Ofcourse I'm the loser but you won nothing, eti umecheka kicheko cha kinafiki tupu.
Ha ha haaa Waberoya unafurahisha jamvi tu hebu jisome mwenyewe kwenye RED halafu tuambie who is the loser.Yes mimi bonge la mnafiki , hakuna kama mimi infact kwenye fani ya unafiki no one like me!, wewe nani? Zito bado yumo chadema! unasemaje?? na katoa hiyo statement, umekubali na unamtafuta waberoya! Juzi Zito si ndiye aliyesema Mbowe aache makundi atakiua chama? naye ni mnafiki? Speak truth always stand in your beliefs, Tangu mlipoanza kumchukia Zito kapigania misimamo yake..leo hii kimya!!!
Haujui siasa sina muda wa kujibishana na wewe , count me off in this thread! kama kila kitu kikisemwa unamkumbuka waberoya, then you are somebody in nobody ...kwetu kusini wanasema una Gubu! Umeandika yote kuhusu mimi? funny!
In short Zito hatoki chadema, yanawashuka, hater!
Hujaona nimeshinda nini!!
Mimi nimekuwa nikimfuatilia mheshimiwa Zitto, tangu alipoongoza mapinduzi ya kupindua serikali ya DARUSO mwaka 2002/2003 wakisaidiana na Ridhwan Kikwete na Omar Ilyas. Kipindi hicho nikiwa mmoja wa mawaziri wa serikali, ambayo ilipona kupinduliwa. Na tumekuwa wote ndani ya bunge la UDSM-USRC
Mimi personally nimekuwa muwazi sana na mkweli katika kila kitu kinacholigusa taifa hili na hasa uhuru wa mawazo na maoni ambao umedhihirika kuwa watanzania wengi sio kuwa hawana, bali huwa wepesi sana kuamini mambo na ni waoga kuonekana wanapingana na hali iliyopo.
Mtazamo huu umenifanya nimpende Zitto na JF members wowote wale ambo huwa wanapenda kufikiria nje ya box, au another direction/angle. Zitto amekuwa akinifurahisha kwa kuleta changamoto za kuleta mawazo tofauti na kile ambacho wengi huwa wanafikiria.
Zitto ni kweli anapenda sifa, kama binadamu mwingine yeyote yule, ila unapotaka sifa kwa kusimamia haki na ukweli na hasa unapopigania haki basi sifa hii ni sifa timilifu na inapendeza. Omar Ilyas naye alikuwa mmoja wao wa wanaopenda sifa ila kwa sasa naona amekua kidogo, nadhani Salim A Salim amemkuza.
Si nia yangu niwaharibie hawa jamaa , ila ni hali yangu kueleza ninachowaza baada ya kuwafuatilia hawa watu tangu enzi hizo. Sijajua status ya Omar Ilyas kwenye issue nzima za udini, siwezi kumtuhumu, personally nimemuona ni mtu mzuri tu na anayependa wote pasi kujali udini ila bado ni rafiki wa Zitto!
Tuendelee: Role model wa Zitto ni Salim A. Salim, rais bora kwake yeye ni Kikwete, MD bora aliyewahi kumsema yeye ni Rashid Idrisa yule wa TANESCO.
Tie, cord, umoja, Urafiki wa Zitto, Ridhwan, Omar Ilyas ni mkubwa sana kuliko maelezo, hili group lililotaka kuipindua serikali ya Kayombo-DARUSO, ili wao wapate madaraka si tu ni la hatari bali la kuangaliwa sana. Ridhwan amekuwa akijitetea sana yeye anataka ku-practise sheria hili hali kutaka uongozi amekuwa akitamani tangu siku nyingi sana.
Ukiwa rafiki na Ridhwan umekuwa rafiki wa Kikwete!!! Huwezi kuwa adui wa JK ukawa rafiki wa Ridhwan, JK si tu anampenda Ridhwan kama motto, bali kama mwanaCCM mwenzie aliye tayari kulinda interest zao.
Si ajabu Zitto kuwa alikuwa mmoja wa wanakamati ya bunge ya kuchunguza madini, maana JK anampenda Zitto, ambaye ni rafiki wa Ridhwan!
Alichotamka Juzi ni mwendelezo wa kumuonyesha JK kuwa yuko ‘NAYE' na yuko mbali na chadema na kuwa yeye hakuwa na mawazo kama wanachadema wengine!!!. Hakuishia hapo tu bali alisema JK amefanya mengi Kigoma! Hivyo hakuona sababu ya kutoka nje ya bunge, kwa hiyo hakwenda kabisa, Huu ujumbe haukuwa kwa wananchi, ulikuwa unaenda kwa JK rafiki yake! Hata kama JK kafanya mambo mengi huko jimboni kwake Kigoma ni wajibu wake kama rais na haikuwa zawadi.
Kilichonifanya nijiulize je what makes Zitto na JK kuwa marafiki? Je Zitto na JK walikuwa wanajuana kabla ya JK kuwa rais? Definitely Yes!
Je swali gumu na baya ambalo halina ushahidi ni je Zitto kuwa inclined kwa JK, Salim na kuwapenda baadhi ya viongozi wa kiislam je ni mdini?..........I mean chunguzeni hili. May be not! Kindly don't conclude! What Salim teaches Zito?? Salim is CCM, is Salim and JK close friends? Cause Ommy and Zitto are close friends, Ooh! Ommy ni personal assistant wa Salim, Nauliza Kama Ridh, Zitto, Ommy ni marafiki then Salim and JK ni maadui? Find out please. However, we all know JK ni mdini, maana alianza harakati za udini tangu akiwa UDSM miaka hiyo….na hili fuatilieni
Nani anayejua Zitto ana mtambo wa kusaga kokoto na alipata tender ya barabara ku-supply kokoto? Is he defending his interest indirectly?
