Zitto Kabwe unamaanisha nini hapa?

Zitto Kabwe unamaanisha nini hapa?

Mkuu, ukimfuatilia Zitto ndipo utajuwa huyu jamaa anachanganikiwa. Leo atasema haya na kesho yale....kwa aliyo andika hapa inaonekana kabisa anamunga mkono Putin ila usishangae akaja kesho kumkashifu Putin huyo huyo. Huyo ndiyo kijana Zitto, mtu asiyejitambua.
Huyo unaye msujudia ndo atakuchanganya ova zege. Eg 'mgogoro wa zenji nitautatua' Mara 'wana mamlaka yao, wautatue wenyewe'
 
Honest uwa naumia sana pale ninapoona mwanasiasa, ama kwa kuelewa au kutokuelewa anapotosha umma kwa makusudi

Suala la Russia na Putin pamoja na matajiri (Oligarchs) mara nyingi limekuwa likipotoshwa na mataifa ya magharibi kwa maslahi yao binafsi, nasikitika nawe mh mbunge unayejipambanua kuwa ni mwana demokrasia mahiri,
Nawe unaangukia katika mkondo huo potofu

Turejee katika mada yetu,baada ya kuvunjika kwa Soviet union ( USSR) katika miaka ya mwanzoni wa tisini, na kuzaliwa kwa Russia fedelation, kama wengi tunavyojua kuna mageuzi makubwa sana yalitokea kiuchumi, ambapo walitoka kuwa state own economy kwenda kuwa free market economy

Ambako kwa kutumia mwaya huo watu wachache waliokuwa na mahusiano ya karibu ya Rais wao wa wakati huo, mlevi Boris Yelstin walitumia mwaya huo kwa kununua makampuni mengi hasa mafuta, ambayo yalikuwa yanamilikiwa na Serikali kwa bei ya kutupa
Na hapo ndio likawa chimbuko kubwa la kuifanya Russia kuwa ni moja ya taifa lenye mabilionea wengi hapa duniani

Hiyo ikawa ni moja ya fursa kubwa sana, iliyotumiwa na mataifa ya kimagjaribi hasa Marekani na kibaraka wake mkubwa Uingereza kuanza kujiingiza moja kwa moja katika uchumi wa Russia
Hasa ukizingatia Russia ni moja ya nchi zenye utajiri mkubwa sana wa natural resources kama gesi na mafuta

Hatua hiyo ilipelekea Russia, ambayo wakati fulani ilipata kuwa moja ya nchi zenye nguvu kubwa sana ya kijeshi, kupoteza ushawishi wake katika siasa za kimataifa

Hilo lilikuwa ni moja ya kosa kubwa sana kufanywa na Bwana Boris Yelstin, bahati nzuri aligundua kosa lake, wakati moja aliwahi kukiri katika kitabu chake
Kitu kilichomfanya kutafuta mtu madhubuti na imara, atakaye kuwa mrithi wake, ndipo alipomuibua Bwana Vladimir Putin ( former KGB, shirika la ujasusi la USSR na baadaye RUSSIA)
kumfanya waziri nkuu wake na baadaye Rais

Alipoingia madarakani moja ya jambo alilofanya Putin, ni kuwaita hao matajiri wa Russia ambao kiukweli utajiri wao mwingi ulitokana na Rushwa na ufisadi, na kuwaomba wasahau ya nyuma ila waungane naye na kuijenga Russia mpya yenye nguvu kama zamani
Na aliwaambia anawajua wote na ni kwa namna gani walipata utajiri wao, ukizingatia alikuwa ni jasusi wa zamani

Kwa hatua hiyo baadhi ya matajiri( oligarchs) walikubaliana naye mfano Roman Abrohonovic ila baadhi walimpinga kwa nguvu zote wakiamini baadhi ya maslahi yao binafsi yatakoma mfano kina Mikhail Khodorkovsky, ambao walianza mbinu za kusupport upinzani na kumwamisha Putin, na kweli aliwashughulikia

Hivyo basi Putin sio dikteta kama unavyodhani ila ni kwa sababu amezuia maslahi ya mataifa ya magharibi hasa Marekani, na kuifanya Russia sasa kuanza kuheshika duniani

