Zitto Kabwe unamaanisha nini hapa?

Zitto Kabwe unamaanisha nini hapa?

Plain and clear...Magufuli anatengeneza oligarchy yake...watapiga deals humo mpaka nchi ikauke...Kikwete na oligarchy yake waliinyonya nchi, Magufuli na yake wataifyonza, wataikamua na mwisho wataikausha kabisa.
[HASHTAG]#gomagufuligo[/HASHTAG] [HASHTAG]#hapakazitu[/HASHTAG]
.....
.....Salute Ngika
 
Beco kumbuka mchwa mfu ndani ya kichuguu ni muhimu sana tena mara dufu kuliko mlima Kilimanjaro kwa sababu moja kuu, Mchwa ni kiumbe hai, kilipuliziwa na Mungu muumbaji pumzi ya uhai kutoka kwenye kinywa cha Mungu wa Mbinguni, hivyo kamwe kiumbe hai hata kama kikifa hakiwezi kufananishwa thanani yake na mlima ambao tangu kuwekwa misingi ya Dunia haujapata kutembea kutoka eneo moja hadi jingine. Hivyo mfano wako ni wa ovyo kabisa. Umejaa chuki dhidi ya Magufuli, bila kujua kuwa Kiongozi huyu Mataifa makubwa makubwa Duniani yana mua-appriciate na kumwa-admire kama Rais wa Karne kuwahi kutokea Afrika. Angalia hata leo tarehe 14 Feb 2017 wageni waliomtembelea Ikulu na kauli walizozitamka juu yake ni kauli zilizojaa hekima na kuonesha kumkubali globaly. Sasa wewe takakata unayeongelea mtandaoni nakikundi cha watu wasiofika hata 1, 000 unamuo a eti hafai. Kwa hakika wewe ndiye takataka.
 
Kuna Post Kaiweka Zitto Kwenye Ukurasa wake wa facebook(Nakuwekea hapo chini)..

Kwangu mimi kwa namna yeyote Ile Putin ni kiongozi bora Mno kwenye karne ya sasa na mfano wa kuigwa,Ameirudisha Russia Kwenye Mstari Na Inaheshimika Na kusikilizwa Duniani Kuliko Alivyoikuta..

Hivyo Kama Zitto Kabwe Amemaanisha chochote Kile Akidhani Ni kibaya 'KAFELI' Putin ninkiongozi Bora..


Post ya Zitto Kabwe Facebook..


"Msomeni Putin mumwelewe. Niliwaambia mwezi July. Narudia tena msomeni Putin na vita yake na Oligarchs ( MATAJIRI )


Putin aliingia kwenye madaraka mpweke akiwa hana kundi lake. Duma ( Bunge) lilijaa watu ambao hawakumwunga mkono na Warasimu wote walikuwa hawana uhusiano naye. Siasa zilikuwa zimeshikwa na matajiri ( oligarchs) na kuamua watakacho. Alisimika utawala wake kwa kuchukua hatua kadhaa ikiwemo;

- aliteua watu wake wa karibu aliofanya nao Kazi huko St. Petersburg, pia watu aliotoka nao eneo moja na alioamini nao Dini moja.

- Alihakikisha Matajiri wote wanashughulikiwa na kuwafunga au kuhama Nchi. Yeyote ambaye alimtilia mashaka alimtoa Serikalini au kwenye Mashirika ya Umma hata ikibidi kwa tuhuma za kutungwa na wengine WALIPOTEZWA kabisa.

- Aliwapa fursa za utajiri watu wake wa karibu na kujenga ' new oligarchs ' kupitia zabuni za Serikali na Miradi mikubwa mikubwa ya Miundombinu aliyoanzisha kwa haraka alipoingia madarakani
Alifanya haya kuimarisha UTAWALA wake. Msomeni Putin mpanue maarifa".
Putin is really deal
 
Wee umejuwa wapi Putin bana???
Tafuta jingine
Putin is a Gold tena 24caret..
 
