ng'adi lawi
JF-Expert Member
- Sep 27, 2014
- 2,956
- 1,114
Haya ni maoni yangu, nasisitiza haya ni maoni yangu
Mbunge wa Kigoma Mjini ndg Zitto Kabwe kupitia chama cha ACT-Wazalendo, ndiye anastahili kuvaa viatu vya JPM 2025.
Analysis zote nilizofanya zinaonyesha huyu kijana makini anafaa kabisa kuipeleka nchi kuwa taifa la uchumi wa kati duniani, tuache unafki huyu jamaa kafanya mengi yenye tija kwa taifa hili, hakuwahi kutanguliza maslahi ya chama siku zote ametanguliza maslahi ya taifa Tanzania.
Ndie mbunge pekee ambaye hachukui posho bungeni.
Kuna sababu nyingi zinazombeba na kumstahilisha kuwa rais ajaye baada ya JPM, pamoja na yote yaliyowahi kusemwa juu yake ila nimebaki kumuona kama kioo cha uongozi Tanzania.
Zitto Kabwe is my president in 2025
Maoni yako kaa nayo mpaka 2025. Kwa sasa tunaye rais anayetufaa na ikibidi tutabadilisha katiba ili awe wa maisha.