Acha kupotosha umma
 
Plain and clear...Magufuli anatengeneza oligarchy yake...watapiga deals humo mpaka nchi ikauke...Kikwete na oligarchy yake waliinyonya nchi, Magufuli na yake wataifyonza, wataikamua na mwisho wataikausha kabisa.
[HASHTAG]#gomagufuligo[/HASHTAG] [HASHTAG]#hapakazitu[/HASHTAG]
Una maana Lowasa angeshinda hangetengeneza oligarchy yake na kufyonza na kukamua hazina ya nchi?
 
Plain and clear...Magufuli anatengeneza oligarchy yake...watapiga deals humo mpaka nchi ikauke...Kikwete na oligarchy yake waliinyonya nchi, Magufuli na yake wataifyonza, wataikamua na mwisho wataikausha kabisa.
[HASHTAG]#gomagufuligo[/HASHTAG] [HASHTAG]#hapakazitu[/HASHTAG]
Mtaji wa oligarchy ya namna hiyo ni ujinga na kwa sababu ndani ya taifa letu mtaji huo umetamalaki, Magufuli anaanza na mtaji uliojitosheleza.
 
Mtaji wa oligarchy ya namna hiyo ni ujinga na kwa sababu ndani ya taifa letu mtaji huo umetamalaki, Magufuli anaanza na mtaji uliojitosheleza.
Kabisa. Watanzania tuna ujinga wa kiwango kisicho na mpinzani...
 
Kabisa. Watanzania tuna ujinga wa kiwango kisicho na mpinzani...
Hebu fikiria hili...mtu na akili zake timamu anashangilia uvunjwaji wa Katiba ya nchi na mtu aliyeapa kuitetea na kuilinda, mtu na akili zake timamu anasikia raha jirani yake kuteswa na vyombo vinavyotakiwa Kikatiba kumpa ulinzi, mtu na akili zake timamu anaposifia utawala kuwanyanyasa wawakilishi wao waliowachagua...ni zaidi ya ujinga, ni uenda wazimu!
 
Plain and clear...Magufuli anatengeneza oligarchy yake...watapiga deals humo mpaka nchi ikauke...Kikwete na oligarchy yake waliinyonya nchi, Magufuli na yake wataifyonza, wataikamua na mwisho wataikausha kabisa.
[HASHTAG]#gomagufuligo[/HASHTAG] [HASHTAG]#hapakazitu[/HASHTAG]
baada ya magufuli kufeli kila idara ataanza kukwapuaa mali za umma
 
Waingereza walisema "a little knowledge is dangerous indeed".

Zitto anaandika kama mtoto wa sekondari ya chini mwenye utashi wa juu na uelewa wa kati.

Polite societies ought to shun Machiavellianism and dictatorships, at least publicly.

Zitto kusema anampenda Putin- unless anafanya satire kwa Magufuli- na kumpinga Magufuli, ni contradiction.
Soma tena hujaielewa vizuri mada.Mleta hoja kaanza na maoni yake then akatuweka post iliyowekwa na Zitto Facebook
 
Anachowanyia wafanya biashara magufuli ndicho kinachomsukuma Zitto aandike. Thanks Zitto wachache tunakuelewa kabisa
 
Magufuli Ni Second Nyerere Anaweza Kukosea Mengi kwasababu yeye sio Malaika Lakini Wizi,Hapana..

Hawezi Kuiba hata Tzs100/=..
Watanzania sasa hivi wamekuwa masikini zaidi, hii ni aina fulani ya wizi pia. Au maisha ya wananchi yameimarika zaidi leo chini ya awamu ya 5?

Mkulu amezikusanya zote kutoka mifukoni mwa wadanganyika na kuwaacha wadanganyika na mifuko iliyotoboka.Pia anawaambia "mwafaa!"

Wadanganyika kiuchumi wanamuona Kikwete malaika. Usipokubali kuliwa .........

Wizi uko wa aina nyingi....
 