Politicians are not human and they have no any elements of humanity and dignity to their own society.you should come with with ambiguous questions.
What do they want, for which circumstance ?
What is a real gaol?
Sometime you could be very irritated with those annoyed words.but who irrigating this toxicity situation,just a this called democracy.
What is democracy.at total meaning.......no one from Africa as darkness continent could address smoothly rather copying decorative words from our ancestors white men.
Please Africa lets sit one.chair and talking to each other by using our words
Nadhani uwekemo na kiswahili pale inaposhindikana ili tukuelewe vzuri. Ila kuna point kwenye wazo lako.
Plain and clear...Magufuli anatengeneza oligarchy yake...watapiga deals humo mpaka nchi ikauke...Kikwete na oligarchy yake waliinyonya nchi, Magufuli na yake wataifyonza, wataikamua na mwisho wataikausha kabisa.
[HASHTAG]#gomagufuligo[/HASHTAG] [HASHTAG]#hapakazitu[/HASHTAG]

Ila mwanawe kuiba ruksa.
 
Kuna Post Kaiweka Zitto Kwenye Ukurasa wake wa facebook(Nakuwekea hapo chini)..

Kwangu mimi kwa namna yeyote Ile Putin ni kiongozi bora Mno kwenye karne ya sasa na mfano wa kuigwa,Ameirudisha Russia Kwenye Mstari Na Inaheshimika Na kusikilizwa Duniani Kuliko Alivyoikuta..

Hivyo Kama Zitto Kabwe Amemaanisha chochote Kile Akidhani Ni kibaya 'KAFELI' Putin ninkiongozi Bora..


Post ya Zitto Kabwe Facebook..


"Msomeni Putin mumwelewe. Niliwaambia mwezi July. Narudia tena msomeni Putin na vita yake na Oligarchs ( MATAJIRI )


Putin aliingia kwenye madaraka mpweke akiwa hana kundi lake. Duma ( Bunge) lilijaa watu ambao hawakumwunga mkono na Warasimu wote walikuwa hawana uhusiano naye. Siasa zilikuwa zimeshikwa na matajiri ( oligarchs) na kuamua watakacho. Alisimika utawala wake kwa kuchukua hatua kadhaa ikiwemo;

- aliteua watu wake wa karibu aliofanya nao Kazi huko St. Petersburg, pia watu aliotoka nao eneo moja na alioamini nao Dini moja.

- Alihakikisha Matajiri wote wanashughulikiwa na kuwafunga au kuhama Nchi. Yeyote ambaye alimtilia mashaka alimtoa Serikalini au kwenye Mashirika ya Umma hata ikibidi kwa tuhuma za kutungwa na wengine WALIPOTEZWA kabisa.

- Aliwapa fursa za utajiri watu wake wa karibu na kujenga ' new oligarchs ' kupitia zabuni za Serikali na Miradi mikubwa mikubwa ya Miundombinu aliyoanzisha kwa haraka alipoingia madarakani
Alifanya haya kuimarisha UTAWALA wake. Msomeni Putin mpanue maarifa".
huyu sasa anatumia umashuhuri wake kupotosha umma. jpm amewaharibia matumaini yao yote kwa hivyo wanakazana kwa pamoja kumpiga munda. si uzalendo kwani wote wanajua jpm ameelekeza dira kupeleka taifa mahali sahihi.
 
Kuna Post Kaiweka Zitto Kwenye Ukurasa wake wa facebook(Nakuwekea hapo chini)..

Kwangu mimi kwa namna yeyote Ile Putin ni kiongozi bora Mno kwenye karne ya sasa na mfano wa kuigwa,Ameirudisha Russia Kwenye Mstari Na Inaheshimika Na kusikilizwa Duniani Kuliko Alivyoikuta..

Hivyo Kama Zitto Kabwe Amemaanisha chochote Kile Akidhani Ni kibaya 'KAFELI' Putin ninkiongozi Bora..


Post ya Zitto Kabwe Facebook..


