AdvocateFi
JF-Expert Member
- Jan 15, 2012
- 11,492
- 5,049
Zitto ajiandae tu kulima, dodoma apasahau kabisa
Umepaniki mkuu... zitto ameleta maendeleo kigoma kwa fedha zake za mfukoni? Maendeleo yameletwa na serikali. Pia Acha ubaguzi wa kimkoa kusema siasa za kigoma waachiwe wakigoma wenyewe. Halafu mtoa hoja hakuna sehemu amemtaja Dr slaa ni wewe tu umekurupuka.
Wwe ni juha, acha siasa za mahaba. Zito ni mtu na mwanasiasa makini. Anastahili sana kuwepo bungeni.Ni miongoni mwa watu ambao tuwaombea kwa Mungu washinde uchaguzi huu na kuwepo bungeni.
Kwa hali halisi tuliyoiona Kigoma Jimboni kwa Zitto Kabwe kuna kila dalili huyu kiongozi akaukosa Ubunge mwaka huu.
Tumetembea sehemu mbalimbali na tukafanya mazungumzo na wananchi wengi kuna kila dalili Zitto akashindwa kurudi bungeni.Wananchi wengi wanashangaa Zitto kutokuwa na muda wa kufanya kazi jimboni na kujihusisha zaidi na mambo ya kitaifa huku akisahau wananchi waliomchagua.
Wengine wanadai ni kwanini awe msaliti wa chama kilichomjenga na wanaonyesha dhahiri wanaichukia CCM ambayo Mbunge huyo anashutumiwa kutumiwa ili kuharibu harakati za mabadiliko.
Kwa kweli Zitto ana kazi kubwa sana kwani hawa wana Kigoma wanaonekana wameamka na wanajitambua kwelikweli!
Mbona sasa HV mkisikia tu jina la Dr slaa matumbo yanachemka? Nilichokuwa nataka kueleza ni kuwa hakuna Wa kumzuia zitto kwenda Bungeni,uliza Jana kilichomkuta kafulila baada ya kumponda zitto jukwaani,poleni sana nyumbu Dr slaa ni kinyago mlichokichonga nyie mwenyewe lkn Leo hii kinawatisha nyie mwenyewe
Zitto hawezi kurudi bungeni mimi nakataa hata kama wapambe wake wanasema ametenga milioni mia tano ya kuhakikisha anashinda . Ukweli ni kwamba hawezi kushinda zitto huo ndio ukweli
Mbona karudi sasa?
Zitto ajiandae tu kulima, dodoma apasahau kabisa
Hehehe wabongo bna, mmeisakua hii post kumuaibisha mleta mada
Zitto hawezi kurudi bungeni mimi nakataa hata kama wapambe wake wanasema ametenga milioni mia tano ya kuhakikisha anashinda . Ukweli ni kwamba hawezi kushinda zitto huo ndio ukweli