Zitto Kabwe: Takwimu za Pato la Taifa kwa robo iliyoishia Juni 2017 si sahihi, ZIMEPIKWA! (PDF attached)

Siasa kitu cha ajabu sana..Zitto inawezekana anajazwa UJINGA na mtu aliye ndani ya SYSTEM AMBAYE ANAMWAMINI KABSA ili hali kumbe wanamchezea mchezo asioujua yeye....Zama zimebadilika mzee funga mdomo wako usijifanye unajua kila kitu..UJUAJI WAKO UONYESHE KWENYE KUIFANYA ACT tishio...UTAUMBUKA KAKA YANGU unajazwa data za uwongo na huyo anaekupa..WATAKUUMBUA WENZIO...Kuwa na akiba ya maneno na kuwa makini sana utamkalo...Maana kuna kesho pia UNGEPENDA ZAIDI watu waendelee kukuamini...sasa ukiharibu leo nani atakuamini kesho???
Hata nzes huwa anasema SUKAR ilikua 5000/- naye alipewa data na nani?
 
Siasa kitu cha ajabu sana..Zitto inawezekana anajazwa UJINGA na mtu aliye ndani ya SYSTEM AMBAYE ANAMWAMINI KABSA ili hali kumbe wanamchezea mchezo asioujua yeye....Zama zimebadilika mzee funga mdomo wako usijifanye unajua kila kitu..UJUAJI WAKO UONYESHE KWENYE KUIFANYA ACT tishio...UTAUMBUKA KAKA YANGU unajazwa data za uwongo na huyo anaekupa..WATAKUUMBUA WENZIO...Kuwa na akiba ya maneno na kuwa makini sana utamkalo...Maana kuna kesho pia UNGEPENDA ZAIDI watu waendelee kukuamini...sasa ukiharibu leo nani atakuamini kesho???
Hujui eneo la zitto za ubobezi kitaaluma? Hujui kama yule mwingine ni maganda ya korosho?
 
Kama umefuatilia vizuri, ameonesha mdororo wa hicho kipindi ila serikali haikuonesha mdororo halisi.
Mkoa mzima wa kigoma more than 80 % hautegemei money economy wanaishi kwa subsistence economy .Hawana hela wala akaunti wala tigopesa ,mpesa au Airtel money serikali data kama hizo hawana uwezo wa kuzi capture sababu haziko kwenye formal economy. Ukoo au familia au vijiji kibbao waweza ishi heathly mwaka mzima bila kwenda sokoni wala hospital sababu wala mitishamba Na wanavyilima.Zitto kabwe kakariri vitabu vya uchumi vya wazungu vya money economy Africa is not a money economy it is almost 80% a subsistence economy hovyo kufanya argument zake za theories of money and demand and supply which depend on price ,demand for money in determination of GDP to be not only useless but hopeless.Amekariri vitabu vya wazungu vya waandishi wachumi wazungu lakini akili hana
 
Mkoa mzima wa kigoma more than 80 % hautegemei money economy wanaishi kwa subsistence economy .Hawana hela wala akaunti wala tigopesa ,mpesa au Airtel money serikali data kama hizo hawana uwezo wa kuzi capture sababu haziko kwenye formal economy. Ukoo au familia au vijiji kibbao waweza ishi heathly mwaka mzima bila kwenda sokoni wala hospital sababu wala mitishamba Na wanavyilima.Zitto kabwe kakariri vitabu vya uchumi vya wazungu vya money economy Africa is not a money economy it is almost 80% a subsistence economy hovyo kufanya argument zake za theories of money and demand and supply which depend on price ,demand for money in determination of GDP to be not only useless but hopeless.Amekariri vitabu vya wazungu vya waandishi wachumi wazungu lakini akili hana
Kwa nini serikali inachapisha hizo taarifa?
 
Zitto tupe CV yako. Si sawa wasomi na IMF na BoT na WB wabishane na wewe, mtu hohehahe. Kwa nini usitafute saizi yako Halima Mdee au Nassari karudi tok
 
Naiomba serikali imshitaki zitto kupitia ile sheria ya takwimu yani akayhibitishe haya aliyoyasema mahakamani.

