Zitto Kabwe, ndani ya Addis na JK

WAKUU!

Hapa hoja yangu sio vita au uadui. Nimejiuliza kwamba, iweje aweze kuitikia wito wa Magogoni kwa haraka na bila mawasiliano kukatika na kuungana na Mkulu, lakini kwenye la M4C mawasiliano yalikatika na hatukumuona kabisa licha ya kuahidi kuhudhuria kama tulivyo taarifiwa?

Samahani kwa neno hili kwako(bogus)sana wewe. ushanisamehe?
 
chanzo: michuzi blog
et2.JPG
 
Huyu jamaa simpendi kama nini sijui. Kajamaa kana mambo ya kishamba kinoma sana haka. Halafu dizaini kama ushamba na ulughalugha bado haujamtoka. Kana tabia za kujikweza na kujiona kako bora kuliko wenzako. Mi natamani hata katimuliwe tu Chadema kama vipi.


My God!.. Sasa itakuwaje!.. Niko Dodoma naswaga ng'ombe kibao kwa ajili ya mahari na mijihela ya posa!.. leo una mruka?!!!!.. Makubaliano ya wiki iliyopita yameyeyuka?!
 
Acheni porojo chukueni maamuzi dhidi yake, kila siku mnamlalamikia mnataka nani amchukulie maamuzi mara ngapi Jk kasafiri na wbunge wengine wa chadema? Safari ya mwisho kwenda US mnajua kuwa Jakaya alifatana na yule mbunge Profesa wa Cdm? Mnajua kuwa yule makengeza mpiga Disco kapewa Mkopo NSSF na Dr Dau ingekuwa huo mkopo kapewa Zitto si mngeanzisha Thread kibao,Kelele dhidi ya Zitto zishakuwa nyingi chukueni uamuzi dhidi yake!
 
zitto ni mwanasiasa makini ambae chadema na watu wake wamekua wakimtumia kama condom,matumizi yake yakiisha wanamtupa na kumtapika,leo chadema wameshajisahau kwamba ni hivi majuzi tu walikua wakijivunia zitto alipokua anacheza mchezo wake wa kisiasa kujaribu kuwaaminisha illiterate wengi waliojaa chadema kwamba eti anasaka sahihi 70 ambazo akizipata zitasaidia kumng'oa PM PINDA madarakani,tukawakumbukumbusha illiterate wa chadema kwamba huo ni ubunifu wa mchezo wa kisiasa wa zitto mwenyewe wala sio chadema,kutokana na upeo mdogo wa kuchanganua mambo wa watu wa chedema wakawa wanang'angania na kusema zitto ni wao hivyo hoja yake hiyo pia yao
 
hahahahaha lusinde kakaa kiheshima mungu wangu amtibue mtu hapo bibajaj kitoe matusi...looooool
 
Huyu jamaa simpendi kama nini sijui. Kajamaa kana mambo ya kishamba kinoma sana haka. Halafu dizaini kama ushamba na ulughalugha bado haujamtoka. Kana tabia za kujikweza na kujiona kako bora kuliko wenzako. Mi natamani hata katimuliwe tu Chadema kama vipi.

Mbinguni hawakutaki na motoni hawakutaki.
 
watu wa Kigoma wasio kuwa na asili ya kigoma huwa hawaaminiki.
kusafiri na JK sioni shida kwani kawakalisha upinzani.
hata Lisu aliposafiri na Spika watu hawakuhoji kwani wanamwelewa msimamo wake
lakini je kwanini Zito yuko sana karibu na magogoni ndio swali la msingi.
na kwanini hashiriki ktk harakati za ukombozi na wabunge wenzake?
Tusitegee jema kutoka kwake huyu ashaahidiwa uwaziri pindi akitoka Chadema.
 
Hivi kwanini zitto hashiriki m4c? Yeye namuona yupo kivyake tu..

Si alishiriki huko ughaibuni? Zitto ni miongoni mwa wanasiasa wajanja sana na wanaoamini katika maslahi ya nchi na wala si maslahi ya mtu ama chama. Alishasema kwake nchi kwanza chama baadaye.
 
Atatumia njia kama ya JK huko chadema kwenye urais.

