johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 83,969
- 141,981
Inasemekana pendekezo la Kutoa Elimu ya Katiba mpya kwa wananchi kwa miaka 3 lilitolewa na Kikosi Kazi cha Prof Mkandala na Zitto Kabwe
Inadaiwa vyama Vya Siasa na NGOs ndio wamependemezwa kutengewa bajeti ya Kutoa Elimu ya Katiba mpya
Hii nchi hii Mungu atuhurumie!
Inadaiwa vyama Vya Siasa na NGOs ndio wamependemezwa kutengewa bajeti ya Kutoa Elimu ya Katiba mpya
Hii nchi hii Mungu atuhurumie!