MLALUKO JR
JF-Expert Member
- May 3, 2015
- 962
- 309
Zitto ndo katu-flag team Mawese Mjini,Waha sasa heshimaaaaaaaaaaaa
Vipi,ulikuwa unaandika lakini? Leta ngonjera nyingine tena.Kwa hali halisi tuliyoiona Kigoma Jimboni kwa Zitto Kabwe kuna kila dalili huyu kiongozi akaukosa Ubunge mwaka huu.Tumetembea sehemu mbalimbali na tukafanya mazungumzo na wananchi wengi kuna kila dalili Zitto akashindwa kurudi bungeni.Wananchi wengi wanashangaa Zitto kutokuwa na muda wa kufanya kazi jimboni na kujihusisha zaidi na mambo ya kitaifa huku akisahau wananchi waliomchagua.Wengine wanadai ni kwanini awe msaliti wa chama kilichomjenga na wanaonyesha dhahiri wanaichukia CCM ambayo Mbunge huyo anashutumiwa kutumiwa ili kuharibu harakati za mabadiliko.Kwa kweli Zitto ana kazi kubwa sana kwani hawa wana Kigoma wanaonekana wameamka na wanajitambua kwelikweli!
msema ukweli ni October 25 tu haya mengine ni mbwembwe tu
Na mwengine huyu hapa aliota ndoto hizo hizo.Ndio karudi sasa.... Utashaaa!!!