Gamba la Nyoka
JF-Expert Member
- May 1, 2007
- 7,022
- 9,285
Asante kwa kumtetea kwa juhudi kubwa kiongozi wako..ingawa nina shaka pengine ni zito ndio kanijibu hapo juu.Sasa nakushauri mr.zito achana na mambo ya israel..huyawezi.ule ugomvi wa maelfu ya miaka mtu kama zito hutauweza.ule ni mgogoro wa kidini na si wa ardhi.Ninachoshangaa kuna matatizo kibao ya wakulima tanzania unayaruka na sasa eti unataka kutatua shida za yerusalem.
Ugomvi wa kidini kati ya dini ipi na ipi?