johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 83,987
- 142,004
Tunakumbushana tu Mwenyekiti wa Chadema mh Mbowe akihutubia mkutano wa BAWACHA pale Mlimani City aliahidi kustaafu rasmi 2023 na kwamba anatamani mrithi wake atoke BAWACHA
Kadhalika mh Zitto Kabwe aliahidi kustaafu rasmi kama Kiongozi wa Chama cha ACT wazalendo 2024
Jumaa Mubarak 😄😄🔥
Kadhalika mh Zitto Kabwe aliahidi kustaafu rasmi kama Kiongozi wa Chama cha ACT wazalendo 2024
Jumaa Mubarak 😄😄🔥