mzalendo-wa-tz
JF-Expert Member
- Dec 15, 2014
- 404
- 187
Mkuu,
ZZK hata akisema Tanganyika ilipata uhuru 9 Dec 1961 Chadema hawatakubali,watanzania wameshalijua hilo.
Hiyo hutokea baada ya watu kukosa uaminifu kwako, jambo baya sana hilo. Mistrusted
Mkuu,
ZZK hata akisema Tanganyika ilipata uhuru 9 Dec 1961 Chadema hawatakubali,watanzania wameshalijua hilo.
Lissu mropokaji wakati ndo anaefafanua
vifungu vya sheria bungeni?...
Yeye ndo anaweka sawa miswada
kanjanja yote ya serikali dhaifu?...
Mwanasheria wenu alishindwa hata
kuweka sawa vifungu vya sheria akasubiri tamko la mwisho la lissu...
Acha kukurupuka...
Nyinyi ndumila kutatu mmeliona leo miaka yoye mlikuwa wapi, kumbe ukiwa nje ya uwanja ndio unaona makosa
tunao we na nani?ZITO mtaalam wa mambo hayo na hakuanza leo,kuisemea gas alidai inaweza ikawa neema au laana,acha kukaririshwa na mume wako Lisu.Huwezi kutenganisha sera na sheria. Haya mambo ya gesi yameongelewa sana , alikuwa wapi watu wamepigwa sana na imeshaamuliwa gesi kwa taifa zima, Tunao kinaKafulila wanatosha
cc Mkandara huyu jamaa yako ana matatizo makubwa msome tena akili zakeMuswada wa mapato ya mafuta na gesi imeandikwa haraka haraka na umeacha kabisa kushughulikia suala la mgawo wa mapato ya mrahaba kwa maeneo yenye utajiri huo.
Kwa miaka mingi tumekuwa tukipendekeza kuwa sehemu ya mapato, hasa mapato kutoka kwenye mirahaba ibaki kwenye wilaya zenye rasilimali.
Muswada huu umekwepa eneo hilo na litaleta mgogoro mkubwa kwenye nchi yetu. Hivi sasa wananchi wanaotoka kwenye maeneo yenye Dhahabu wanapata mgawo kutoka tozo za halmashauri.
Muswada huu upo kimya eneo hilo na hivyo kukosesha mikoa kama Mtwara chanzo muhimu cha mapato.
Muswada huu ukienda bungeni bila kupata maoni ya watu wa Kusini itakuwa sio haki. Ni vema kuondoa muswada huu bungeni ili kupata muda wa kutosha wa kupata maoni ya wananchi.
Wananchi wa Mtwara, chama cha ACT Wazalendo ndio chama pekee cha siasa hapa nchini ambacho kimeweka wazi sera zake kuhusu utajiri wa Maliasili ya nchi.
Atawakomboa watanzania kiuchumi wakati anataka wilaya husika zichukue sehemu ya mapato, does he even know how social democratic value are about in the first place and how policies are formulated under that perpsective; hawa vipanga wenu nao duh this guy is an economist apparently.Sera hizo zimetamkwa ndani ya Azimio la Tabora lililozinduliwa tarehe 13 Juni 2015 mjini Tabora.
Azimio lina lengo la kuhuisha Azimio la Arusha ili kujenga Tanzania ya watu walio sawa na wananchi kumiliki uchumi wao wenyewe.
Tumewaletea chama chenu, mkipokee na kukilea. Chama cha Wanyonge chenye misingi imara na shabaha ya kuwakomboa watanzania kiuchumi.
Asante sana
Zitto Kabwe
Kiongozi wa ACT Wazalendo
Huyo Tundu Lisu unayemkashifu ndio tishio la vibaraka kama nyie na hiyo serikali ya kijambazi na kifisadi mnayoikumbatia. Kosa lake kubwa ni kwamba ahongeki kama huyo Zitto anayefikiri anafahamu kila kitu.
wewe lisu n mtu wa vurugu tu na watu wa ivo ndo wamebaki cdm, pamoja na kwamba kutoka kwao bingen n la kupongezwa lkn hawajaweza kuongea n nn kinawatoa nje, inawezekana miswada n mizur na serkal ikaona n vema iharakishe maenemdeleo...
lkn ZZK ameweza kuainisha mapungufu ya hiyo miswaada hilo ndilo linalotakiwa
Hii posti ni ya 25/6/2015 kabla muswada haujaenda bungeni ,na ulienda baada ya wiki moja na wabunge wa ukawa wanabisha muda hautoshi ili hali zito keshausoma na kuuelewa toka tarehe hiyo.ukawa wanabishana na maneno na si hoja
tundu lisu hana uwezo wa kuongelea mambo ya kitaalam kama hayo! Tundu lisu ni mropokwaji tu. Kwa hiyo utasubiri sana.
