Zitto Kabwe: Taifa lina nyufa

Zitto Kabwe: Taifa lina nyufa

Kaongea vema sana ktk speech yake hii, ameongea kwa umoja na utaifa.
 
hii kitu nilikuwa naiona juu ila zilipofika replies 100+ nimeona niishobokee. ni full matope.
 
Unakumbuka mauaji ya Mwembechai waliuawa viongozi wangapi wa kiislamu? Unakumbuka misikiti imewahi chomwa Tunduru? Unakumbuka Qur'ani imechanwa na kukojolewa mara ngapi? Unakumbuka waislamu Zanzibar 2001 waliuwawa wangapi na Mkiristo mwenzenu? Yatosha kwa leo. Inabidi kila mmoja aangalie matukio haya kama mtanzania na si kama muislamu ama mkiristo.
Acha upumbavu wewe!!! Yaani wewe unaina kuonewa ni kukojolea koran??? Tena unasema na mkiristo mwenzenu. We ni mpumbavu. Watu kama wewe hatuwezi kukaa na nyie. Hamjui maana ya maisha. Hivi unataka kunambia kuwa Syria, Somalia, Mali, Libya, Pakistan wote wanaochinjana kila siku ni mkiristo mwenzetu? Sisi Mungu wetu yupo hai. Anajipigania mwenyewe. Wewe inaonekana Mungu wako mpaka umpiganie. Hajui kujipigsnia ndo maana uko busy ukitafuta nani kakojoa wapi. Ndio maana hamuwezi kukojolea biblia kwa sababu mnajua Mungu wetu yupo hai...hatutapigana na nyie bali yeye Mungu. Unataja miskiti kuchomwa, umesahau aliyemchapa kofi Mwinyi. Kwa nini alimchapa? Nyie watu mna mapepo wachafu. Kuishi na nyie ni vigumu sana. Kwa sasa hivi mnalindana tu mkidhani kwamba labda kuna cha ajabu kitatokea....ni sawa sawa na wamarekani weusi waliomwona Obama akiwa raisi wakaanza kulinga wakidhani atawabadilisha. Ona idara zote zinazoongozwa na wenzenu; usalama wa taifa....sasa hivi limegeuka genge la majangiri. Jeshi la polisi...sasa hivi hata banda la kuku wangu siwezi waachia. Ona nchi yetu. Kiongozi wetu anatembea asilimia 75 za muda wake. Alafu sasa hivi mnataka tugawane lawama. Tanzania hakuna udini. Kuna magenge ya majangiri. Eti shekhe Ilunga ni kiongoxi wa kiroho wa mtu. Unaweza kuamini? Nyie hamthamini maisha yenu hivyo msitupe tabu. Sisi tunaamini zawadi ya kuishi tulipewa na Mungu nyie mnaamini mkiua watu wengi mnapewa baraka. Upumbavu mtupu. Hivi sasa aliyeua Arusha, hao mabikira aishapewa? Jifunze kuishi na watu na kufanya kazi kwa bidii. Mafanikio yanatafutwa sio kulalamika tu. Degree na phd mnaweza kugawiana lakini kichwani kama hamna kitu, mnajisumbua.
 
Hotuba aliyoitoa Mh.Zitto ilikuwa fupi lakini yenye ujumbe mzito saana na imejaa uelewa na uzalendo wa hali ya Juu,ni Hotuba fupi na imejaa mambo mengi Saaana ila tatizo ni moja,ni watu wachache saana wanauwezo wa kutafsiri maneno ,kwani hata kiswahili kinahitaji tafsiri pia,kwa sababu hiyo ni wachache tu ndiyo wamemuelewa Hilo ndiyo sikitiko langu,
 
CHADEMA inanufaika na mgawanyiko wa kidini ndio maana wanashadidia!

Tunakushukuru ZITO umejitahidi japo umegusa kwauchache mno kero za waislam lakini Kheri yako wakowengi humo wamekaa kimya hasa magwanda wenzako kwao waislam sio INSUE yakuzungumzia bungeni.Waislam kusema ukweli toka moyoni tumeleweshwa na udini wa wakristo mpaka sasa tumepoteza dira.Ukosefu wa Elimu sisi,Ajira sisi,Afya(bima)sisi,magerezani(vibaka)sisi,Makazi duni(uswahilini)sisi.Kwani diniyenu inafundisha dhulma mbona siwaelewi?.Madhara nimengi ila kwaujumla WAISLAM hatutendewi HAKI Nchi hiiiiiiiiiiiiiiiii.Chondechonde haki sawa kwa wote ndio mpango hatuitaji upendeleo dini yetu inakataza.
 
