Mzee Uchwara
Senior Member
- Oct 28, 2013
- 119
- 35
Hata mimi sitaamini hadi Kurugenzi ya Habari au Makene atakapotutaarifu vinginevyo ni safari yake binafsi.
kwa sababu aliyetoa habari ni yule yule aliyekuwa anatupa ratiba ya Kinana.
zito anaenda kwa wapiga kura wake waliomchagua hana haja ya kumtaarifu kibaraka makene. Hii ziara anaraibu mwenyewe mh zito kama mbunge.