiwa kama katibu msaidizi,zama katika malango ya kujenga chama na si vinginevyo.
Plz zito acha kuongea sana na sasa ukiwa kama katibu msaidizi,zama katika malango ya kujenga chama na si vinginevyo.