niwe muwazi udini umeanza pale chama tawala kilipoamua kurotate wagombea urais kwa kigezo cha udini nani asiyejua kuwa next election ni mkristo ndo anagombea kama nchi ni moja na tuko sawa kwanini wanatumia kigezo cha dini..magamba niwadini.

aisee sijui kwanini, nina asilimia 800 CCM watamsimamisha mkristo. Wanajua wakimsimamisha mwislam hawapati kura sababu ya mfumo wao waliouanzisha na unawatafuna sasa..(membe ,lowasa, wasira)
 
Ndugu yangu una akili nyingi mno mno@Morinyo. Chadema wanasema CCM kina mlengo wa kiislamu kwa sababu Kikwete ni Mwislamu. 2015 nina uhakika CCM kitasimamisha mkristo - Huu mkakati wanaoutumia sasa utakuwa umefeli kabisa. Ni mkakati dhaifu sana na unaoweza kufanywa na watu wasioona mbali kama akina G.Lema.
 
serikal isiruhusu matamko yanayotolewa na kiongoziwa dini yoyote au kikundi, nampongeza mh.nyepes aliposema serikal isijihusishe na ifute maombi,misaada, na mipango inayohusiana na dini yoyote ili kuepukana na chokochoko za upendeleo.
 
Zitto amesema ukweli hawa Bakwata nao ni tatizo kwakuwa hawana ridhaa ya waislam wote.
 
Msitufanye waTZ mazezeta, wanaohubiri udini tunawajua na tunawafahamu na wanaosmea ukweli tunawafahamu,vile vile wanaokemea udini tunawafamu msituchanganye akili hapa.

Padri kapigwa risasi kajeruhiwa na mwingine kauawa, nani ameshikwa na kuhukumiwa???, Wanajulikana Mashekh na Wachungaji wanaohubiri udini na chuk hapa TZ nani anawashughulikia, kwanini wameachwa???

Watu wanajua kuna vutuo vya watoto wa Primary na sekondary hadi Vyuo wanafundishwa Jihadi, na kupandikizizwa Chuki mbona hakuna Hatua zinazochukuliwa...

Mara Kibao inasemekana kuna kituo cha kufundisha ugaidi na jihadi Kiwalani mbona Kipo, cha kushangaza ni Magari mengi sana ya Serikali yanaenda sana pale kuchukua nini???

Au Ndiyo wakufunzi wa hizo Jihadi wanatumia Magari yenye Namba za Serikali??? Msitake kuwahadaa watu..

We know alot about this issues... Wala hamtudanganyi


Dhambi kubwa kuliko zote ni dhambi ya uwoga, Heri kufa kwa kutenda haki na kusimamia ukweli kuliko kuwa mnafiki.

ZZK lazima amtetee JK kwani wanatoka mbali na kamwahidi vitu kibao

Hukumuelewa kabisa muheshimiwa zitto
 
Out of your sense. Nani kakuambia Mungu yuko hai. Uhai na ufu ni kwa viumbe. Hatujui Mungu yuko kwenye 'state' gani.
 
Maneno ya kunukulika. Siku hizi imekuwa vigumu sana kupata kiongozi anayeongea jambo unaloweza kulinukuu kama rejea. Ahsante Ndugu ZZK.
 
mihadhara kwanza ifungwe kabisa
 
Kuifungia milele ni sawa na kutunyima habari, ni sawa na wewe uzuiliwe kuchota maji kutoka kisima unachotegemea maisha yako yote, this is unfair!!
 
Kuzuia haya yasiongelewe ni sawa na kuzuia chafya kwa kiganja chako mwenyewe, hatari yake ni kupengea kiganja. Bora tu ukarusu chafya itoke, hata kwa kuweka kitambaa itakuweka huru.
 
