Ben Saanane
JF-Expert Member
- Jan 18, 2007
- 14,581
- 18,124
Hata mimi sitaamini hadi Kurugenzi ya Habari au Makene atakapotutaarifu vinginevyo ni safari yake binafsi.
kwa sababu aliyetoa habari ni yule yule aliyekuwa anatupa ratiba ya Kinana.
Hata hivyo Mkuu Quinine,Kurugenzi ya Habari makao makuu sidhani kama itatakiwa kutoa taarifa juu ya kazi binafsi zinazofanywa na Naibu Katibu Mkuu WA ZAMANI.
Maana wabunge wa chama wanapoenda majimboni mwao kwa shughuli za kibunge au binafsi Kurugenzi huwa haiwajibiki kutoa taarifa unless kama ni ziara ya Kitaifa au kiuongozi
Viongozi wakubwa kama wajumbe wa kamati kuu ambao ni wabunge kwa mfano Msigwa,Lema au Mdee wanapofanya ziara majimboni huwa kurugenzi haitangazi ,hata Mnadhimu Mkuu wa kambi ya Upinzani Tundu Lissu
So nilipoulizia source nilitarajia iwe Facebook ,Twitter au Tamko la Mwanasheria wake pale Serena Hotel kutoa ufafanuzi wa Ziara ya Mteja wake
Pia ningeshashauri aambatane na Mwanasheria wake ili amuongoze katika matamshi katika mkutano huo ambao taarifa zinaeleza CCM wako busy kwa maandalizi na kuratibu maandamano .My Candid advice !
Last edited by a moderator: