jimmyfoxxgongo
JF-Expert Member
- Jan 23, 2013
- 5,352
- 9,350
second what? aisee mkuu umekatwa kichwa auMagufuli Ni Second Nyerere Anaweza Kukosea Mengi kwasababu yeye sio Malaika Lakini Wizi,Hapana..
Hawezi Kuiba hata Tzs100/=..
samahani lakini
second what? aisee mkuu umekatwa kichwa auMagufuli Ni Second Nyerere Anaweza Kukosea Mengi kwasababu yeye sio Malaika Lakini Wizi,Hapana..
Hawezi Kuiba hata Tzs100/=..
Sasa nimeonaaa, Yesuu nimeonaaaaaaaaaaasPlain and clear...Magufuli anatengeneza oligarchy yake...watapiga deals humo mpaka nchi ikauke...Kikwete na oligarchy yake waliinyonya nchi, Magufuli na yake wataifyonza, wataikamua na mwisho wataikausha kabisa.
[HASHTAG]#gomagufuligo[/HASHTAG] [HASHTAG]#hapakazitu[/HASHTAG]
Magufuli Ni Second Nyerere Anaweza Kukosea Mengi kwasababu yeye sio Malaika Lakini Wizi,Hapana..
Hawezi Kuiba hata Tzs100/=..
Putin kiongozi bora? OMG, let me not commentKuna Post Kaiweka Zitto Kwenye Ukurasa wake wa facebook(Nakuwekea hapo chini)..
Kwangu mimi kwa namna yeyote Ile Putin ni kiongozi bora Mno kwenye karne ya sasa na mfano wa kuigwa,Ameirudisha Russia Kwenye Mstari Na Inaheshimika Na kusikilizwa Duniani Kuliko Alivyoikuta..
Hivyo Kama Zitto Kabwe Amemaanisha chochote Kile Akidhani Ni kibaya 'KAFELI' Putin ninkiongozi Bora..
Post ya Zitto Kabwe Facebook..
"Msomeni Putin mumwelewe. Niliwaambia mwezi July. Narudia tena msomeni Putin na vita yake na Oligarchs ( MATAJIRI )
Putin aliingia kwenye madaraka mpweke akiwa hana kundi lake. Duma ( Bunge) lilijaa watu ambao hawakumwunga mkono na Warasimu wote walikuwa hawana uhusiano naye. Siasa zilikuwa zimeshikwa na matajiri ( oligarchs) na kuamua watakacho. Alisimika utawala wake kwa kuchukua hatua kadhaa ikiwemo;
- aliteua watu wake wa karibu aliofanya nao Kazi huko St. Petersburg, pia watu aliotoka nao eneo moja na alioamini nao Dini moja.
- Alihakikisha Matajiri wote wanashughulikiwa na kuwafunga au kuhama Nchi. Yeyote ambaye alimtilia mashaka alimtoa Serikalini au kwenye Mashirika ya Umma hata ikibidi kwa tuhuma za kutungwa na wengine WALIPOTEZWA kabisa.
- Aliwapa fursa za utajiri watu wake wa karibu na kujenga ' new oligarchs ' kupitia zabuni za Serikali na Miradi mikubwa mikubwa ya Miundombinu aliyoanzisha kwa haraka alipoingia madarakani
Alifanya haya kuimarisha UTAWALA wake. Msomeni Putin mpanue maarifa".
Kwasababu hiyo hiyo ndiyo iliwapa watanzania wakati mgumu wakati UKAWA ilipompitisha mwana CCM mwingine awe mgombea urais wakaona bora waendelee na wale CCM A. Hatutapata mabadiliko kwa siasa hizi zilizopandikizwa na CCM mpaka tutakapoamka na kutumia akili zetu tulizopewa na Mungu kuliko kutumiwa na wanasiasa wa CCM na UKAWA maana wote ni walewale tofauti wamebadilisha rangi ya uniform zao kutokakijani mpaka magwanda na wengine wamebaki na mashati ya kijani. hawa wa mgwanda mengine ni vinyonga hatuujui uwezo wao wa ulafi ukoje kama ni zaidi ya hawa tulionao ama wana unafuu... Mungu anajua maana tumeshalaanikaHahahahahaha zile Bilioni nane ameshakwambia nani alikwapua?? Usiamini mwanaccm hata siku moja
Mleta mada,Zitto ana maanisha Pogba anajifanyia usajili wawafaransa wenzie pale Man U Head Office ili watawale timu huku akiua vipaji vilivyopo na kuwatapisha wale walioneemeka kabla kwani sio watu wake wa asili,anaunda timu yake kwa kugawa pasi na krosi,iwe kwa kichwa au mkono,goli litafungwa na red card zitatembea kama njugu kwa wapinzani!!




mwanangu kunywa bia nakuja kulipiaMmmmmh haiewzekani ukawa unafikiri kwa kutumia ubongo wewe!!!!Zitto ni mdini sana ndiyo maana alitimuliwa na Lisu na kuambiwa katenda makosa 11.
kwa nn wakat kila kitu kinapelekwa chatuMagufuli Ni Second Nyerere Anaweza Kukosea Mengi kwasababu yeye sio Malaika Lakini Wizi,Hapana..
Hawezi Kuiba hata Tzs100/=..
Politicians are not human and they have no any elements of humanity and dignity to their own society.you should come with with ambiguous questions.Hahhaaha.... Siasa ngumu sana.... You don't have to trust anyone but yourself..
Mwinyi busara 100%Magufuli hana falsafa ya kisiasa anayoijua au kuifuatilia, Nyerere alikuwa na falsafa ya kisiasa aliyoijua, kuiishi na kuiandika kirefu.
Kama Mwinyi alisema kumfananisha yeye na Nyerere ni kuufananisha mlima Kilimanjaro na kichuguu, basi kumfananisha Magufuli na Nyerere ni sawa na kumfananisha mchwa mfu mmoja anayekaa kwenye kichuguu hicho na mlima Kilimanjaro.
national housingKama ndivyo mnegetumia neno upendeleo Na sio wizi..