Zitto Kabwe: Tunakwenda Arusha kesho

Zitto Kabwe: Tunakwenda Arusha kesho

Wabunge wa CHADEMA wamesema hawatahudhuria vikao vya bunge. Tafsiri yangu ni kuwa CHADEMA KWANZA UTAIFA BAADAYE. Arusha ina mbunge wake na viongozi wake.iweje wabungu wote wa kambi rasmi ya upinzania wasiwakilishe wananchi wao? Kwa nini mlipuko umetokea baada ya MBOWE KUONDOKA. Arranged!!.

ulitaka mbowe afe ndio ufurahi, acha kutumia masaburi kufikiri, mwisho wenu umekuja haraka kuliko tulivyotaraji!
 
lazima chadema wakaomboleze. huo ni uungwana. c.c.m hawana maslahi na tukio hilo ndio maana wapo bungeni kuchangia. kama c.c.m ingelipuliwa wangeahilisha bunge. chadema wataomboleza kisha watarudi bungeni. huo ndio utaifa bila kijali majimbo watokayo
 
Back
Top Bottom