johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 104,319
- 183,534
- Thread starter
- #61
Mkapa ana hasira ya washikaji zake Mramba na Yona kufungwa na serikali ya JK, sasa tegemeo pekee ni mdogo wao Magufuli ashinde urais aje kuwatoa. So ukionekana kumkwamisha Pombe wewe ni 'lofa na mpumbavu'!! But Mkapa aweke akiba maana yeye na lodilofa ni copyright...teh...teh...!!