UKIJARIBU KUANGALIA HEKIMA iliyopo katika mchango wa ZZK jana bungeni!! unaweza usifikirie kama anatoka katika chama kilekile na mbumbumbu GODBLESS LEMA... kaongea ukweli mchungu,ambao hakuna aliye na uwezo wa kuusimamia wala kuuongea. katoa lawama kwa kila anayestahili na hata yeye amukuwa tayari kubeba lawama kwa nafasi yake.. na kwa sababu ni watz wachache walio na uzalendo na ukweli kama ZZK, basi tutarajie matusi na kejeli juu yake bila uchambuzi wa mantiki toka kwa wachangiaji.
this guyzzk is presidential material no wonder hata adui zake wanamkubali

Unamwongelea na kumsifu Zito kulingana na chema alichoongea ama unataka tu kuprovoke watu? Suala la Presidency nadhani hulifahamu na ndio hata anayetawala hafahamu maana ya presidency. Prensident kwangu ni katiba na sheria, na taratibu zilizopo. Kusema ni kusema tu hakumaanishi kwamba huyu atafaa ama hafai. Sisi si tulikunywa mpaka kusherehekea ushindi wa JMk, wangapi bado wako nae? Hisia zangu ni kuwa Mh. zito anatukana na ninyi wenyewe mnaoanza kumsifu na tena kuanza kumdharau. Ukiangalia ni kwa nini usitoe hoja ya kumsifu tu lakini unajilinda kwamba yatarajiwe matusi inamaana ni wewe mwenyewe umeyaandaa. Urais si mtu ni taasisi, ndilo alilowaambia Maximo kwenye mpira kuwa mpira wenu hautafika kwa kuwa mmekazania majina, ameondoka maximo mko wapi?. Nyinyi mmekalia majina, majina na majina.
 
Acha upumbavu wewe!!! Yaani wewe unaina kuonewa ni kukojolea koran??? Tena unasema na mkiristo mwenzenu. We ni mpumbavu. Watu kama wewe hatuwezi kukaa na nyie. Hamjui maana ya maisha. Hivi unataka kunambia kuwa Syria, Somalia, Mali, Libya, Pakistan wote wanaochinjana kila siku ni mkiristo mwenzetu? Sisi Mungu wetu yupo hai. Anajipigania mwenyewe. Wewe inaonekana Mungu wako mpaka umpiganie. Hajui kujipigsnia ndo maana uko busy ukitafuta nani kakojoa wapi. Ndio maana hamuwezi kukojolea biblia kwa sababu mnajua Mungu wetu yupo hai...hatutapigana na nyie bali yeye Mungu. Unataja miskiti kuchomwa, umesahau aliyemchapa kofi Mwinyi. Kwa nini alimchapa? Nyie watu mna mapepo wachafu. Kuishi na nyie ni vigumu sana. Kwa sasa hivi mnalindana tu mkidhani kwamba labda kuna cha ajabu kitatokea....ni sawa sawa na wamarekani weusi waliomwona Obama akiwa raisi wakaanza kulinga wakidhani atawabadilisha. Ona idara zote zinazoongozwa na wenzenu; usalama wa taifa....sasa hivi limegeuka genge la majangiri. Jeshi la polisi...sasa hivi hata banda la kuku wangu siwezi waachia. Ona nchi yetu. Kiongozi wetu anatembea asilimia 75 za muda wake. Alafu sasa hivi mnataka tugawane lawama. Tanzania hakuna udini. Kuna magenge ya majangiri. Eti shekhe Ilunga ni kiongoxi wa kiroho wa mtu. Unaweza kuamini? Nyie hamthamini maisha yenu hivyo msitupe tabu. Sisi tunaamini zawadi ya kuishi tulipewa na Mungu nyie mnaamini mkiua watu wengi mnapewa baraka. Upumbavu mtupu. Hivi sasa aliyeua Arusha, hao mabikira aishapewa? Jifunze kuishi na watu na kufanya kazi kwa bidii. Mafanikio yanatafutwa sio kulalamika tu. Degree na phd mnaweza kugawiana lakini kichwani kama hamna kitu, mnajisumbua.

ahsante mkuu kwa kudhihirisha chuki yako kwa watanzania wenzako... hujajitambulisha kama wewe ni mkristu lakini mlolongo wa chuki uliouonyesha dhidi ya waislamu unanidhihirishia kuwa wewe ni mkristu JINA kwani hata mafundisho ya KRISTU YESU huyajui..... UPENDO ndio silaha pekee itakayompeleka mtu mbinguni.. hata uwe na imani ya kuhamisha milima, kama hauna upendo wewe sio kitu kabisaaaaaa... mrejee bwana na mwokozi wako kisha usali sala ya toba ili usamehewe dhambi yako ya chuki kisha ujilazimishe na kujizoeza kuwa na upendo ndugu yangu.................... AFTERALL HIZI DINI ZENU NI UTUMWA TUU NA ZINAWASUMBUA NINYI WENYE AKILI ZA KITUMWA
 
Back
Top Bottom