johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 104,319
- 183,522
Mara kadhaa Zitto amenukuliwa na mitandao ya kijamii akiwashauri wanaomwita yeye msaliti waweke akiba ya maneno. Na miongoni mwa walomponda ni Mnyika na Slaa pamoja na BAVICHA wengi hapa JF.
Sasa kwa haya yanayoendelea CHADEMA, je Zitto bado ni msaliti? Na Mbowe ataitwaje? Kwanini UKAWA walimwaminisha Lipumba anaweza kuwa Rais ilhali nafasi hiyo ilikuwa ni ya CHADEMA?
Dr. Slaa hakuwa sehemu ya ujanja/hujuma hiyo? Big up Zitto Zuberi Kabwe uliona mbali!
Sasa kwa haya yanayoendelea CHADEMA, je Zitto bado ni msaliti? Na Mbowe ataitwaje? Kwanini UKAWA walimwaminisha Lipumba anaweza kuwa Rais ilhali nafasi hiyo ilikuwa ni ya CHADEMA?
Dr. Slaa hakuwa sehemu ya ujanja/hujuma hiyo? Big up Zitto Zuberi Kabwe uliona mbali!