kwa ufupi hizi spinning za akina zitto na wenzake imekula kwao.
chadema imeshakuwa kubwa mno, ni taasisi ambayo ina taratibu, kanuni, miongozo na katiba. Walishindwa kutambua hilo hawa ndugu, wamelikoroga, hawana budi ila kulinywa
sioni option yeyote iliyobaki kwa cc ya chadema zaidi ya kupigilia msumari wa moto wa hawa jamaa kufukuzwa chama completely
they betrayed watanzania, they betrayed harakati za ukombozi, they betrayed taifa letu la tanzania.
vitani askari akigeuka nyuma anapigwa risasi na vita inaendelea. sioni matumizi tofauti ya falasafa hii kwa cc ya chadema. ni fukuza kabisa.
nyoka akiingia chumbani kwako ni shurti untafute katika kona zote na umgonge kichwa afilie mbali la sivyo atakufanyia timing na kukukwiba kwa simu kali na unaweza kufa.
kwaherini wasaliti wote. chadema iliwapenda lakini naona ccm imewapenda zaidi