Mwan mpambanaji
JF-Expert Member
- Apr 3, 2008
- 482
- 131
Spika ndio kikwazo cha uwajibikaji,mie nadhani anatakiwa aache sheria ichukue mkondo wake na si mambo ya busara za spika.,Ila yote yana mwisho
- Sisi wengine siku hizi tunali-appreciate bunge letu maana kama sasa mpaka Waziri Mkuu analazimishwa kuomba radhi, wakuu tumetoka mbali sana na hili bunge, I mean wanahitaji heshima japo kidogo!
mkuu kana -ka -nsungu ni hivi bado huyo zitto hana haki ya kulalamika au kupiga kelele wakati ye yumo ndani habari kama hizi alitakiwa aongee mrema,,lipumba,,kama alikuwa anaona sheria zinapindishwa na anauhakika sheria ilishawahi kufwata mkondo wake juu yake why not her??then kwa nini asimwambie spika???kama ulimsikia namnukuu
mh spika kosa alilofanya ni kubwa kwa kuufuata sheria hata uwaziri angetakiwa avuliwe
"""""""""""""LAKINI NAOMBA TUSIFIKE UKO"""Why???mbona kwake walimfikia tena si uko
mpaka barabarani wakaendelea kudili nae !!!!ashukuru mungu wazee wa kigoma!!!
Originally Posted by Field Marshall ES
- Sisi wengine siku hizi tunali-appreciate bunge letu maana kama sasa mpaka Waziri Mkuu analazimishwa kuomba radhi, wakuu tumetoka mbali sana na hili bunge, I mean wanahitaji heshima japo kidogo!
Uncle Tom! tunajua ajenda yako humu
Pasco,
Ubutu wa bunge unaupimaje ndugu.