"Msomeni Putin mumwelewe. Niliwaambia mwezi July. Narudia tena msomeni Putin na vita yake na Oligarchs ( MATAJIRI )


Putin aliingia kwenye madaraka mpweke akiwa hana kundi lake. Duma ( Bunge) lilijaa watu ambao hawakumwunga mkono na Warasimu wote walikuwa hawana uhusiano naye. Siasa zilikuwa zimeshikwa na matajiri ( oligarchs) na kuamua watakacho. Alisimika utawala wake kwa kuchukua hatua kadhaa ikiwemo;

- aliteua watu wake wa karibu aliofanya nao Kazi huko St. Petersburg, pia watu aliotoka nao eneo moja na alioamini nao Dini moja.

- Alihakikisha Matajiri wote wanashughulikiwa na kuwafunga au kuhama Nchi. Yeyote ambaye alimtilia mashaka alimtoa Serikalini au kwenye Mashirika ya Umma hata ikibidi kwa tuhuma za kutungwa na wengine WALIPOTEZWA kabisa.

- Aliwapa fursa za utajiri watu wake wa karibu na kujenga ' new oligarchs ' kupitia zabuni za Serikali na Miradi mikubwa mikubwa ya Miundombinu aliyoanzisha kwa haraka alipoingia madarakani
Alifanya haya kuimarisha UTAWALA wake. Msomeni Putin mpanue maarifa".
Sasa hujamuelewa nini hapo!?
 
Kuna Post Kaiweka Zitto Kwenye Ukurasa wake wa facebook(Nakuwekea hapo chini)..

Kwangu mimi kwa namna yeyote Ile Putin ni kiongozi bora Mno kwenye karne ya sasa na mfano wa kuigwa,Ameirudisha Russia Kwenye Mstari Na Inaheshimika Na kusikilizwa Duniani Kuliko Alivyoikuta..

Hivyo Kama Zitto Kabwe Amemaanisha chochote Kile Akidhani Ni kibaya 'KAFELI' Putin ninkiongozi Bora..


Post ya Zitto Kabwe Facebook..


"Msomeni Putin mumwelewe. Niliwaambia mwezi July. Narudia tena msomeni Putin na vita yake na Oligarchs ( MATAJIRI )


Putin aliingia kwenye madaraka mpweke akiwa hana kundi lake. Duma ( Bunge) lilijaa watu ambao hawakumwunga mkono na Warasimu wote walikuwa hawana uhusiano naye. Siasa zilikuwa zimeshikwa na matajiri ( oligarchs) na kuamua watakacho. Alisimika utawala wake kwa kuchukua hatua kadhaa ikiwemo;

- aliteua watu wake wa karibu aliofanya nao Kazi huko St. Petersburg, pia watu aliotoka nao eneo moja na alioamini nao Dini moja.

- Alihakikisha Matajiri wote wanashughulikiwa na kuwafunga au kuhama Nchi. Yeyote ambaye alimtilia mashaka alimtoa Serikalini au kwenye Mashirika ya Umma hata ikibidi kwa tuhuma za kutungwa na wengine WALIPOTEZWA kabisa.

- Aliwapa fursa za utajiri watu wake wa karibu na kujenga ' new oligarchs ' kupitia zabuni za Serikali na Miradi mikubwa mikubwa ya Miundombinu aliyoanzisha kwa haraka alipoingia madarakani
Alifanya haya kuimarisha UTAWALA wake. Msomeni Putin mpanue maarifa".


Mkuu, ukimfuatilia Zitto ndipo utajuwa huyu jamaa anachanganikiwa. Leo atasema haya na kesho yale....kwa aliyo andika hapa inaonekana kabisa anamunga mkono Putin ila usishangae akaja kesho kumkashifu Putin huyo huyo. Huyo ndiyo kijana Zitto, mtu asiyejitambua.
 
anautaman uIGP hivyo anataka kumweka mtu wake....maana Kwa mkuu wa Majeshi amesha fanikiwa.
 
Kuna Post Kaiweka Zitto Kwenye Ukurasa wake wa facebook(Nakuwekea hapo chini)..