Kwasababu hiyo hiyo ndiyo iliwapa watanzania wakati mgumu wakati UKAWA ilipompitisha mwana CCM mwingine awe mgombea urais wakaona bora waendelee na wale CCM A. Hatutapata mabadiliko kwa siasa hizi zilizopandikizwa na CCM mpaka tutakapoamka na kutumia akili zetu tulizopewa na Mungu kuliko kutumiwa na wanasiasa wa CCM na UKAWA maana wote ni walewale tofauti wamebadilisha rangi ya uniform zao kutokakijani mpaka magwanda na wengine wamebaki na mashati ya kijani. hawa wa mgwanda mengine ni vinyonga hatuujui uwezo wao wa ulafi ukoje kama ni zaidi ya hawa tulionao ama wana unafuu... Mungu anajua maana tumeshalaanika

Najua tulikosea lakini bado dhana ni ile ile tunahitaji MABADILIKO Kiuchumi,kisayansi na kisiasa.Tunahitaji UHURU wa kuongea,kukosoa,kupata taarifa na kuwa mwanachama wa Chama chochote cha siasa mradi huvunji sheria za nchi.

Tunahitaji Rais ambaye ni Mvumilivu,mwenye busara,hekima na upendo ambaye haangaishwi na tuvijineno tusikokuwa na maana.Anayejali watanzania bila kujali itikadi,kabila,dini,rangi au ukanda.

Tunahitaji Rais ambaye kwake UBAGUZI,CHUKI,na VISASI havipo ndani ya moyo wake.Inshort tunahitaji Rais anayemuogopa Mungu na anaonyesha kumuogopa Mungu kiukweli.
 
Mtu anayemuunga mkono Putin hana haki ya kumpinga Magufuli kwa sababu zile zile zilizomfanya amuunge mkono Putin.

Ndiyo maana nikasema unless this is meant as a satire to poke fun at Magufuli, Zitto does not make sense.

Halafu Zitto anaonesha kutokomaa kisiasa kwa kuangalia nationalism kama compass ya ubora wa kiongozi.

Hata Hitler alikuwa Nationalist, chama chake kiliitwa "NAZI" kifupi cha National Socialism.

Mwanasiasa aliyekomaa inabidi awe na principles zaidi ya nationalism.

Pia, anaposema siasa za Putin zinalenga kunufaisha Warusi wa kawaida anakuwa kama mtu asiyesoma mambo zaidi ya kusikiliza propaganda za RT.

Ukweli ni kwamba Russian Oligarchy imekuja kushika hatamu baada ya utawala wa Putin, inequality imeongezeka maradufu baada ya Putin

Soma hapa Inequality and the Putin Economy: Inside the Numbers

Inequality and the Putin Economy: Inside the Numbers

Throughout his time in power, Vladimir Putin has promised to level the playing field in Russia, with an emphasis on growing the middle class. In 2008, he described the gulf between rich and poor as “absolutely unacceptable,” and in 2012 he wrote that “The differentiation of incomes is unacceptable, outrageously high … Therefore, the most important task is to reduce material inequality.”

Three years later, however, inequality remains among the the most stubborn challenges facing the Putin economy. The gulf between between the nation’s ultra-wealthy and everyone else is so extreme, Credit Suisse concluded in a recent report, that “it deserves to be placed in a separate category.” Here is a brief snapshot:

111 people control 19 percent of all household wealth in Russia
If there is one statistic that underscores the depth of wealth inequality in Russia, it may be that an estimated 111 billionaires control nearly a fifth of all household wealth in the country. That’s according to the 2014 Credit Suisse analysis, which found that those in the top 10 percent of the population control a staggering 85 percent of wealth in Russia

Russia1.png



Worldwide, there is about one billionaire for every $170 billion in household wealth; in Russia, there is one for every $11 billion.

90 percent of entrepreneurs say they’ve experienced corruption
One factor widely seen as contributing to the rise of the uber-rich is the role of corruption inside Russia. Despite pledges by Vladimir Putin to crack down on corruption, to most Russians, the problem remains widespread. Surveys by OPORA, a Russian business association, have found that 90 percent of entrepreneurs have encountered corruption at least once. Among households, corruption ranked as the second biggest problem in the country — behind housing — in a survey by the Institute of Contemporary Development in Moscow.

