NEC wametoa taarifa mida hii.
Wanasema hakuna tatizo lolote ambalo limejitokeza hadi sasa.
Wanasema taarifa za mitandaoni zipuuzwe.
Mwenyekiti wa Tume ya Taifa ya Uchaguzi, Jaji Mstaafu Semistocles Kaijage amesema Tume hiyo haijapokea taarifa za uwepo wa kura feki katika majimbo ya Kawe, Pangani na Kigoma.
Amewataka wananchi kuendelea kujitokeza kupiga kura katika muda huu mchache uliobaki.
Chanzo: Millard Ayo
Hapana siyo uthibitisho, subiria wakuwekee kakidole ka kati ndiyo utaamini, sawa dogo?Yaani hiyo picha hapo ndio kithibitisho?
Mwambie Zitto, Membe anamuita huku
Mwambienj beberu awafungulieFungulieni mitandao kama mnajiamini
Hizo zilizokamatwa, ngapi zimepenya????View attachment 1614790
Chanzo: Zitto Kabwe
SawaMwambienj beberu awafungulie
Sema jingine
Hivyo viti vilikuwa pia ndani ya kiroba?Viroba vya kura!View attachment 1614831
Ndo mlichokua mnataka Lisu akiruhusu akipewa sapoti na beberu............tinduaneni wenyewe marinda wazalendo hatuna hizo tabiaSawa
Panua tako tuiingie
Vipi kidumu cha petroliNdugu zangu ACT toweni na Vipigo kwa wahusika wa Kura Bandia
Mtu mzima kakulia Africa anafikiria madaraka yanaachiwa kwa kipande cha karatasiHivi kweli kwa akili za kawaida unaweza kuwatoa MATAGA kwa sanduku la kura ?
Mifumo imeoza kila sehemu
Wamempiga Wakala wetu hadi kazirai na sisi tunasubiri wamtangaze Kanyasu ili kupiga kiberiti jengo la HalmashauriVipi kidumu cha petroli
Tuma picha tu acheni kua ma keyboard warrior kwa sasa.......tunahitaji tuone yale yote mliyoahidiWamempiga Wakala wetu hadi kazirai na sisi tunasubiri wamtangaze Kanyasu ili kupiga kiberiti jengo la Halmashauri
Ngoja watangaze uone motoTuma picha tu acheni kua ma keyboard warrior kwa sasa.......tunahitaji tuone yale yote mliyoahidi
Ngoja ngoja ni ugonjwaMagufuli na phd yake anataka kuiingiza nchi kwenye machafuko, ila ngoja tutafika tuu
Mshaanza kupapaswa mda sana na bado unasema waone.....wao wameshaanza nyie bado eti uone......mpapaso kwenda mbeleNgoja watangaze uone moto
Wameshaanza kutafuta sababu mapemaChadema jiandaeni kisaikolojia, kile mnachokitarajia hamtakipata asilani. Watanzania tunajua tunacho kitaka. Mungu ibariki Tanzania.