kyannala nabiso
JF-Expert Member
- Oct 17, 2012
- 645
- 143
ccm na hustadhi ikulu wanavuna matunda waliyo yapanda
Kumbe unajua nafundishwa kuwapenda adui zangu, mbona basi we unafundisha kuwauwa adui zako (wakristu)???? Bila haya mnaambizana misikitini kuwa adui yenu ni mgalatia. Makafiri wakubwa!
Hatua ilikuwa ni kuifungia radio iman kifungo cha milele na sio miezi kadhaa tu, dhambi yao haivumiliki lakini kwa uislamu wa zitto hawezi kutamka hilo
Kumbe unajua nafundishwa kuwapenda adui zangu, mbona basi we unafundisha kuwauwa adui zako (wakristu)???? Bila haya mnaambizana misikitini kuwa adui yenu ni mgalatia. Makafiri wakubwa!
Shehe Ilunga alishakamatwa??
Maana na makadinali - huyu si mwanasiasa yeye ndio alkua anasisitiza kuwaua mapadre
Wislam tuache unafki na tuache kutumika na manufaa ya tusiowajua na wala hatutojua wanatafuta nini tanzania hadi hapo watakapofanikiwa - Hawatupendi kihivyo jamaniiiiii wanatutumia tuu
Mkuu ndoa wafunge Bakwata na Serikali lakini wanaomia na kuuawa ni wakristo kuna nini hapo?
Hata nukuu mnaiba za biblia! Hivi kitabu chenu kina shida gani hata hamkitumii? Ndio maana watoto wenu wanawapa watoto wetu wakikojolee, sababu ni kwamba mmekalia kutumia biblia kukashifu ukristu kisha hapa unataka kunukuu kutafuta amani! Huyo Nivea wala mi simjui, ninamjua Yesu aliyenikomboa na kunifanya nisiwe mnafiki. Nimemsema Zitto kwa sababu ni muislamu na awaambie waislamu wenzake. Mkosamali akiwasema si mtampiga mawe. Makafiri wakubwa nyie!
Akiwa mtu wa mwisho kuchangia katika hotuba ya wizara/mambo ya ndani bwana Zitto Kabwe alisema watanzania wanaishi kwa umoja na wanashirikiana katika kila jambo kwani wanashirikiana katika mambo mengi na wanaochochea udini ni viongozi hasa wanasiasa kwani mtu huzungumzia udini katika majukwaa ya siasa huku watu elfu tano wakiwa mbele yao na kama ilivo bungeni mtu anazungumzia suala la udini na anaona fahari kwa manufaa yake binafsi.
Akaongeza kuwa, serikali haipo tayari kuchukua hatua kwa yoyote anayesemwa anatumia udini kwa manufaa yake...huku wakiwa na uwezo huo.Pia akaiasa serikali kuchukua hatua sasa badala ya matamko tuu.
Kweli hili ni la kweli kabisa.
peleka ushaidi police hata. bungeni wamesisiza mwenzio mbunge selasin amekabidhi cd ya uchozi bungeni
Akiwa mtu wa mwisho kuchangia katika hotuba ya wizara/mambo ya ndani bwana Zitto Kabwe alisema watanzania wanaishi kwa umoja na wanashirikiana katika kila jambo kwani wanashirikiana katika mambo mengi na wanaochochea udini ni viongozi hasa wanasiasa kwani mtu huzungumzia udini katika majukwaa ya siasa huku watu elfu tano wakiwa mbele yao na kama ilivo bungeni mtu anazungumzia suala la udini na anaona fahari kwa manufaa yake binafsi.
Akaongeza kuwa, serikali haipo tayari kuchukua hatua kwa yoyote anayesemwa anatumia udini kwa manufaa yake...huku wakiwa na uwezo huo.Pia akaiasa serikali kuchukua hatua sasa badala ya matamko tuu.
Kweli hili ni la kweli kabisa.
UKIJARIBU KUANGALIA HEKIMA iliyopo katika mchango wa ZZK jana bungeni!! unaweza usifikirie kama anatoka katika chama kilekile na mbumbumbu GODBLESS LEMA... kaongea ukweli mchungu,ambao hakuna aliye na uwezo wa kuusimamia wala kuuongea. katoa lawama kwa kila anayestahili na hata yeye amukuwa tayari kubeba lawama kwa nafasi yake.. na kwa sababu ni watz wachache walio na uzalendo na ukweli kama ZZK, basi tutarajie matusi na kejeli juu yake bila uchambuzi wa mantiki toka kwa wachangiaji.
this guyzzk is presidential material no wonder hata adui zake wanamkubali
Kwa hiyo mmeona mnapiga kelele na hakuna anayewasikiliza upuuzi wenu so mmeamua kuua mapadri, kuchoma makanisa na kumwinda balozi wa papa! du! Uislamu na ugaidi ni chanda na pete
Hata Yesu aliitwa mlevi......najisikia fakhari ku-share same insults alizosukumiwa Jesus!
Hata Yesu aliitwa mlevi......najisikia fakhari ku-share same insults alizosukumiwa Jesus!
Na kunisilimisha huwezi, na kulisilimisha taifa hamuwezi. Mtakaa kurusha viguruneti mnavyopewa na wasomali na vikiisha mtakuja kuomba kutibiwa kwenye hospitali za kanisa, hata elimu mtakuja kubembeleza, sasa hata mikopo mmeanza kuomba kwenye benki zetu, makafiri wakubwa!
UKIJARIBU KUANGALIA HEKIMA iliyopo katika mchango wa ZZK jana bungeni!! unaweza usifikirie kama anatoka katika chama kilekile na mbumbumbu GODBLESS LEMA... kaongea ukweli mchungu,ambao hakuna aliye na uwezo wa kuusimamia wala kuuongea. katoa lawama kwa kila anayestahili na hata yeye amukuwa tayari kubeba lawama kwa nafasi yake.. na kwa sababu ni watz wachache walio na uzalendo na ukweli kama ZZK, basi tutarajie matusi na kejeli juu yake bila uchambuzi wa mantiki toka kwa wachangiaji.
this guyzzk is presidential material no wonder hata adui zake wanamkubali