Zitto Kabwe: Serikali inachekesha sana!

Zitto Kabwe: Serikali inachekesha sana!

Tundu lisu hana uwezo wa kuongelea mambo ya kitaalam kama hayo! Tundu Lisu ni mropokwaji tu. Kwa hiyo utasubiri sana.

Huyo ana utaalamu gani. Asiutumie miaka yote yupo bungeni. Mnachekesha sana.
 
Mie huwa napata tabu ninaposoma post za washabiki wa cdm. Kwani hukuti mtu angalau anayeandika au kujibu hoja. Mpaka mnatia huruma. Zitto kisha wachanganya na mkizubaa atawasambaratisha. Anapenyeza sera zenye akili kwa wananchi. ACT-Wazalendo ni chama kinachoongozwa na wasomi wana siasa sio kama cdm inaongozwa na masera. Ebu uchunguze uongozi kisha uone uwezo wao wa kufanya siasa.
 
Zitto serikali IACHE kisha? Itakuwa alikosea alitaka kusema chadema inachekesha......Kahuni tu haka kajamaa
 
Mie huwa napata tabu ninaposoma post za washabiki wa cdm. Kwani hukuti mtu angalau anayeandika au kujibu hoja. Mpaka mnatia huruma. Zitto kisha wachanganya na mkizubaa atawasambaratisha. Anapenyeza sera zenye akili kwa wananchi. ACT-Wazalendo ni chama kinachoongozwa na wasomi wana siasa sio kama cdm inaongozwa na masera. Ebu uchunguze uongozi kisha uone uwezo wao wa kufanya siasa.

Yaan cdm huwa wanaendeshwa kwa mihemko na matukio tukio litakalokuwa hapo ndio agenda Yao ,,mfano BVR,escrow ,..sijui siku wakikosa matukio watasema nin
 
Mie huwa napata tabu ninaposoma post za washabiki wa cdm. Kwani hukuti mtu angalau anayeandika au kujibu hoja. Mpaka mnatia huruma. Zitto kisha wachanganya na mkizubaa atawasambaratisha. Anapenyeza sera zenye akili kwa wananchi. ACT-Wazalendo ni chama kinachoongozwa na wasomi wana siasa sio kama cdm inaongozwa na masera. Ebu uchunguze uongozi kisha uone uwezo wao wa kufanya siasa.

nakupongeza kwa kutoa bone la hoja ,hoja hii itaondoa kero za wananchi
 
Tundu lisu hana uwezo wa kuongelea mambo ya kitaalam kama hayo! Tundu Lisu ni mropokwaji tu. Kwa hiyo utasubiri sana.

hahahahaha...humfahamu Lissu wewe...Kikwete ...pinda....makinda...sitta wote wanatambua lissu ni nani

Sasa wewe buku saba FC ni nani haswaaaaaaa unapima ubobezi wa Lissu?

Kamuulize Jacob Xuma Lissu ni nani atakuambia
 
Njaa zitawaua ninyi jiangalieni. Acheni kutumika

Mm sina njaaa kijana na wala sitegemei siasa za majungu i manage my own business ambayo ww huwez kunusa kwangu, sijaajiriwa mm sio mtumwa n at last sijawahi kuonana hata na zitto lkn admire the guy ktk politics na siwez kuona mtu anaonewa bila sababu wakat hastahili kufanyiwa hivyo. Shame on u
 
Mm sina njaaa kijana na wala sitegemei siasa za majungu i manage my own business ambayo ww huwez kunusa kwangu, sijaajiriwa mm sio mtumwa n at last sijawahi kuonana hata na zitto lkn admire the guy ktk politics na siwez kuona mtu anaonewa bila sababu wakat hastahili kufanyiwa hivyo. Shame on u
Una njaa dogo, acha mahaba nenda kamanage business zako
 
Kwani sasa huyo lissu ndio anafitt kila sehemu jaman!! Hebu tuweni wa kweli kwenye hoja na sera za uchumi na solution yake zitto ana ubora wake na kuhusu sheria lissu inajulikana. Then hivi kwanini kama GT hamujadili andiko kwa hoja lkn mnakiwa na personall attack duuh kwel watu mmekuwa mahasidi
 
Haka kajamaa tumekafujuza kameanzisha chama chake bado kanatusumbua tu. Dawa ni kumzomea kwenye mikutano yake ili asisikilizwe maana ukikasikiliza tu, ubavicha unakutoka.

hahahaaa, mkuu unamaanisha kako sahihi au?
 
Mi nasubiri tamko la Tundu Lisu huyu Zitto ni serekali hiyohiyo

Tundu liso hana uwezo wa kusoma na kuyaona hayo uliyoyasoma hapo juu katika hiyo miswada,yeye ni kuchanganya vifungu vya sheria asivyojua kuvichambua.Utasubiri sana mkuu.
 
Back
Top Bottom