Perceptions are equally troubling when Russia was compared against international peers such as Brazil, China, India and the 34 member nations of the Organization for Economic Co-operation and Development. In 2014, Russia ranked lower than each in Transparency International’s annual corruption perceptions index. Worldwide, it came in at 136 out of 174.

It’s difficult to put a price tag on the economic costs of corruption, but according to one analysis by the INDEM Foundation, a Moscow-based think tank focused on anti-corruption, the practice costs the nation’s economy between $300 billion and $500 billion each year. With a GDP of about $1.5 trillion, that represents roughly a third of Russia’s economy.

Russia2.png


Four out of five Russians have less than $10,000 in wealth
In addition to Russia’s 111 billionaires, it is home to 158,000 millionaires. But for the rest of the nation of 139 million, the Credit Suisse analysis put median wealth at $2,360 in 2014, up from $871 the year before. To be sure, missing data meant that the report’s authors could not factor for real assets — such as how much a person may own in property. But after estimating what those costs may be, the analysis suggests that 83 percent of the population has less than $10,000 in personal wealth.

Russia31.png



The energy sector is fueling income disparity
Looking at inequality from the standpoint of income — what someone earns, as opposed to what their personal wealth may be — highlights another challenge facing the Putin economy: the role of the nation’s energy sector in fueling income disparities.

The average middle-class Russian earns between $4,000 and $10,000 per year, according to a 2012 Forbes analysis of data from Rosstat, the nation’s statistics bureau.

But research by the International Policy Centre for Inclusive Growth has found that income gains in recent years have primarily benefited Russia’s wealthy energy hubs, while bypassing the nation’s poorest areas. The research showed that in regions where at least half of economic output comes from the oil, gas and minerals industries, incomes are one-third higher, on average, than in the rest of Russia. Four of the five highest-income regions in the analysis were centers of oil and gas production, and all were home to the greatest income inequality. As the study noted:

The growth in … incomes does not reflect growth in entrepreneurship or innovation though. The inequality in the distribution of incomes reflects the economy’s dependence on rents from resource extraction, which has increased incomes in the highest income brackets and hindered the expansion of the middle class.

Russia41.png



The middle class has grown anyway
Despite the gulf between the earnings of the ultra-wealthy compared to everyone else, the average Russian salary has grown enough to place a majority of the nation firmly in what the World Bank defines as the middle class. From 2001, Vladimir Putin’s second year as president, to 2010, Russia’s middle class grew from 30 percent of the population to 60 percent, one of the highest rates among emerging economies.

But “middle class” is a relative term, and if there’s one caveat to that figure, it’s that the World Bank sets its threshold for middle class as anyone who lives on at least $10 per day. Moreover, the growth in average wages has been skewed, dramatically at times, by surging incomes at the very top of the income ladder, according to Thomas Remington, a professor of political science at Emory University and author of The Politics of Inequality in Russia.

“The way I look at the middle class, and it’s true for the U.S. too, is if you include the top 10 percent, or the top 5 percent or 1 percent, you can say incomes in the middle class are growing,” he said. “But that’s not the middle class. Those people at the top, the oligarchs, they aren’t the middle class anymore than Warren Buffett is in the middle class in the U.S.”

But staying in the middle class can be tenuous
The rise of the middle class has coincided with a sharp drop in poverty rates. Poverty — which the World Bank defines as anyone living off $5/day or less — fell from 35 percent in 2001 to 11.9 percent by the end of 2013.

But not all households have moved evenly up the social ladder. From 2001 to 2005, and then again from 2006 to 2010, about 15 percent of the population suffered big enough setbacks to push them into worse financial shape, “suggesting that vulnerability to shocks remains an issue at all socio-economic levels,” according to the World Bank. In 2010, for instance, 30 percent of Russians who were considered middle class just five years earlier were financially vulnerable or even poor.