Au ni kuwa ni great thinker ambaye anaishi kwa falsafa zake ambazo hatuzijui! Je mnafikiri Zitto kuwaambia waandishi wa habari yaliyojiri ndani ya chadema alikuwa hajui watu watamrudi? Who is greater to him? JK, wananchi wake Kigoma, mali au?
I mean we should be careful na watu kama Zitto yes they are bright, mmh! But they might be dangerous for the opposition existence. But we should examine him carefully and not judge him. Nimegusia tu swala la uislam maana mpaka leo kuna baadhi ya waislamu wanaofikiri kuwa wanaiweza kuigawa nchi hii kidini, na kuna wakristo wanaofikiri wanaweza kuigawa nchi hii kidini.
That's bringing another bitter question how far do we believe these opposition leaders? I mean all!
That said, I am just thinking
Yes mimi bonge la mnafiki , hakuna kama mimi infact kwenye fani ya unafiki no one like me!, wewe nani? Zito bado yumo chadema! unasemaje?? na katoa hiyo statement, umekubali na unamtafuta waberoya! Juzi Zito si ndiye aliyesema Mbowe aache makundi atakiua chama? naye ni mnafiki? Speak truth always stand in your beliefs, Tangu mlipoanza kumchukia Zito kapigania misimamo yake..leo hii kimya!!!
Haujui siasa sina muda wa kujibishana na wewe , count me off in this thread! kama kila kitu kikisemwa unamkumbuka waberoya, then you are somebody in nobody ...kwetu kusini wanasema una Gubu! Umeandika yote kuhusu mimi? funny!
In short Zito hatoki chadema, yanawashuka, hater!
Hujaona nimeshinda nini!!
Haya sasa mwenyewe kasema ukweli juu ya uongo uliokuwa umeenezwa,wenye wivu na wajinyonge
Ha ha haaa Waberoya unafurahisha jamvi tu hebu jisome mwenyewe kwenye RED halafu tuambie who is the loser.
...i should agree, kwamba zitto au yeyote aliyemshauri ni mtu smart. ameweza kuona mapema upepo unaelekea wapi. kama yuko sincere na maneno yake he will turn out to be very instrumental in the march towards 2015.
...but one should be very careful with this development.
Yes mimi bonge la mnafiki , hakuna kama mimi infact kwenye fani ya unafiki no one like me!, wewe nani? Zito bado yumo chadema! unasemaje?? na katoa hiyo statement, umekubali na unamtafuta waberoya! Juzi Zito si ndiye aliyesema Mbowe aache makundi atakiua chama? naye ni mnafiki? Speak truth always stand in your beliefs, Tangu mlipoanza kumchukia Zito kapigania misimamo yake..leo hii kimya!!!
Haujui siasa sina muda wa kujibishana na wewe , count me off in this thread! kama kila kitu kikisemwa unamkumbuka waberoya, then you are somebody in nobody ...kwetu kusini wanasema una Gubu! Umeandika yote kuhusu mimi? funny!
In short Zito hatoki chadema, yanawashuka, hater!
Hujaona nimeshinda nini!!
your support is much appreciated. No winner, no looser! truth always stands. wala asisakamwe mtuYes mimi bonge la mnafiki , hakuna kama mimi infact kwenye fani ya unafiki no one like me!, wewe nani? Zito bado yumo chadema! unasemaje?? na katoa hiyo statement, umekubali na unamtafuta waberoya! Juzi Zito si ndiye aliyesema Mbowe aache makundi atakiua chama? naye ni mnafiki? Speak truth always stand in your beliefs, Tangu mlipoanza kumchukia Zito kapigania misimamo yake..leo hii kimya!!!
Haujui siasa sina muda wa kujibishana na wewe , count me off in this thread! kama kila kitu kikisemwa unamkumbuka waberoya, then you are somebody in nobody ...kwetu kusini wanasema una Gubu! Umeandika yote kuhusu mimi? funny!
In short Zito hatoki chadema, yanawashuka, hater!
Hujaona nimeshinda nini!!
your support is much appreciated. No winner, no looser! truth always stands. wala asisakamwe mtu
Hatimaye Zitto Zuberi Kabwe amenena.Amesema kuna mbinu nyingi zinafanywa na maadui wa chadema kumgombanisha na mwenyekiti wake Freeman Mbowe.Katika hilo ametupia lawama baadhi ya vyombo vya habari vinavyomilikiwa na maadui wa Chadema vinavyojaribu kuandika uongo kwamba anampiga vita mwenyekiti wake.Zitto amesema kwa mdomo wake kwamba mbinu za maadui hao kamwe hazitafanikiwa na kufanikiwa kwao ni kama mbingu na Ardhi.Amesema maadui hao wamekosa pa kushika baada ya kuona chadema iko kileleni kuingia ikulu.
Zitto Kabwe amewaambia maelfu kwa maelfu ya wananchi wa Iringa kwamba aliyemkuza kisiasa na kufika hapo alipo ni Freeman Mbowe....Amedai Mbowe alianza kumkuza,kumjenga na kumsaidia tangu akiwa chuo kikuu cha Dar es salaam.Amesema sasa ni nani mwenye ubavu wa kumgombanisha na mlezi wake?
Amewataka maadui wake kisiasa kutafuta mbinu nyingine kwani hiyo imeshindwa na kuzikwa.......
Nawasilisha!!