Kwahiyo ilikua inafahamika hivyo muda wote huo alipokua pale mpaka akaondoka?
Ni mnafiki hawezi kuja kuwa rais. Ni mtu wa majungu majungu ndiyo maana alifukuzwa CHADEMA! Na akikombea hiyo 2025 lazima tumkate tu maana hafai kabisa kuwa hata mjumbe wa nyumba 10.Haya ni maoni yangu,nasisitiza haya ni maoni yangu
Mbunge wa Kigoma Mjini ndg Zitto Kabwe kupitia chama cha ACT-Wazalendo,ndie anastahili kuvaa viatu vya JPM 2025.
Analysis zote nilizofanya zinaonyesha huyu kijana makini anafaa kabisa kuipeleka nchi kuwa taifa la uchumi wa kati duniani, tuache unafki huyu jamaa kafanya mengi yenye tija kwa taifa hili, hakuwahi kutanguliza maslahi ya chama siku zote ametanguliza maslahi ya taifa Tanzania.
Ndie mbunge pekee ambaye hachukui posho bungeni.
Kuna sababu nyingi zinazombeba na kumstahilisha kuwa rais ajaye baada ya JPM,pamoja na yote yaliyowahi kusemwa juu yake ila nimebaki kumuona kama kioo cha uongozi Tanzania.
Zitto Kabwe is my president in 2025
Haya ni maoni yangu,nasisitiza haya ni maoni yangu
Mbunge wa Kigoma Mjini ndg Zitto Kabwe kupitia chama cha ACT-Wazalendo,ndie anastahili kuvaa viatu vya JPM 2025.
Analysis zote nilizofanya zinaonyesha huyu kijana makini anafaa kabisa kuipeleka nchi kuwa taifa la uchumi wa kati duniani, tuache unafki huyu jamaa kafanya mengi yenye tija kwa taifa hili, hakuwahi kutanguliza maslahi ya chama siku zote ametanguliza maslahi ya taifa Tanzania.
Ndie mbunge pekee ambaye hachukui posho bungeni.
Kuna sababu nyingi zinazombeba na kumstahilisha kuwa rais ajaye baada ya JPM,pamoja na yote yaliyowahi kusemwa juu yake ila nimebaki kumuona kama kioo cha uongozi Tanzania.
Zitto Kabwe is my president in 2025
MhhhMakonda na Zitto ni Kichuguu na Mlima Kilimanjaro.!
Wivu, aliyepewa kapewaLabda Rais wa Matovu Kigoma
Msaliti ni wewe uliyemsaliti mkeoNchi haiwezi kuongozwa na msaliti.Ni hatari sana!
sitapiga kura tena!
Ndiyo maana Rais kawaambia muache kucheza pool mkalime, sasa mmeacha pool mmehamia humu.mnasheeedazitto ni mwanasiasa alietimia na mtu mwenye upeo kuliko mtu yoyote katika kile chama alichokijenga wakamfitini
mfumo wa SYA5 ndiyo mwanzo wa awamu ya 6raisi ajae ni MAJALIWA KASSIM MAJALIWA... period
Chama chake kina mbunge mmoja kama kile cha UKAWA cha Mbatia.Labda Rais wa Kigoma Tanzania haiwezi kuongozwa na mpenda sifa Zitto by the way hivi chama chake kina wabunge wangapi labda tuanzie hapo.