GE2025 Zitto Kabwe: Tusiruhusu Miaka mitano mingine ya Bunge kibogoyo

GE2025 Zitto Kabwe: Tusiruhusu Miaka mitano mingine ya Bunge kibogoyo

Matukio, Taarifa, Habari na Mijadala ya Wananchi WAKATI wa Mchakato wa Uchaguzi Mkuu 2025

Roving Journalist

JF Roving Journalist
Joined
Apr 18, 2017
Posts
4,783
Reaction score
14,975

Kiongozi Mstaafu wa Chama cha ACT Wazalendo, Zitto Kabwe akizungumza katika mkutano wa hadhara Mkoani Kigoma, leo Julai 2, 2025 amewataka Wananchi kutotoa nafasi nyingine ya miaka mitano kwa Bunge alilosema limeshindwa kuisimamia Serikali na kutetea maslahi ya Watu.

Ameyasema hayo katika Uwanja wa Uyui Sekondari ambapo ACT inaendelea na mikutano yake iliyopewa jina la Operesheni Majimaji
 
1751469464290.jpeg
 

Kiongozi Mstaafu wa Chama cha ACT Wazalendo, Zitto Kabwe akizungumza katika mkutano wa hadhara Mkoani Kigoma, leo Julai 2, 2025 amewataka Wananchi kutotoa nafasi nyingine ya miaka mitano kwa Bunge alilosema limeshindwa kuisimamia Serikali na kutetea maslahi ya Watu.

Ameyasema hayo katika Uwanja wa Uyui Sekondari ambapo ACT inaendelea na mikutano yake iliyopewa jina la Operesheni Majimaji
Tusikubali kwa maneno pekee?
 

Kiongozi Mstaafu wa Chama cha ACT Wazalendo, Zitto Kabwe akizungumza katika mkutano wa hadhara Mkoani Kigoma, leo Julai 2, 2025 amewataka Wananchi kutotoa nafasi nyingine ya miaka mitano kwa Bunge alilosema limeshindwa kuisimamia Serikali na kutetea maslahi ya Watu.

Ameyasema hayo katika Uwanja wa Uyui Sekondari ambapo ACT inaendelea na mikutano yake iliyopewa jina la Operesheni Majimaji
Huyu ana amini kutakuwa na uchaguzi chini ya sheria zilizopo??
Anakosea sana
 
Anataka wasiruhusu yeye na nani?
 
Tusichoshane hawa ACT Wazalendo hawawezi kupata asilimia 15% ya kura za uchaguzi mkuu wala hawawezi kupata wabunge 10 hivyo hakuna kitakachobadilika
 

Kiongozi Mstaafu wa Chama cha ACT Wazalendo, Zitto Kabwe akizungumza katika mkutano wa hadhara Mkoani Kigoma, leo Julai 2, 2025 amewataka Wananchi kutotoa nafasi nyingine ya miaka mitano kwa Bunge alilosema limeshindwa kuisimamia Serikali na kutetea maslahi ya Watu.

Ameyasema hayo katika Uwanja wa Uyui Sekondari ambapo ACT inaendelea na mikutano yake iliyopewa jina la Operesheni Majimaji
Naunga mkono hoja Watanzania tusiruhusu tena Bunge Kibogoyo dhaifu kama hili, lisilo na Meno, kukosa Kambi ya Upinzani na kushindwa kuisimamia Serikali kikamilifu!
P
 
Huyu tayari ana uhakika wa Ubunge makosa ya COVID-19 yanaenda kurekebishwa kwa kupewa Ubunge kwanjia ya kura katika Jimbo la Kigoma ndiyo maana CCM wanamuandaa yule Chawa wa mama kushindana nae
 

Kiongozi Mstaafu wa Chama cha ACT Wazalendo, Zitto Kabwe akizungumza katika mkutano wa hadhara Mkoani Kigoma, leo Julai 2, 2025 amewataka Wananchi kutotoa nafasi nyingine ya miaka mitano kwa Bunge alilosema limeshindwa kuisimamia Serikali na kutetea maslahi ya Watu.

Ameyasema hayo katika Uwanja wa Uyui Sekondari ambapo ACT inaendelea na mikutano yake iliyopewa jina la Operesheni Majimaji
Too late, Mh. Mwijaku mze wa kuvua boksa hadharani kishachukua form kugombea jimbo la Zitto. Na huko mitaani anajidai kuwa atawala wabunge wa kuteuliwa kama njugu mpaka mkewe aombe poo.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom