Hiyo hotuba ya CHADEMA atuwekee hapa Jamvini tu maana kwa MACCM tukio la Arusha ni shangwe maana kama tungekuwa na Bunge makini kesho ingekuwa siku ya off kama walivyofanya kwenye mambo ya Mtwara, nadhani Mtwara walikatisha shughuli za Bunge kwa vile tukio lile likuwa linahatarisha maslahi ya CCM na mikataba feki na wawekezaji/wauzuajiwa raslimali zetu.
Hamtapoteza kitu waachieni Bunge wapitishe haraka haraka bajeti ya majanga, maana sisi raia hatuoni kitu hapo, Tunawashukuru sana watetezi wetu. Mungu awe nanyi katika safari ya Arusha.