Waziri kivuli wa fedha Mh.ZITTO KABWE hatasoma bajeti ya kambi ya upinzani kwani wabunge wote wa CHADEMA watakwenda ARUSHA kesho.SOURCE FACEBOOK WALL YA ZITTO MUDA HUU.
Hiyo hotuba ya CHADEMA atuwekee hapa Jamvini tu maana kwa MACCM tukio la Arusha ni shangwe maana kama tungekuwa na Bunge makini kesho ingekuwa siku ya off kama walivyofanya kwenye mambo ya Mtwara, nadhani Mtwara walikatisha shughuli za Bunge kwa vile tukio lile likuwa linahatarisha maslahi ya CCM na mikataba feki na wawekezaji/wauzuajiwa raslimali zetu.
Hamtapoteza kitu waachieni Bunge wapitishe haraka haraka bajeti ya majanga, maana sisi raia hatuoni kitu hapo, Tunawashukuru sana watetezi wetu. Mungu awe nanyi katika safari ya Arusha.
Shibuda vipi?
Bomu la kanisani Spika alijifanya eti kahudhunika sana na kuteua timu ya kuongozana nayo kwa ndege ya serikali kwenda kutoa pole. Najua hilo haliwezi kufanyika abadani kwa tukio hili. Nyie wabunge wa Chadema chukueni Basi muende wote na njiani muwe mnatoa salamu za yanayojiri ndani ya nchi yetu kwa sasa. Nina hakika mtapokelewa kwa moyo wa upendo na waTz kila mtakapo pita.
wabunge wa chadema wamesema hawatahudhuria vikao vya bunge. Tafsiri yangu ni kuwa CHADEMA KWANZA UTAIFA BAADAYE. Arusha ina mbunge wake na viongozi wake.iweje wabungu wote wa kambi rasmi ya upinzania wasiwakilishe wananchi wao? Kwa nini mlipuko umetokea baada ya MBOWE KUONDOKA. Arranged!!.
Yess! Arranged by mwigulu nchembawabunge wa chadema wamesema hawatahudhuria vikao vya bunge. Tafsiri yangu ni kuwa CHADEMA KWANZA UTAIFA BAADAYE. Arusha ina mbunge wake na viongozi wake.iweje wabungu wote wa kambi rasmi ya upinzania wasiwakilishe wananchi wao? Kwa nini mlipuko umetokea baada ya MBOWE KUONDOKA. Arranged!!.
Ili kuonyesha jambo hili limetuumiza roho zetu, Mh. Zitto na CHDEMA jitahidini sana kulirusha tukio hili kwa kulipia Star TV au ITV maana hawa jamaa wa serikali chovu ya CCM wanaingilia uhuru wa habari na wanatuficha mambo mengi. Tutapiga harambee ya kuchangia gharama za matangazo kwa njia ya Simu.