Kwangu mimi kwa namna yeyote Ile Putin ni kiongozi bora Mno kwenye karne ya sasa na mfano wa kuigwa,Ameirudisha Russia Kwenye Mstari Na Inaheshimika Na kusikilizwa Duniani Kuliko Alivyoikuta..

Hivyo Kama Zitto Kabwe Amemaanisha chochote Kile Akidhani Ni kibaya 'KAFELI' Putin ninkiongozi Bora..


Post ya Zitto Kabwe Facebook..


"Msomeni Putin mumwelewe. Niliwaambia mwezi July. Narudia tena msomeni Putin na vita yake na Oligarchs ( MATAJIRI )


Putin aliingia kwenye madaraka mpweke akiwa hana kundi lake. Duma ( Bunge) lilijaa watu ambao hawakumwunga mkono na Warasimu wote walikuwa hawana uhusiano naye. Siasa zilikuwa zimeshikwa na matajiri ( oligarchs) na kuamua watakacho. Alisimika utawala wake kwa kuchukua hatua kadhaa ikiwemo;

- aliteua watu wake wa karibu aliofanya nao Kazi huko St. Petersburg, pia watu aliotoka nao eneo moja na alioamini nao Dini moja.

- Alihakikisha Matajiri wote wanashughulikiwa na kuwafunga au kuhama Nchi. Yeyote ambaye alimtilia mashaka alimtoa Serikalini au kwenye Mashirika ya Umma hata ikibidi kwa tuhuma za kutungwa na wengine WALIPOTEZWA kabisa.

- Aliwapa fursa za utajiri watu wake wa karibu na kujenga ' new oligarchs ' kupitia zabuni za Serikali na Miradi mikubwa mikubwa ya Miundombinu aliyoanzisha kwa haraka alipoingia madarakani
Alifanya haya kuimarisha UTAWALA wake. Msomeni Putin mpanue maarifa".

nimeelewa kabisa.
 
Kuna Post Kaiweka Zitto Kwenye Ukurasa wake wa facebook(Nakuwekea hapo chini)..

Kwangu mimi kwa namna yeyote Ile Putin ni kiongozi bora Mno kwenye karne ya sasa na mfano wa kuigwa,Ameirudisha Russia Kwenye Mstari Na Inaheshimika Na kusikilizwa Duniani Kuliko Alivyoikuta..

Hivyo Kama Zitto Kabwe Amemaanisha chochote Kile Akidhani Ni kibaya 'KAFELI' Putin ninkiongozi Bora..


Post ya Zitto Kabwe Facebook..


"Msomeni Putin mumwelewe. Niliwaambia mwezi July. Narudia tena msomeni Putin na vita yake na Oligarchs ( MATAJIRI )


Putin aliingia kwenye madaraka mpweke akiwa hana kundi lake. Duma ( Bunge) lilijaa watu ambao hawakumwunga mkono na Warasimu wote walikuwa hawana uhusiano naye. Siasa zilikuwa zimeshikwa na matajiri ( oligarchs) na kuamua watakacho. Alisimika utawala wake kwa kuchukua hatua kadhaa ikiwemo;

- aliteua watu wake wa karibu aliofanya nao Kazi huko St. Petersburg, pia watu aliotoka nao eneo moja na alioamini nao Dini moja.

- Alihakikisha Matajiri wote wanashughulikiwa na kuwafunga au kuhama Nchi. Yeyote ambaye alimtilia mashaka alimtoa Serikalini au kwenye Mashirika ya Umma hata ikibidi kwa tuhuma za kutungwa na wengine WALIPOTEZWA kabisa.

- Aliwapa fursa za utajiri watu wake wa karibu na kujenga ' new oligarchs ' kupitia zabuni za Serikali na Miradi mikubwa mikubwa ya Miundombinu aliyoanzisha kwa haraka alipoingia madarakani
Alifanya haya kuimarisha UTAWALA wake. Msomeni Putin mpanue maarifa".
nimemuelewa zitto kwamba tumsome putin na kumuelewa. period.
 