Tena jmushi, njia hiyo ina tumiwa na candidate wawili mmoja ndio huyo mmoja yupo CCM...alafu wadanganyika wasipokuwa makini am telling there is another hatukukutana barabarani inakuja na hii itakuwa balaa nyingine unless otherwise wanasiasa na wananchi waamke.
 
zitto ni mwanasiasa makini ambae chadema na watu wake wamekua wakimtumia kama condom,matumizi yake yakiisha wanamtupa na kumtapika,leo chadema wameshajisahau kwamba ni hivi majuzi tu walikua wakijivunia zitto alipokua anacheza mchezo wake wa kisiasa kujaribu kuwaaminisha illiterate wengi waliojaa chadema kwamba eti anasaka sahihi 70 ambazo akizipata zitasaidia kumng'oa PM PINDA madarakani,tukawakumbukumbusha illiterate wa chadema kwamba huo ni ubunifu wa mchezo wa kisiasa wa zitto mwenyewe wala sio chadema,kutokana na upeo mdogo wa kuchanganua mambo wa watu wa chedema wakawa wanang'angania na kusema zitto ni wao hivyo hoja yake hiyo pia yao
Mkuu KIM KARDASH karibu tena. Vipi ulikuwa Segerea ya JF manake ni muda! Hivi Zitto yupo kwenye ujumbe wa Rais au ni binafsi. Kama ni ujumbe wa Rais basi huenda anawakilisha bunge au vyama vya ulinzani. Hivyo basi ana baraka
 
Last edited by a moderator:
Nlishamdiliti siku nyingi ktk moyo wangu wa ukombozi dhidi ya CHAMA CHA WATOTO WA WAKUBWA.
 
Mheshimiwa Rais Kikwete akisaini kwenye kitabu cha msiba wa Hayati Zenawi. Msafara wa Mheshimiwa Rais Kikwete unajumuisha Mh Lusinde, Mh Zitto, Mh Sarakikya na viongozi wengine kama picha inavyoonyesha (Source: Michuziblogspot)

Kikwete kumzika Zenawi.JPG
 
Si alishiriki huko ughaibuni? Zitto ni miongoni mwa wanasiasa wajanja sana na wanaoamini katika maslahi ya nchi na wala si maslahi ya mtu ama chama. Alishasema kwake nchi kwanza chama baadaye.

kuzika ni maslahi ya nji ee..ama wakitoka hapo lazima wapitie juba wakague kilimo cha mapera SOUTHERN SUDAN
 
zitto zuberi angeitwa yohana au john haya yote yasingemfika.hana usaliti wowote,kinachomsaliti ni hilo jina tu.

kwa hyo unataka kutwambia kwamba kwa formula hyo kina Yohana, Fredrick, Joseph nk. hawawezi kupata nafasi ya kuambatana na mkulu wa kaya on the other side of the equation????????.....intellectual bankrupcy at its worst stage....pole sana
 
WAKUU!

Namshangaa huyu Mh. Zitto Z. Kabwe. Wakati wa mkutano wa M4C Morogoro tuliambiwa angehudhuria. Baadae mawasiliano kati yake na Makamanda waliokuwa kwenye harakati za ukombozi yakapotea. Leo hii katia timu Addis na Mkulu.

Makamanda, hii ime kaa je? wakati Makamanda wengine wakiendeleza harakati za kuwakomboa waTanzania huyu Mh. mbona yupo beneti na Magogoni sana?

Ni kuuliza tu Makamanda.

Chama kimemtuma au amejibembeleza kwa mkuu amsaidie kubeba karabasha? Alifanya hivyo hivyo siku ya uhuru wa Sudan Kusini. Ni mtu wa kupenda kujionyeshaonyesha sana, akiwa kiongozi wa juu hatatofautiana sana na tuliye naye. Kelele za mle mjengoni ni kutafuta njia tu ya kufika kule magogoni. Tujihadhari sana naye.
 
Mkuu KIM KARDASH karibu tena. Vipi ulikuwa Segerea ya JF manake ni muda! Hivi Zitto yupo kwenye ujumbe wa Rais au ni binafsi. Kama ni ujumbe wa Rais basi huenda anawakilisha bunge au vyama vya ulinzani. Hivyo basi ana baraka
Nipo kaka sema kuna baadhi ya mods waoga wale wasioipenda principle yangu ile ya kusema yale ambayo yapo ila watu hawapendi kuyasikia kwa maslahi yao waliamua kunikata "fyuzi" ili kuniziba mdomo wakiamini wanaweza kunicontrol...baada ya kutoka nimekua nikijikita zaidi kwenye jukwa la michezo ili kuvuta pumzi za kuja kwenye kazi ngumu ya kucheza ngoma ya siasa,sasa nimerudi kwa kishindo na nguvu mpya,pamoja sana kamanda.
 
Back
Top Bottom