Economic headwinds have arrived
Despite a growing middle class and the decline in poverty rates, 2015 could pose one of the toughest tests to date for the Putin economy. Oil and gas exports account for about half of Russia’s budget revenue, but with oil prices currently trading near five-year lows and the bite from international sanctions keeping the ruble near similar lows against the dollar, Russia’s economy appears set to slide into recession in the months ahead. To make matters worse, consumer prices are expected to rise by double digits, putting additional pressure on already strained household budgets.

Russia5.png


The question is, what happens if recession does hit? As prime minister from 2008 to 2012, Putin made expanding the middle class a national priority. But in the aftermath of mass demonstrations against him in 2012, his rhetoric on strengthening working-class families has become noticeably quiet, according to Remington.

“He switched tack,” Remington told FRONTLINE. “His whole strategy is now not promoting the interests of the middle class, but the interests of lower classes and small town people, people in industrial towns that need the state to prop them up … He’s not interested in building the middle class now in his political strategy because he thinks the middle class is ungrateful.”

Zitto ni mtu anayeenda kusoma higlights za kitabu au Makala maalum kisha anakariri vitu na kufanya kuwa msimamo wake wa kisiasa. Kwa kweli ninaposikia maoni yake uwa nacheka sana maana he never makes any sense Zaidi ya kujisusha kisiasa. Mtu gani anaendesha maisha kwa kukariri vitu kila kukicha?
 
Huyo unaye msujudia ndo atakuchanganya ova zege. Eg 'mgogoro wa zenji nitautatua' Mara 'wana mamlaka yao, wautatue wenyewe'


Endelea kumsujudu Zitto tu, utakuja kunitafuta huku ukilia. Zitto si mwanasiasa aliyekomaa, he never makes sense kwa ayasemayo....yeye anakariri tu vitu hata kama haelewi vina maana gani na ndiyo maana anajichanganya. Mfuatilieni tu labda abadilike leo hii baada ya kusoma huu ujumbe wangu.
 
Najua tulikosea lakini bado dhana ni ile ile tunahitaji MABADILIKO Kiuchumi,kisayansi na kisiasa.Tunahitaji UHURU wa kuongea,kukosoa,kupata taarifa na kuwa mwanachama wa Chama chochote cha siasa mradi huvunji sheria za nchi.

Tunahitaji Rais ambaye ni Mvumilivu,mwenye busara,hekima na upendo ambaye haangaishwi na tuvijineno tusikokuwa na maana.Anayejali watanzania bila kujali itikadi,kabila,dini,rangi au ukanda.

Tunahitaji Rais ambaye kwake UBAGUZI,CHUKI,na VISASI havipo ndani ya moyo wake.Inshort tunahitaji Rais anayemuogopa Mungu na anaonyesha kumuogopa Mungu kiukweli.

Nimeipenda hiyo kauli na ndiyo baadhi yetu humu ndani tuna mawazo kama hayo tofauti kubwa ni kwamba watu kama wewe na mimi tukisema kitu ambacho hakiungi mkono moja ya makundi haya mawili hatujibiwi kama wewe ulivyonijibu mimi bali tunatukanwa. Mimi nilichokisema hapo kinatofautiana kidogo sana na ulichokisema lakini kuna watu wamenitukana. Angalia hapo chini nilichojibiwa
Mbase1970 said:
Kwasababu hiyo hiyo ndiyo iliwapa watanzania wakati mgumu wakati UKAWA ilipompitisha mwana CCM mwingine awe mgombea urais wakaona bora waendelee na wale CCM A. Hatutapata mabadiliko kwa siasa hizi zilizopandikizwa na CCM mpaka tutakapoamka na kutumia akili zetu tulizopewa na Mungu kuliko kutumiwa na wanasiasa wa CCM na UKAWA maana wote ni walewale tofauti wamebadilisha rangi ya uniform zao kutokakijani mpaka magwanda na wengine wamebaki na mashati ya kijani. hawa wa mgwanda mengine ni vinyonga hatuujui uwezo wao wa ulafi ukoje kama ni zaidi ya hawa tulionao ama wana unafuu... Mungu anajua maana tumeshalaanika
Click to expand...
Hizo pumba. Kale na mkeo.
 
Back
Top Bottom