Mkuu, ukimfuatilia Zitto ndipo utajuwa huyu jamaa anachanganikiwa. Leo atasema haya na kesho yale....kwa aliyo andika hapa inaonekana kabisa anamunga mkono Putin ila usishangae akaja kesho kumkashifu Putin huyo huyo. Huyo ndiyo kijana Zitto, mtu asiyejitambua.
Mtu anayemuunga mkono Putin hana haki ya kumpinga Magufuli kwa sababu zile zile zilizomfanya amuunge mkono Putin.

Ndiyo maana nikasema unless this is meant as a satire to poke fun at Magufuli, Zitto does not make sense.

Halafu Zitto anaonesha kutokomaa kisiasa kwa kuangalia nationalism kama compass ya ubora wa kiongozi.

Hata Hitler alikuwa Nationalist, chama chake kiliitwa "NAZI" kifupi cha National Socialism.

Mwanasiasa aliyekomaa inabidi awe na principles zaidi ya nationalism.

Pia, anaposema siasa za Putin zinalenga kunufaisha Warusi wa kawaida anakuwa kama mtu asiyesoma mambo zaidi ya kusikiliza propaganda za RT.

Ukweli ni kwamba Russian Oligarchy imekuja kushika hatamu baada ya utawala wa Putin, inequality imeongezeka maradufu baada ya Putin

Soma hapa Inequality and the Putin Economy: Inside the Numbers

Inequality and the Putin Economy: Inside the Numbers

Throughout his time in power, Vladimir Putin has promised to level the playing field in Russia, with an emphasis on growing the middle class. In 2008, he described the gulf between rich and poor as “absolutely unacceptable,” and in 2012 he wrote that “The differentiation of incomes is unacceptable, outrageously high … Therefore, the most important task is to reduce material inequality.”

Three years later, however, inequality remains among the the most stubborn challenges facing the Putin economy. The gulf between between the nation’s ultra-wealthy and everyone else is so extreme, Credit Suisse concluded in a recent report, that “it deserves to be placed in a separate category.” Here is a brief snapshot:

111 people control 19 percent of all household wealth in Russia
If there is one statistic that underscores the depth of wealth inequality in Russia, it may be that an estimated 111 billionaires control nearly a fifth of all household wealth in the country. That’s according to the 2014 Credit Suisse analysis, which found that those in the top 10 percent of the population control a staggering 85 percent of wealth in Russia

Russia1.png



Worldwide, there is about one billionaire for every $170 billion in household wealth; in Russia, there is one for every $11 billion.

90 percent of entrepreneurs say they’ve experienced corruption
One factor widely seen as contributing to the rise of the uber-rich is the role of corruption inside Russia. Despite pledges by Vladimir Putin to crack down on corruption, to most Russians, the problem remains widespread. Surveys by OPORA, a Russian business association, have found that 90 percent of entrepreneurs have encountered corruption at least once. Among households, corruption ranked as the second biggest problem in the country — behind housing — in a survey by the Institute of Contemporary Development in Moscow.

Perceptions are equally troubling when Russia was compared against international peers such as Brazil, China, India and the 34 member nations of the Organization for Economic Co-operation and Development. In 2014, Russia ranked lower than each in Transparency International’s annual corruption perceptions index. Worldwide, it came in at 136 out of 174.

It’s difficult to put a price tag on the economic costs of corruption, but according to one analysis by the INDEM Foundation, a Moscow-based think tank focused on anti-corruption, the practice costs the nation’s economy between $300 billion and $500 billion each year. With a GDP of about $1.5 trillion, that represents roughly a third of Russia’s economy.

Russia2.png


Four out of five Russians have less than $10,000 in wealth
In addition to Russia’s 111 billionaires, it is home to 158,000 millionaires. But for the rest of the nation of 139 million, the Credit Suisse analysis put median wealth at $2,360 in 2014, up from $871 the year before. To be sure, missing data meant that the report’s authors could not factor for real assets — such as how much a person may own in property. But after estimating what those costs may be, the analysis suggests that 83 percent of the population has less than $10,000 in personal wealth.

Russia31.png



The energy sector is fueling income disparity
Looking at inequality from the standpoint of income — what someone earns, as opposed to what their personal wealth may be — highlights another challenge facing the Putin economy: the role of the nation’s energy sector in fueling income disparities.

