Benjamini Netanyahu
JF-Expert Member
- Aug 7, 2014
- 80,861
- 93,648
Jamaa amefundwaKiufupi Nchi ilikua chini ya Mabeyo angekua na uchu wa Madaraka Mabeyo angeturusha kichurachura mpaka tuelewe.
Jamaa amefundwaKiufupi Nchi ilikua chini ya Mabeyo angekua na uchu wa Madaraka Mabeyo angeturusha kichurachura mpaka tuelewe.
Mazito sijui amepatwa na nini?Anatangaza nani ? Sababu akitangaza hata dakika moja kabla kuapishwa hatangazi kama Raisi sababu anakuwa hajaapishwa
Alichosema Zitto mjinga kuwa atangaze kifo akishaapishwa Ujinga wake ndio upo hapo .Raisi mpya hawezi apishwa kabla tangazo kwanza kutoka la kufariki aliyepo kutoka.kwanza .Nchi zote dumiani huwa hivyo labda atueleze nchi gani raisi akifa mpya hutangazwa kwanza ndipo atangaze kifo cha aliyemtangulia
Hakuna kitu kama hicho
Kuna mke wake humu anaitwa zitto junior ngoja ajeNdiyo wanasiasa wenu hawa
Alafu mnasemaga jamaa yuko
Smart sana 😄
Ova
Yaani wananchi waone tu Rais mwingine anaapishwa bila kutangaziwa kifo cha mtangulizi wakeHivi huyu jamaa ana akili kweli??
Siku hizi hana bandoKuna mke wake humu anaitwa zitto junior ngoja aje
🤣🤣🤣Siku hizi hana bando
Yaani mkuu nimecheka snNilihisi tu mimi ndo nimeelewa kama ulivoelewa wewe au pia mleta uzi kachukuwa tu clip. Yaana Samia aapishwe kwanza ndo akatangaze kifo cha Rais, huu uwapisho unafanyika wapi chumbani au? make ukifanyika hadharani tutahisi Nchi imepinduliwa kwa kuwa hatujui rais yuko wapi kwa muda huo
Tumsaidie ni mwenzetu
tena mwambie zitto asituvuruge! katiba inasema makamu anachukua urais hivyo hakukuwa na sababu ya kuwahishaTaahira kweli huyo!
Sasa watu wanashuhudia Samia anaapishwa kuwa Rais huku hawajui rais aliyopo kapatwa na nini?
Hela za Samia zimemtoa akili huyu ayatola
Nahisi ukitaka kuishi maisha mazuri hapa Afrika usiwe mwanasiasa, nimegundua siasa zinafanya hata Mapro kuwa kama la saba, alafu sisi la saba tusiyokuwa wanasiasa tunapata nafasi ya kuwauliza maswali magumuTumsaidie ni mwenzetu
Hatari snNahisi ukitaka kuishi maisha mazuri hapa Afrika usiwe mwanasiasa, nimegundua siasa zinafanya hata Mapro kuwa kama la saba, alafu sisi la saba tusiyokuwa wanasiasa tunapata nafasi ya kuwauliza maswali magumu
Utaratibu wa nyumbani kwenu huuHamuwezi elewa,Amiri jeshi mkuu ni Raisi.Spika wa Bunge alipaswa kuitisha bunge kwa dharula na kutoa taarifa ya Rais kuumwa kiasi kwamba hawezi kuongoza nchi.
Hivyo Kwa mujibu wa katiba Makamu wa Rais ataapishwa kuwa rais muda mchache ujao.
Akishaapishwa Rais, ndipo atatangaza kifo cha Rais aliyepita
Toa hoja usidisi huo ni umamaUtaratibu wa nyumbani kwenu huu
Mimi namjua Missile of the Nation ndiye nkeweKuna mke wake humu anaitwa zitto junior ngoja aje
kwahiyo wakati anaapishwa ndipo atangaze kifo watu wamefungwa akili kwanza wasihoji kulikoni anaapishwa huyu raisi yuko wapi,kweli za kuambiwa changaya na z...KC mstaafu wa ACT Wazalendo Zitto Kabwe amesema Dr Samia alipaswa Kutangaza Kifo Cha Hayati Magufuli akiwa ameshaapishwa
Zitto amesema kitendo Cha kuwafanya Wakuu wa Vyombo Vya Ulinzi na Usalama kuwa ndio Watoa Taarifa ni Cha hatari Sana
Hili ni jambo linapaswa kuwa somo kwetu na kuyaweka mambo ya mabadilishano ya Madaraka " Power Transfer" kuwa ya Kisheria , amesisitiza Kabwe
Source: Jambo TV