O oldisgold Senior Member Oct 2, 2013 198 64 Dec 24, 2013 #161 sasa ripoti ya investigesheni iko wapi?
Z zanzibar huru JF-Expert Member May 28, 2012 218 108 Nov 12, 2014 Thread starter #163 Kwani kashaenda AUSTRALIA kujua hiyo kampuni ya miraji na dada yake au?
C CRITICAL MIND JF-Expert Member Sep 1, 2013 416 399 Feb 9, 2015 #164 Majina ya wenye pesa HSBC hayajatajwa hivyo no news
MANI Platinum Member Feb 22, 2010 7,320 6,376 Jul 4, 2015 #166 HNIC said: Kataja majina leo huko Mwembe Yanga? Click to expand... Hana ubavu huo!
HNIC JF-Expert Member Sep 6, 2011 1,898 2,195 Jul 5, 2015 #167 zitto ameniangusha sana kwenye hili itabidi nifikirie namna ya kum categorize
G George Smiley JF-Expert Member Oct 24, 2011 471 266 Feb 26, 2016 #168 Mwanaukweli said: Zitto anafanya kazi nzuri sana. Tumuunge mkono. Click to expand...