The average middle-class Russian earns between $4,000 and $10,000 per year, according to a 2012 Forbes analysis of data from Rosstat, the nation’s statistics bureau.

But research by the International Policy Centre for Inclusive Growth has found that income gains in recent years have primarily benefited Russia’s wealthy energy hubs, while bypassing the nation’s poorest areas. The research showed that in regions where at least half of economic output comes from the oil, gas and minerals industries, incomes are one-third higher, on average, than in the rest of Russia. Four of the five highest-income regions in the analysis were centers of oil and gas production, and all were home to the greatest income inequality. As the study noted:

The growth in … incomes does not reflect growth in entrepreneurship or innovation though. The inequality in the distribution of incomes reflects the economy’s dependence on rents from resource extraction, which has increased incomes in the highest income brackets and hindered the expansion of the middle class.

Russia41.png



The middle class has grown anyway
Despite the gulf between the earnings of the ultra-wealthy compared to everyone else, the average Russian salary has grown enough to place a majority of the nation firmly in what the World Bank defines as the middle class. From 2001, Vladimir Putin’s second year as president, to 2010, Russia’s middle class grew from 30 percent of the population to 60 percent, one of the highest rates among emerging economies.

But “middle class” is a relative term, and if there’s one caveat to that figure, it’s that the World Bank sets its threshold for middle class as anyone who lives on at least $10 per day. Moreover, the growth in average wages has been skewed, dramatically at times, by surging incomes at the very top of the income ladder, according to Thomas Remington, a professor of political science at Emory University and author of The Politics of Inequality in Russia.

“The way I look at the middle class, and it’s true for the U.S. too, is if you include the top 10 percent, or the top 5 percent or 1 percent, you can say incomes in the middle class are growing,” he said. “But that’s not the middle class. Those people at the top, the oligarchs, they aren’t the middle class anymore than Warren Buffett is in the middle class in the U.S.”

But staying in the middle class can be tenuous
The rise of the middle class has coincided with a sharp drop in poverty rates. Poverty — which the World Bank defines as anyone living off $5/day or less — fell from 35 percent in 2001 to 11.9 percent by the end of 2013.

But not all households have moved evenly up the social ladder. From 2001 to 2005, and then again from 2006 to 2010, about 15 percent of the population suffered big enough setbacks to push them into worse financial shape, “suggesting that vulnerability to shocks remains an issue at all socio-economic levels,” according to the World Bank. In 2010, for instance, 30 percent of Russians who were considered middle class just five years earlier were financially vulnerable or even poor.

Economic headwinds have arrived
Despite a growing middle class and the decline in poverty rates, 2015 could pose one of the toughest tests to date for the Putin economy. Oil and gas exports account for about half of Russia’s budget revenue, but with oil prices currently trading near five-year lows and the bite from international sanctions keeping the ruble near similar lows against the dollar, Russia’s economy appears set to slide into recession in the months ahead. To make matters worse, consumer prices are expected to rise by double digits, putting additional pressure on already strained household budgets.

Russia5.png


The question is, what happens if recession does hit? As prime minister from 2008 to 2012, Putin made expanding the middle class a national priority. But in the aftermath of mass demonstrations against him in 2012, his rhetoric on strengthening working-class families has become noticeably quiet, according to Remington.

“He switched tack,” Remington told FRONTLINE. “His whole strategy is now not promoting the interests of the middle class, but the interests of lower classes and small town people, people in industrial towns that need the state to prop them up … He’s not interested in building the middle class now in his political strategy because he thinks the middle class is ungrateful.”
 
huyu sasa anatumia umashuhuri wake kupotosha umma. jpm amewaharibia matumaini yao yote kwa hivyo wanakazana kwa pamoja kumpiga munda. si uzalendo kwani wote wanajua jpm ameelekeza dira kupeleka taifa mahali sahihi.
Baki na hamu zako kama unamawazo ya kupelekwa mahali sahihi.
 
Back
Top Bottom