Zito kasema ukweli kwa mfano huyu mwenyekiti wa wazazi wa CCM taifa amekuwa anatoa matamshi ya hatari sana jukwaani kuhusu CDM kuwa ni chama cha kikabila na cha kidini, mimi binafsi kama mwana CCM sikubaliani na viongozi wa hulka za hatari kama hawa kwani ndizo zinazoleta chuki na kujenga matabaka ndani ya nchi yetu. Nawasihi viongozi wa kisiasa waache tabia na kauli zinazochochea chuki kwa watanzania bila sababu. Na tuwakatae viongozi wa sampuli hii.
Mungu akubari na akupe hekima na busara uendele kuwaelimisha watanzania wenzetu waofikiri watoboa JAHAZI tulopanda wote WAO HAWATOZAMA kwa tamaa ya mali na madaraka