Zitto: Korosho zilimwagwa Baharini

Zitto: Korosho zilimwagwa Baharini

Mmawia

JF-Expert Member
Joined
Aug 20, 2013
Posts
122,521
Reaction score
96,267
Baada ya serikali ya Jiwe kuingilia ununuzi wa korosho kutoka Mtwara.

Kumbe ilikosa soko la kuuza baadhi ya korosho na kuamua kuzimwaga baharini kwa kuona aibu.

Mh ZZK ametufumbua macho sisi tuliopiga sana kelele juu ya Jiwe kuingilia ununuzi wa korosho.

Hii ni aibu kubwa sana kama taifayulijitafutia kwa uamuzi wa mtu mmoja tu.

Screenshot_20220427-210221.jpg
 
Baada ya serikali ya Jiwe kuingilia ununuzi wa korosho kutoka mtwara.

Kumbe ilikosa soko la kuuza baadhi ya korosho na kuamua kuzimwaga baharini kwa kuona aibu.

Mh Zzk ametufumbua macho sisi tuliopiga sana kelele juu ya Jiwe kuingilia ununuzi wa korosho.

Hii ni aibu kubwa sana kama taifayulijitafutia kwa uamuzi wa mtu mmoja tu.View attachment 2202765

Hakuna mvuvi aliyevua korosho baharini muangalie jinsi ya kusema uongo wenu.
 
We don't trust you na cheap politics zako,another drama reloaded......after kumwaga hizo korosho baharini then akafanya nini tena!

Drama since morning up to evening,na si mfanye kazi mmmscheeeew!
 
Back
Top Bottom