Zitto hana lolote naishauri serikali isimuache imshitaki tena imuongezee na ile aliyosema kwamba jengo bweni udsm eti halijajengwa kwa thamani ya pesa aliyotaja mkuu ili tukamuumbue.

Pia alisema biashara ya nje imeshuka,kilimo kimeshuka yani anasemasema tu halafu hajibiwi hata mkijibu mnamshambulia yeye binafsi.

Nasubiri hilo
Zito kachambua takwimu ambazo ni za serikali yenyewe, hajatengeneza takwimu zake mpya...

Kwani sheria gani inayokataza kupinga takwimu kama unajiridhisha kuwa si za kweli? Hivyo ndivyo ilivyo, ndicho alichofanya Zito Kabwe!!

Ikitokea dua lako la kuku likampata mwewe, basi nakuhakikishia kuwa Zito atashinda kesi mbele tu ya kaunta za mahakama...
 
Kwa nini serikali inachapisha hizo taarifa?
Hata ikichapisha kuzichambua kunataka uwe Na akili wao wanachapisha official information walizopata kwenye masoko official kwenye masoko yanayotegemea demand and supply Na ambako price ndio determinant huwezi zibeba kichwa kichwa ukasema serikali waongo wakati unajua 80 % per cent ya watu wa kigoma wanaishi kwa subsistence economy hawategemei upuuzi koko wa money supply pesa ziwepo zisiwepo wanazaa Na kutukuu bila shida.Zito hajielewi kakariri vitabu vya uchumi vya wazungu ambao kwao uchumi wao ni money economy hivyo zitto anadhani aweZa copy Na kupaste aca localize Na kujenga hoja ya kuponda takwimu za serikali nyooooo
 
Insu ni alichokiongea, yeye hajaongelea mambo ya ccm wala vyama vingine, ameongelea uchumi kwa kutoa takwimu.
Ww ulipaswa impinge kuhusu ukuaji Wa uchumi kwa takwimu, au ukubaliane nae" hayo unayoyaongea ungeanzisha thread yake ungeeleweka. Mbayuwayu!

Mkuu katika post zote karibia asilimia 80 wame attack Zitoo personality na hakuna hata mmoja amejibu hoja.....Hii inadhihirisha tuna taifa la kujikomba kweli
 
Siasa kitu cha ajabu sana..Zitto inawezekana anajazwa UJINGA na mtu aliye ndani ya SYSTEM AMBAYE ANAMWAMINI KABSA ili hali kumbe wanamchezea mchezo asioujua yeye....Zama zimebadilika mzee funga mdomo wako usijifanye unajua kila kitu..UJUAJI WAKO UONYESHE KWENYE KUIFANYA ACT tishio...UTAUMBUKA KAKA YANGU unajazwa data za uwongo na huyo anaekupa..WATAKUUMBUA WENZIO...Kuwa na akiba ya maneno na kuwa makini sana utamkalo...Maana kuna kesho pia UNGEPENDA ZAIDI watu waendelee kukuamini...sasa ukiharibu leo nani atakuamini kesho???
...Unaweza kukuta huyu naye anajiita msomi, so sad.
 
Siasa kitu cha ajabu sana..Zitto inawezekana anajazwa UJINGA na mtu aliye ndani ya SYSTEM AMBAYE ANAMWAMINI KABSA ili hali kumbe wanamchezea mchezo asioujua yeye....Zama zimebadilika mzee funga mdomo wako usijifanye unajua kila kitu..UJUAJI WAKO UONYESHE KWENYE KUIFANYA ACT tishio...UTAUMBUKA KAKA YANGU unajazwa data za uwongo na huyo anaekupa..WATAKUUMBUA WENZIO...Kuwa na akiba ya maneno na kuwa makini sana utamkalo...Maana kuna kesho pia UNGEPENDA ZAIDI watu waendelee kukuamini...sasa ukiharibu leo nani atakuamini kesho???
kama unajua unajua uchumi toka awali hata kabla ya zitto tulikuwa tunasema takwimu za TRA si za kweli maana zilikuwa haziendani na hali halisi ya maisha.
 
Back
Top Bottom