chabuso
JF-Expert Member
- Feb 18, 2013
- 6,380
- 5,871
Unafananisha Japan na Tanzania?
Japan itaendeleea kukopeshwa, hata kama deni Lake ni sawa na uchumi wake,
Japan uchumi wake unajulikana, Japan ni nchi ya Viwanda..
Tanzania, nchi zinazotukopesha zitakatika tamaa, Tanzania uchumi wake haujulikani, sio nchi ya Viwanda wala kilimo,
Tanzania ni nchi tegemezi,inategemea mikopo ili kuendesha mambo yake..
Tuombe hawa wanaotupa mikopo wasije wakasusa kutukopesha..
God. Bless TZ
Japan itaendeleea kukopeshwa, hata kama deni Lake ni sawa na uchumi wake,
Japan uchumi wake unajulikana, Japan ni nchi ya Viwanda..
Tanzania, nchi zinazotukopesha zitakatika tamaa, Tanzania uchumi wake haujulikani, sio nchi ya Viwanda wala kilimo,
Tanzania ni nchi tegemezi,inategemea mikopo ili kuendesha mambo yake..
Tuombe hawa wanaotupa mikopo wasije wakasusa kutukopesha..
God. Bless TZ