Mkuu wangu yaani kama ungeelewa wala usingeandika hili kwa sababu anachozungumza Zitto ndicho exactly happening ktk nchi za magharibi (Mabepari). Tembea kote utakuta mfumo bora wa ugawanaji keki ya Taifa na kila sehemu iliyojaliwa maliasili hizi imenufaika nazo na maendeleo zaidi yamejitokeza sehemu hizo. Nenda Texas inafaidika na mapato ya mafuta hata tunaona miji mipya kama Houston na Dallas zamani jangwa la wachunga ng'ombe - Cowboys... Alberta nchini Canada inafaidika na mapato ya mafuta nako ilikuwa wachungaji watupu. Mafuta yamebadilisha kabisa maisha ya sehemu hizo na yamevutia watu kutoka states zote. Kila state inafaidika na maliasili na rasimali zake ukiacha mbali taifa zima linafaidhika vipi na hawa ni Mabepari. Miji kama New York na Toronto imeendelea kuwa kitovu cha huduma (Services) wakifaidika na uwepo wasomi na wabunifu, hawalali milango wazi kwa kutegemea bahati za wenzao.cc Mkandara huyu jamaa yako ana matatizo makubwa msome tena akili zake
Atawakomboa watanzania kiuchumi wakati anataka wilaya husika zichukue sehemu ya mapato, does he even know how social democratic value are about in the first place and how policies are formulated under that perpsective; hawa vipanga wenu nao duh this guy is an economist apparently.
Haka kajamaa tumekafujuza kameanzisha chama chake bado kanatusumbua tu. Dawa ni kumzomea kwenye mikutano yake ili asisikilizwe maana ukikasikiliza tu, ubavicha unakutoka.
Erick Please wala usiende huko sio muundo wa Constitution unaounda mfumo bora wa ugawaji keki ya taifa. Kuwa Federal au Unitary haina maana yoyote ikiwa nchi zote duniani hazina mfumo mmoja na zimeweza kujenga mfumo bora wa ugawaji keki ya Taifa. Ni nchi za Kiafrika tu ndiko tunaendeshwa na ulafi kama mifisi bado tunagombania hadi mifupa.Mkuu Mkandara
Mie siwezi kuongelea ya Texas sana kwa sababu USA kama taifa atulingani nao kwenye swala la muundo wa serikari wao wakiwa kama a federal constitution na sisi kama a unitary constitution; hivyo kuna complexity on 'social capital', how unit is fostered nationally and how polices are advocated nationally and within states.
Kwa hivyo napenda kuangalia mazingira ya Tanzania, kupitia katiba ya Tanzania na muundo wa jamii ya Tanzania, having said that sina tatizo na dhamira ya ACT or Zitto ispokuwa anajikanganya sana huyu mtu, uwezi kujenga 'social capital' even in egalitarian terms za ACT halafu ukataka mtu wa Mtwara na Mwanza wajione watanzania wamoja na wapo chini ya taifa moja lenye katiba moja na waheshimiane.
How exactly are you going to build a policy inayosema kiasi fulani kibaki sehemu husika, utawapa watu hela, utawawekea mazingira mazuri ya huduma za afya or which methods of income distribution utakayo ifanya huko mtwara ili wafaidi hilo pato la taifa? Zingatia umuhimu wa gesi na kipato chake iwapo utafanikisha hiyo agenda where are the social democracy values unayo hii promote in the first place nationally in relation to social capital and state duty to its people nationally.
Hizo sera sio za taifa kama la Tanzania ni hatari, azilingani na social democratic views nationally mfano how are you going to match the life of a person in Morogoro na Mtwara iwapo kila mtu asaidiwe na chake?
Si ndio unajiuliza does he even know what the concept of social democracy translate into national kwenye nationa politics; maana anacho hubiri na anachoamini tofauti na sera za kitaifa; unitary states do not discriminate all they do is foster regional advantages gesi inakuja wananchi wa sehemu hizo automatic wana fursa za kuchangamkia fursa za kiuchumi zinazo compliment uzalishaji wa gesi na huduma zake.
Lakini kusema sehemu fulani lazima ipewe kiasi fulani cha hela kwa maendeleo yepi hayo and how exactly whilst maintaining national egalitarianism principles in developing the wider society.
Anyway aache kuongea hizi hadithi za makundi kwenye kuongelea rasimali za watu wote na tiafa zima, mara Zanzibar mara mikoa dude is non stop, wala afanyi kwa bahati mbaya ndiyoo anavyoamini mambo ya makundi makundi ndani ya jamii.
I just though I should highlight that sina makusudi ya kuingia kwenye mjadala wa kiuchumi; unao tayari kule kwengine kuhusu akili ya huyu jamaa.